Mkuu serikali ya maisha yako ni kichwa chako hakuna chama cha siasa dunia ambacho kitayasimamia maisha yako.
Huwezi kuwa unashinda vijiweni unakunywa viroba utegemee Chadema wakiingia madarakani watakusaidia.
Fursa zipo ni wewe kupambana na maisha siyo kuwa mtu wa kulalamika kila muda.
Na huu ni nini?
wanamageuzi wote huwa polisi ni nyumbani kwao. Hata Mandela alifungwa jela for years kwa kosa la uhaini na jinai. Kwa hiyo hata wanamageuzi wengine wana nafasi pia ya kupitia njia hiyo ya Mandela. Wala haitashangaza.Hii ni aibu sana
Mtu mwenye akili timamu huwezi kufananisha Mandela na Lema,
Sijawahi kusikia mandela akitafutwa na polisi kwa kosa la jinai
Umeacha lini kushinda lumumba ili utumwe sosej,chips,soda etc.,akili ndogo za magamba lazima zisifie waume zaoKwa hilo nalikubali kwani alifanikiwa kunibrainwash hata mimi mpaka nikaingia Chadema lakini nilishtuka baadae
Kwa mtazamo wangu!.Na huu ni nini?
Mkuu haya ni mabaki ya chadema, nilikuwa nasafisha ofisi leo nikaukuta huu uchafu.
Boss usinifanye nikujibu halafu watu waseme nina dharau.Umeacha lini kushinda lumumba ili utumwe sosej,chips,soda etc.,akili ndogo za magamba lazima zisifie waume zao
Na huu ni nini?
Mkuu haya ni mabaki ya chadema, nilikuwa nasafisha ofisi leo nikaukuta huu uchafu.
Nimechoma moto nitakuletea picha hapa zikiungua kwa sababu zinasababisha uchafuzi wa mzingira
Tundu Lissu na wenzake walioomba utaratibu yaani "Point of Order" hawakuwa na kosa lolote kwani Kanuni ya Bunge ibara ay 65(1)(c) inasema hivi:
{Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote hataruhusiwa kusema zaidi ya mara moja juu ya hoja, ila tu kama anasema kuhusu utaratibu}
Hivyo, Lema, Lissu na wenzake hawajavunja kanuni yoyote na anayepaswa kuwajibika ni Job Ndugai kwani video imeonyesha wazi kuwa amezuia point of order wakati hana mamlaka hayo.
Sifa binafsi wamachinga arusha shida kibao amekalia mwongozo wa spika
huyu jamaa ana udhihirishia umma wa watanzania kua kweli kawehuka, bunge lipitishe sheria ya kupima watu akili maana hiki ni kioja
Nadhani LEMA alitoa mfano tu, kuwa kufukuzwa ndani ya bunge sio issue sana, kwani atafukuzwa leo na kesho atarudi, mimi ndivyo nilivyomuelewa, pia aliongeza kuwa kuna watu walifungwa miaka 27(akimaanisha mandela) kwa ajili ya ukombozi hivyo yeye haoni ajabu kutolewa Bungeni....!
Lema nimemwona Arusha Jioni ya leo muda wa saa kumi na mbili hivi..sio rahisi awepo bungeni kesho.
Hahahaaaaaaaaa utakula majani usilete jeuri.,chadema hamna watumwa wala waganga njaa,naona tumbo limehamia kichwaniBoss usinifanye nikujibu halafu watu waseme nina dharau.
Anyway na wewe unaweza kunituma tu, .... nikuwekee na Chilisosi kwenye chips zako?