Gmail chaka la matapeli wa mapenzi

Gmail chaka la matapeli wa mapenzi

Andrew123

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2012
Posts
8,405
Reaction score
11,196
Wandugu Salam
Kwa takribani miezi kadhaa niliweka tangazo natafuta mke humu JF nikapata response kibao ila katika chache mabazo zimetia fora ni ile iliyonikuta pale MARYLAND MWENGE ya kuvamiwa na vijana 4 waliodai ati namsumbua dada niliyokuwa nae hapo (HUYO DADA TULIKUTANA JF) tukakubaliana tukutane hapo. Kitu kingine nilichogundua kwenye "WACHUCHU" wa JF ni kuwa wengi wao wana e-mail "feki" hususani wanatumia gmail maana ni rahisi na fasta kutengeneza Account kuliko Yahoo/hotmail. Ushauri wangu kama umepata mchuchu mwenye email ya gmail usimuamini sana fanya uchunguzi zaidi kuhusu uhalalai wa JINA/email yake nasema hivi katika watu walio ni contact yumo aliyekuwa boss wangu (mwanamke kaolewa) sehemu katika kuchombeza nikamuombaemail na namba ya simuduuh akanipa ile namba yake ya ukweli ila email feki (gmail) it seems alitengeneza email ya gmail kwa ajili ya magumashi yake ya pembeni. SO WADAU KUWENI MAKINI, msije mkatongoza wake zenu humu.
 
Snowhite
kutongoza hakuna formula so no need kwenda kufundishwa! we tokelezea vile unaona inafaa kama ni kulia poa, kama ni kuandika kimemo poa kama ni kumtuma baa medi sawa tu but hoja ya leo nilioileta jamvini ni Gmail kuwa chaka la matapeli FULL STOP.
 
mhm kumbe...alafu mie nilikuwa najua tuu humu jf wee tafuta wakubandua tuu...hamna wife material humu
 
mhm kumbe...alafu mie nilikuwa najua tuu humu jf wee tafuta wakubandua tuu...hamna wife material humu

Kwa tabia hiyo kamwe hutapata... kwa kuwa na yule wako pia atakuwa anabanduliwa mahala na wenye mtizamo kama wako
 
Mi natumiaga dawa kutongoza, we nenda kahonge alteeza, mi ndumba na kadawa keusi napaka kwenye lips mwanamke hachomoi hapo!
 
he he he, ukiumwa na nyoka bana, hata nyonyo ya mkeo ikikugusa unaruka.
 
una akili fupi wewe , kama stori zako za kutunga!


Wandugu Salam
Kwa takribani miezi kadhaa niliweka tangazo natafuta mke humu JF nikapata response kibao ila katika chache mabazo zimetia fora ni ile iliyonikuta pale MARYLAND MWENGE ya kuvamiwa na vijana 4 waliodai ati namsumbua dada niliyokuwa nae hapo (HUYO DADA TULIKUTANA JF) tukakubaliana tukutane hapo. Kitu kingine nilichogundua kwenye "WACHUCHU" wa JF ni kuwa wengi wao wana e-mail "feki" hususani wanatumia gmail maana ni rahisi na fasta kutengeneza Account kuliko Yahoo/hotmail. Ushauri wangu kama umepata mchuchu mwenye email ya gmail usimuamini sana fanya uchunguzi zaidi kuhusu uhalalai wa JINA/email yake nasema hivi katika watu walio ni contact yumo aliyekuwa boss wangu (mwanamke kaolewa) sehemu katika kuchombeza nikamuombaemail na namba ya simuduuh akanipa ile namba yake ya ukweli ila email feki (gmail) it seems alitengeneza email ya gmail kwa ajili ya magumashi yake ya pembeni. SO WADAU KUWENI MAKINI, msije mkatongoza wake zenu humu.
 
Duuh haya wajameni mi natoa tahadhari tu.mi nishaacha kutongoza humu jf ole wenu nyie mnaochipukia mtakutana dhahama halafu mtakumbuka huu ushauri
 
story yako inaweza ikawa ya ukweli,ila kuna mengine umetia chumvi.kama hayo ya bosi.na wanaume mbona na nyinyi ni matapeli vile vile jf?kila sehemu mnajitongozea tu.ingawa sio wote
 
tOKA ZAKO ACHA UWONGO, TOKA JANA UNAAMBIWA UTAJE ID HUTAJI!
LABDA WEWE NDIO UNACHIPUKIA KUTAFUTA UMAARUFU KWA USHI-GONGO!

Duuh haya wajameni mi natoa tahadhari tu.mi nishaacha kutongoza humu jf ole wenu nyie mnaochipukia mtakutana dhahama halafu mtakumbuka huu ushauri
 
story yako inaweza ikawa ya ukweli,ila kuna mengine umetia chumvi.kama hayo ya bosi.na wanaume mbona na nyinyi ni matapeli vile vile jf?kila sehemu mnajitongozea tu.ingawa sio wote
kisukari..........:shock:
 
Last edited by a moderator:
Hapana baba, mie nisingembakisha. Ningemtapeli kichwa hadi unyayo, siachi hata nywele! I never do failed miaaiona, you know your baby gal hehehe.
Afu uacje kutegea malezi hukooo
Isije ikawa ilikuwa ni wewe.....LOL
 
Kwa tabia hiyo kamwe hutapata... kwa kuwa na yule wako pia atakuwa anabanduliwa mahala na wenye mtizamo kama wako

well yote ni mitazamo...haiwezekani wewe ukawawabandua wa wenzio wao wasikubandulie....itakuwa kijidanganya tuu.
 
Back
Top Bottom