C_O
Member
- Jan 3, 2019
- 54
- 33
Billioni 1.1 ni watu waishio afrika na zaid na millioni 150 ni watu waishio EAC pia na watu zaidi ya million 56 wanaishi Tz
Na pia katika hizoo idadi kubwa ni vijana sasa nakuuliza ww kijana unaamin kuwa glass is half empty or glass is half full??...
Mimi binafsi naamin kuwa glass ni nusu wazi.. vijana tuna fulsa kubwa sana na pia tuna jukum kubwa sana basi tusaidiane wote kwa ujumla kulfikisha gurudum hili linapo takiwa kufika tusiwe na vijana wengi weny degree afu sio smart na walio elimika vizuri tusirudie makosa au maisha ya wazee na wazazi wetu nazani hicho ndo kilicho wafnya china wafke pale walipo
It is concern with business
Na pia katika hizoo idadi kubwa ni vijana sasa nakuuliza ww kijana unaamin kuwa glass is half empty or glass is half full??...
Mimi binafsi naamin kuwa glass ni nusu wazi.. vijana tuna fulsa kubwa sana na pia tuna jukum kubwa sana basi tusaidiane wote kwa ujumla kulfikisha gurudum hili linapo takiwa kufika tusiwe na vijana wengi weny degree afu sio smart na walio elimika vizuri tusirudie makosa au maisha ya wazee na wazazi wetu nazani hicho ndo kilicho wafnya china wafke pale walipo
It is concern with business