Atapigwa asubuhi tuAmeshindwa kabla ya muda...Pale Arusha Mjini kwa Sasa Ni Kijani tupu kila Kona...Lema Arudie Kazi yake ya zamani ya kuiba Madini....Loliondo
Kama vile CCM ilivyoona noma kwenda kupandisha zile bendera zake pale Dodoma ikaona iwatumie wale wafungwa la sivyo wangezomewa hatariLeo Lema kaingia mitini antenna imenusa zomea zomea akaona ohh isiwe nongwa
Mwambie akamuulize Jafo wana chuga ni watu wa aina ganiLabda wewe na mumeo ndio mngemzomea.Sisi wana Arusha kwa ujumla wetu tunajiandaa kumrudisha tena bungeni mwezi Oktoba 2020.
Hii ndiyo Taarifa zinazozunguka kwenye vijiwe vyote vya Arusha
Taarifa hii inazima kabisa uvumi wa Mh Lema kwenda kwenye majimbo Mengine
Pichani : Mwakilishi wa Mh Lema akichukua fomu kwa niaba yake
Hana chake arudi akafanye ile kazi yake
Sioni vizuri huyo aliyeshika fomu ni mwanaume au mwanake simwelewi mwelewi
Kwani kuna masharti ya jinsia?Sioni vizuri huyo aliyeshika fomu ni mwanaume au mwanake simwelewi mwelewi
we huijui Arusha, kama ni hivyo usemavyo basi Jafo asingefukuza mtu. Kwa Jafo hakukuwa na mtu na Lema akajua lazima watu wangeandamana kwake hivyo kuepusha shali katumia wakala.Kaogopa kuzomewa mitaani.Arusha leo ingerindima kwa zomea zomea
NdioIle ya kupiga magari a town na kuyapeleka kenya
PoleKaogopa kuzomewa mitaani.Arusha leo ingerindima kwa zomea zomea
"Inge" ni wakati ujao usio timilifu. Kwa hii sentensi yako huo wakati hautatimia kamweKaogopa kuzomewa mitaani.Arusha leo ingerindima kwa zomea zomea
Sioni vizuri huyo aliyeshika fomu ni mwanaume au mwanake simwelewi mwelewi