Godbless Lema: Kesho narudi bungeni!

Godbless Lema: Kesho narudi bungeni!

Bunge gani? Au umemsikia anasema anarudia BANGE?
 
Mbowe akimwacha Lema afanye utoto wa kutokuheshimu amri ya kiti cha Spika atakuwa amedhihirisha udhaifu wa hali ya juu...
 
bangi zinamsumbua tumewachoka badala kujadili shida za wananchi mmekalia kuonekana sifa za kishenzi,pumbafuuuu chadomo

kazi ya ccm ndio kama hyo kutoa mitusi. Kwan Tundu lisso kakosea nini na lema pia kakosea nini we ----?
 
Sisi kituo cha police central tunamsubiri kwa hamu lema kesho maana tutamkamatia getini na atakuwa selo hadi j3 tunampeleka mahakamani nalazima tutamkuta na kete alizotumia kwishneyy


Ukimaliza kuandika kachukue kopo ukachambe...
 
Sifa binafsi wamachinga arusha shida kibao amekalia mwongozo wa spika

Hizo shida kwani zimeanza leo?wao ndio watazimaliza? kwa taarifa yako shida zilikuwapo enzi na enzi toka CCM iliposhikilia jimbo la AR mjini so na wao cdm walizikuta na hawataweza kuzimaliza. Povu jiiingi la nini
 
Bangi mbaya sana...

Eti kikwete aende Arusha kwa Paspoti...
Mbona Katia maguu hapo mmebaki mnacheka cheka...
 
Kasauti kandugai utafikiri wamemkwida! Spika gani huyo? Mbona analidhalilisha bunge. Ndugai bado hajamaliza chuki za mwezi Januari na Lisu.
 
Ndugai bado anakinyongo na Lisu! Hawezi kumtoa kimabavu namna ile. Ndugai aache CDM wafanyekazi!
 
Nimemsikia Mbunge lema kupitia taarifa ya habari ya ITV ya saa 2 usiku huu akisema kuwa kesho anarudi bungeni licha ya amri ya naibu spika kuwazuia kuingia bungeni.

Mbunge Lema alikuwa akihojiwa na ITV sambamba na wabunge wengine waliosimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge.Mmoja wao alikuwa mh.Tundu Lissu aliesema hakuna kanuni ya bunge inayoweka ukomo wa mtu kuomba utaratibu na kwamba maamuzi ya naibu spika hayakuwa sahihi.Wengi wao waliohojiwa wamelaumu uamuzi huo.

Binafsi nashindwa kuamini nilichokisika labda kama nimesikia vibaya maana najiuliza kama hizo kanuni za bunge zitamruhusu kweli kurudi bungeni?

Kwakweli wabunge wa CHADEMA wananyanyaswa sana na kiti cha spika!

Makamanda vumilieni kwani msitarajie ushindi rahisi bila watu kupita katika kipindi kigumu.
Lema hajui sheria sasa arirudi bungeni?? Bange za arusha hizo...na hata kama kuna unlimited kuwa lazima uongee tu,je? Kila mmoja nae akiamua afanye hivyo itakuwaje,bunge la demokrasia ni kila mmoja aongee sasa akiwa anaongea Lissu tu wabunge wetu watapataje? Nafasi ya kutuwakilisha sisi wengine au Tanzania ni Shinyanga mjini?
 
Sisi kituo cha police central tunamsubiri kwa hamu lema kesho maana tutamkamatia getini na atakuwa selo hadi j3 tunampeleka mahakamani nalazima tutamkuta na kete alizotumia kwishneyy

Kazi ni kazi jamani. Ukiwa kazini uko tayari kufanya lolote kwa ajili ya mwenye mbwa. Jabza za ndungai na ubabe havionekani? Aliyesema ---- you anapeta. Mwaka wenu huu poleni
 
bangi zinamsumbua tumewachoka badala kujadili shida za wananchi mmekalia kuonekana sifa za kishenzi,pumbafuuuu chadomo
Aisee shida za wananchi zinajadiliwa kwa mapana na marefu na mwigulu, lusinde, Nkamia, Serukamba et,.al
 
Toka lini cdm huwa mnakubali? Genge la wahuni nyie hamna mnchotetea wananchi maana mnatoa povu kwenye mambo ya kipuuzi mambo ya maana mnayaacha yapite bila kutoa ushirikiano
 
Mbowe akimwacha Lema afanye utoto wa kutokuheshimu amri ya kiti cha Spika atakuwa amedhihirisha udhaifu wa hali ya juu...

zaidi ya pinda alivyoshindwa kuwathibiti serukamba,mwigulu,lusinde na mkamia
 
Toka lini cdm huwa mnakubali? Genge la wahuni nyie hamna mnchotetea wananchi maana mnatoa povu kwenye mambo ya kipuuzi mambo ya maana mnayaacha yapite bila kutoa ushirikiano

Mkuu mambo ya maana yaliyoachwa na chadema yapite bila kutoa ushirikiano ni kama yapi?
 
Tundu Lissu na wenzake walioomba utaratibu yaani "Point of Order" hawakuwa na kosa lolote kwani Kanuni ya Bunge ibara ay 65(1)(c) inasema hivi:

{Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote hataruhusiwa kusema zaidi ya mara moja juu ya hoja, ila tu kama anasema kuhusu utaratibu}

Hivyo, Lema, Lissu na wenzake hawajavunja kanuni yoyote na anayepaswa kuwajibika ni Job Ndugai kwani video imeonyesha wazi kuwa amezuia point of order wakati hana mamlaka hayo.
Hili linaeleweka sana ndugu yangu. Tatizo umeingizwa ubabe bungeni, na upuuzi, na ujinga kwa sababu uongozi wa bunge ni dhaifu


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hakiamungu ccm ni janga sana kwa Nchi yangu ya AMANI na UPENDO!
Haya haya ndiyo yalimsibu Gaddafi wa Libya!

Mwisho wa siku wale waliokuwa wanamwogopa na kumtii wakamchomeka kijiti nyuma, I can see it coming,...!
 
Back
Top Bottom