Godbless Lema: Kesho narudi bungeni!

Godbless Lema: Kesho narudi bungeni!

Mkuu haya ni mabaki ya chadema, nilikuwa nasafisha ofisi leo nikaukuta huu uchafu.
Nimechoma moto nitakuletea picha hapa zikiungua kwa sababu zinasababisha uchafuzi wa mzingira
MaCCM watakulaani ukichoma hii kitu wao wavitafuta ili waitishe mikutano na vyombo vya Habari wafanyie (SHOW)
 
Kwa mtazamo wangu!.
attachment.php

Kutoka Sokoni (UCHAFU)
attachment.php

Zinakwenda sokoni (BIDHAA adimu)
CC: Chris Lukosi

kuna ile ya inayomilikiwa na mr kurupu aka dkt slaa, bado anatunza uchafu eeeenh?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom