grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 4,014
- 5,662
Sitaki kujiuliza atauingiza vipi maana hata ulivyo siujui ulivyo we don't assume things mzee 😂 have a gud dayAmesema ataingiza mguu jehanam jiulize atauingiza vipi
Sitaki kujiuliza atauingiza vipi maana hata ulivyo siujui ulivyo we don't assume things mzee 😂 have a gud dayAmesema ataingiza mguu jehanam jiulize atauingiza vipi
Nadani hii ndio jibu la mada jamaa aliyoileta kila kitu kipo connected na source mojaHumans are part of God period,ukiweza zama deep in yourself ukadrop thinking,ego,knowledge n.k ukaanza kuwa empty una arise kwenye source yako yani you together with whole
Ukiwa umekimbia njoo hapa ujifunze shape ya allah na mguu wakeSitaki kujiuliza atauingiza vipi maana hata ulivyo siujui ulivyo we don't assume things mzee 😂 have a gud day
Chuki na wivu dhidi ya uislamu kama ubabisha kalete Author wa hiyo literatureHizi dini zenu zilizoanzishwa na mapedophiles hizi hovyo tu! [emoji706][emoji706][emoji706]
View attachment 2461964
![]()
How many wives and concubines did prophet Muhammad have?
Answer (1 of 5): Muhammad had 13 wives and 3 concubines.Khatija was his first wife.Aisha was his favourite wife. He married Zainab , the divorced wife of his own adopted son. He married Safiya , the Jewish girl after the Muslim army killed her husband.www.quora.com
Kuna USHAHIDI kwamba alikuwa akishukiwa na Jibril na si kutamka mawazo yake binafsi???Ipo hivi 😂😂😂 wacha nikufundishe kitu we muslims aint dumb or stupid kwanini hoja yako ni dhaifu ni kwa sababu hizi.
1. Moja ya kipawa Allah ( The exalted one) alimpatia mtume wake ni kutokusahau chochote atakachofunuliwa (wahyi) yaani jibril (alayhi salam) alikuwa akishuka na kumpatia wahyi basi haufutiki kichwani kwake yaani hausahau kabisa ispokuwa atasahau yale aliyotaka yeye ALLAH (the all powerful) asahau , ushahidi tunaupata kwenye surah ya 87 (surat a'ala) hebu tuangalie kile mola wetu muumba wa vyote alimwambia mtume wake kipenzi
87:6-7
6. سَنُقۡرِئُكَ فَلَا تَنۡسٰٓىۙ
Tutakusomesha wala hutasahau
7. اِلَّا مَا شَآءَ اللّٰهُؕ اِنَّهٗ يَعۡلَمُ الۡجَهۡرَ وَمَا يَخۡفٰىؕ
Ila akipenda mwenyezi Mungu. Hakika yeye anayajua yaliyo dhaahir na yaliyofichikana.
☝🏾☝🏾 Kwa ushahidi huo hapo hata kama jamaa yenu huyo mkristo angetaka kubadili aya basi asingeweza maana angekuja mtu/swahaba wake mwengine angesoma na mtume muhammad (radhi za Allah ziwe juu yake) angejua tu kuwa nukuu hiyo imekosewa so tunavunja point zako kwamba aliandikiwa 😂😂 easily .
2. Allah (The only king) amesema haya hapa kwenye kitabu chake kitukufu tuangalie surat hijri (surah ya 15 aya ya 9)
15:9
9. اِنَّا نَحۡنُ نَزَّلۡنَا الذِّكۡرَ وَاِنَّا لَهٗ لَحٰـفِظُوۡنَ
Hakika sisi ndiyo tulio teremsha ukumbusho huu, na hakika sisi ndio tutao ulinda.
Kwa hiyo hata ingekutumika njia gani kujaribu kubadili hizo aya tukufu basi ingeshindikana na hakuna ambacho kingewezekana kamwe mpaka sasa quran imebaki on its pure form WHAT A MIRACLE
I GUESS UMEELEWA NILICHOKIANDIKA 😂😂
Humans are part of God period,ukiweza zama deep in yourself ukadrop thinking,ego,knowledge n.k ukaanza kuwa empty una arise kwenye source yako yani you together with whole
Ukiachana na quran ambayo ndiyo msingi mkuu, then ushahidi mwengine upo na tunaupata kwenye hadith nyingi tu Maswahaba wanashuhudilia hili in different occassions .Kuna USHAHIDI kwamba alikuwa akishukiwa na Jibril na si kutamka mawazo yake binafsi???
Kwasababu hata hayo bado ni maneno yake..
Kwamba hujui pedophile ni mtu gani au?Chuki na wivu dhidi ya uislamu kama ubabisha kalete Author wa hiyo literature
Alietoa challenge mwenyewe ka chukua Aya mpaka za siafu wanaongea yeye kapachika kwenye KoranMlishapewa challenge mlete angalau aya moja kama ya kwente quran isiyo na errors zozote kama mtaweza mpaka leo hamjaleta kitu chochote
Quran inaweka challenge wakati tayari ina maneno mpaka ya shetani, maneno ya majini, wadudu , binadamu, ndege n:kMlishapewa challenge mlete angalau aya moja kama ya kwente quran isiyo na errors zozote kama mtaweza mpaka leo hamjaleta kitu chochote
Huyu hapa akitoa kwa KALAMU:𝐈𝐬 𝐢𝐭 𝐧𝐨𝐭 𝐚𝐧 𝐢𝐧𝐬𝐮𝐥𝐭 𝐭𝐨 𝐆𝐨𝐝 𝐭𝐨 𝐫𝐞𝐝𝐮𝐜𝐞 𝐆𝐨𝐝 𝐭𝐨 𝐦𝐚𝐧?
1. God comes out of a woman's belly (Matthew 1:18-25)
2. God eats and drinks (Matthew 26:29)
3. God rests (Genesis 2:1-3)
4. God is sleeping (Mark 4:38)
5. God wrestles with Jacob (Gen 32:28)
6. God is dying (1 Corinthian 15:3-4)
𝐁𝐮𝐭 𝐬𝐡𝐨𝐮𝐥𝐝𝐧'𝐭 𝐭𝐡𝐞 𝐟𝐨𝐥𝐥𝐨𝐰𝐢𝐧𝐠 𝐛𝐞 𝐭𝐫𝐮𝐞 𝐢𝐧𝐬𝐭𝐞𝐚𝐝?
1. Not is He begotten; Quran (12:3)
2. He does not need anything Quran (35:15)
3. “He who created the heavens and the earth and does not tire of creating them... Qurna (46:33)
4. Neither heedlessness nor sleep will reach him. Quran (2:255)
5. He has no equal. Quran (2:4)
6. He is always alive. Quran (2:255)
His glory is exalted (and above your attributes). Quran (19:35)
Whoever wants to meet god should know that the time appointed by God will definitely come. Quran (29:5)
𝐑𝐞𝐯𝐢𝐞𝐰 𝐚𝐧𝐝 𝐜𝐨𝐦𝐩𝐚𝐫𝐞 𝐢𝐭𝐞𝐦𝐬 𝐨𝐧𝐞 𝐛𝐲 𝐨𝐧𝐞. 𝐀𝐬 𝐭𝐡𝐞 𝐐𝐮𝐫'𝐚𝐧 𝐬𝐚𝐲𝐬 𝐢𝐧 𝐦𝐚𝐧𝐲 𝐯𝐞𝐫𝐬𝐞𝐬. 𝐓𝐨 𝐫𝐞𝐚𝐝! 𝐋𝐨𝐨𝐤! 𝐓𝐡𝐢𝐧𝐤! 𝐔𝐬𝐞 𝐲𝐨𝐮𝐫 𝐦𝐢𝐧𝐝!View attachment 2457590
Huyu hapa akitoa kwa KALAMU:
![]()
1. Nuun. Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo, 1
![]()
2. Kwa neema ya Mola wako Mlezi wewe si mwendawazimu. 2
Katika Quran, Mwenyezi Mungu anaapa kwa mambo mbalimbali ili kusisitiza jambo au kutoa ahadi. Kwa mfano, anaapa kwa nyota (Quran 56:75), kwa mapambazuko (Quran 89:1), na kwa nafsi (Quran 75:2). Mtini na mzeituni ni vitu viwili ambavyo Mwenyezi Mungu anaapa navyo katika Quran. Anaapa kwa mtini katika Sura At-Tin (Quran 95:1) na kwa mzeituni katika Sura Al-Baqarah (Quran 2:23).
Huyu impostor tutamchambua humu mpaka mlikimbie jukwaa. Tunawatazama tu kwa sasa.
Huyu hapa akitoa kwa KALAMU:
![]()
1. Nuun. Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo, 1
![]()
2. Kwa neema ya Mola wako Mlezi wewe si mwendawazimu. 2
Katika Quran, Mwenyezi Mungu anaapa kwa mambo mbalimbali ili kusisitiza jambo au kutoa ahadi. Kwa mfano, anaapa kwa nyota (Quran 56:75), kwa mapambazuko (Quran 89:1), na kwa nafsi (Quran 75:2). Mtini na mzeituni ni vitu viwili ambavyo Mwenyezi Mungu anaapa navyo katika Quran. Anaapa kwa mtini katika Sura At-Tin (Quran 95:1) na kwa mzeituni katika Sura Al-Baqarah (Quran 2:23).
Huyu impostor tutamchambua humu mpaka mlikimbie jukwaa. Tunawatazama tu kwa sasa.
Quran inaweka challenge wakati tayari ina maneno mpaka ya shetani, maneno ya majini, wadudu , binadamu, ndege n:k
- Anza na talking ants, maneno ya ant ndani ya koran
- 27:18. ...., alisema mdudu chungu mmoja: Enyi wadudu chungu! Ingieni majumbani mwenu, asikupondeni Sulaiman na majeshi yake bila ya wao kutambua.
- Aya za Binadamu, Sulaiman
- Sulaiman .....akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu?
- Aya ya Ndege Hud Hud
- 27:22. Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.
- Aya ya shetani
- Hijr:39. [Iblis (Satan)] said: "O my Lord! Because you misled me,.....
- Sura ya majini , hii ni almost surah nzima ni yao wanaongea
- Jinn: 1 - ....kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur'ani ya ajabu
Wasemaji nimewataja , Allah alitakiwa kuwapa acknowledgementKweli umechanganyikiwa, hivi aya zote hizo ulizoleta msemaji ni nani ??? UKAFIRI UTAKUUWA
Alitakiwa na nani ??? Wewe ?Wasemaji nimewataja , Allah alitakiwa kuwapa acknowledgement
Ukichukua maneno au kazi ya kiumbe lazima ikipe acknowledgement la sivyo ni plagiarismAlitakiwa na nani ??? Wewe ?
Umeona ukuu wa Mungu? Kwa kuwa hana mwingine juu yake huapa kwa nafsi yake mwenyewe, sio kalamu, mara jua nk vitu alivyoviumba. Kwa nini tusimtilie shaka huyu mungu asiyeelewa hata wale vipi?Hapa chini tutaona MUNGU Mwenyezi eti akiapa kwa Kiburi cha Yakobo. Lakini tuangalie kwanza mistari ifuatayo kutoka katika Biblia:
Waebrania 6:12-14
12 Hatutaki muwe wavivu, bali muige wale ambao kwa imani na uvumilivu wanarithi yale yaliyoahidiwa.
13 Mungu alipompa Abrahamu ahadi, kwa kuwa hakuna aliye mkuu zaidi kwake ambaye angeweza kuapa kwa yeye, aliapa kwa nafsi yake.
14 akisema, Hakika nitakubariki na kukupa uzao mwingi.
Mwanzo 22:15-17
15 Malaika wa Bwana akamwita Ibrahimu mara ya pili kutoka mbinguni
16 akasema, Naapa kwa nafsi yangu, asema BWANA, kwamba kwa sababu umefanya hivi, wala hukunizuilia mwanao, mwanao wa pekee,
17 Hakika nitakubariki na kufanya wazao wako kuwa wengi kama nyota za mbinguni na kama mchanga wa pwani. Wazao wako wataimiliki miji ya adui zao,
Hapa Malaika anamfunulia Ibrahimu kile ambacho MUNGU Mwenyezi alimwagiza Malaika amfunulie Ibrahimu. MUNGU Mwenyezi aliapa kumbariki Ibrahim, amani iwe juu yake.
Yeremia 22:4-5
4 Kwa maana kama mkishika amri hizi kwa uangalifu, ndipo wafalme wanaoketi kwenye kiti cha enzi cha Daudi wataingia kupitia malango ya jumba hili la kifalme, wakiwa wamepanda magari ya vita na farasi, pamoja na maofisa wao na watu wao.
5 Lakini msipozishika amri hizi, asema BWANA, naapa kwa nafsi yangu kwamba jumba hili la kifalme litakuwa magofu. "