CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 289
Mi' naona tugawane bunge. Yaani yawepo mawili.
bangi zinamsumbua tumewachoka badala kujadili shida za wananchi mmekalia kuonekana sifa za kishenzi,pumbafuuuu chadomo
Sisi kituo cha police central tunamsubiri kwa hamu lema kesho maana tutamkamatia getini na atakuwa selo hadi j3 tunampeleka mahakamani nalazima tutamkuta na kete alizotumia kwishneyy
Sifa binafsi wamachinga arusha shida kibao amekalia mwongozo wa spika
Lema hajui sheria sasa arirudi bungeni?? Bange za arusha hizo...na hata kama kuna unlimited kuwa lazima uongee tu,je? Kila mmoja nae akiamua afanye hivyo itakuwaje,bunge la demokrasia ni kila mmoja aongee sasa akiwa anaongea Lissu tu wabunge wetu watapataje? Nafasi ya kutuwakilisha sisi wengine au Tanzania ni Shinyanga mjini?Nimemsikia Mbunge lema kupitia taarifa ya habari ya ITV ya saa 2 usiku huu akisema kuwa kesho anarudi bungeni licha ya amri ya naibu spika kuwazuia kuingia bungeni.
Mbunge Lema alikuwa akihojiwa na ITV sambamba na wabunge wengine waliosimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge.Mmoja wao alikuwa mh.Tundu Lissu aliesema hakuna kanuni ya bunge inayoweka ukomo wa mtu kuomba utaratibu na kwamba maamuzi ya naibu spika hayakuwa sahihi.Wengi wao waliohojiwa wamelaumu uamuzi huo.
Binafsi nashindwa kuamini nilichokisika labda kama nimesikia vibaya maana najiuliza kama hizo kanuni za bunge zitamruhusu kweli kurudi bungeni?
Kwakweli wabunge wa CHADEMA wananyanyaswa sana na kiti cha spika!
Makamanda vumilieni kwani msitarajie ushindi rahisi bila watu kupita katika kipindi kigumu.
Hili jamaa jinga hasa.
Sisi kituo cha police central tunamsubiri kwa hamu lema kesho maana tutamkamatia getini na atakuwa selo hadi j3 tunampeleka mahakamani nalazima tutamkuta na kete alizotumia kwishneyy
Aisee shida za wananchi zinajadiliwa kwa mapana na marefu na mwigulu, lusinde, Nkamia, Serukamba et,.albangi zinamsumbua tumewachoka badala kujadili shida za wananchi mmekalia kuonekana sifa za kishenzi,pumbafuuuu chadomo
Kuomba mwongozo wa spika ni sehemu ya utaratibu wa bunge...Sifa binafsi wamachinga arusha shida kibao amekalia mwongozo wa spika
Mbowe akimwacha Lema afanye utoto wa kutokuheshimu amri ya kiti cha Spika atakuwa amedhihirisha udhaifu wa hali ya juu...
Toka lini cdm huwa mnakubali? Genge la wahuni nyie hamna mnchotetea wananchi maana mnatoa povu kwenye mambo ya kipuuzi mambo ya maana mnayaacha yapite bila kutoa ushirikiano
bangi zinamsumbua tumewachoka badala kujadili shida za wananchi mmekalia kuonekana sifa za kishenzi,pumbafuuuu chadomo
Hili linaeleweka sana ndugu yangu. Tatizo umeingizwa ubabe bungeni, na upuuzi, na ujinga kwa sababu uongozi wa bunge ni dhaifuTundu Lissu na wenzake walioomba utaratibu yaani "Point of Order" hawakuwa na kosa lolote kwani Kanuni ya Bunge ibara ay 65(1)(c) inasema hivi:
{Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote hataruhusiwa kusema zaidi ya mara moja juu ya hoja, ila tu kama anasema kuhusu utaratibu}
Hivyo, Lema, Lissu na wenzake hawajavunja kanuni yoyote na anayepaswa kuwajibika ni Job Ndugai kwani video imeonyesha wazi kuwa amezuia point of order wakati hana mamlaka hayo.
Hakiamungu ccm ni janga sana kwa Nchi yangu ya AMANI na UPENDO!
Haya haya ndiyo yalimsibu Gaddafi wa Libya!