ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,012
- 9,103
So wanashika pound tu?Naomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
So wanashika pound tu?Naomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
MalawiNaomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
Kenya chini ya Mwai KibakiNaomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
Vipi Tunduma na Singida?Chadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano.
Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Hakuna lori wala basi hapo!
Zuchu, huyo ni mzee wa kuwafanya walio nuna wachekeHivi ni Zuchu au Chuchu? ....in Magu's voice.
Mwaka huu lazima makoo yenu yatakauka kwa kujibu mashambulizi ya wapinzani.Akatafute kazi ya kufanya asichezee kiinua mgongo
Nchi ya AmericaNaomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
Wapo njiani kutokea Mwanza utawaona tu usijali
Kwani wewe unaishi sayari gani?Naomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
Cdm hawana muda na fiesta ili kupata wanachama na wapenzi.Wapo njiani kutokea Mwanza utawaona tu usijali
Sisi wana Arusha tulisha apa kiapo cha kuikataa ccm na hicho kiapo bado tunachoHana chake safari hii,wakazi was Arusha wajiandae kuibiwa magari sasa
Mantiki yako ikoje kwa bandiko lako mshindwe kihalali mtachukua nchi?Kwa sasa tunatakiwa kujiuliza ni namna gani ya kuwakabili CCM watupe nchi na si kujiuliza kama tutashinda huu uchaguzi.
Kama namuona RC mstaafishwaHakuna lori wala basi hapo!
Na yale ya rufaa tukiashinda je?Chadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..
Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Wizi wa magari utarudi kwa Kasi SanaSisi wana Arusha tulisha apa kiapo cha kuikataa ccm na hicho kiapo bado tunacho
Sent using Jamii Forums mobile app