Ghorofa linatitia, mbuyu unakaribia kuanguka

Ghorofa linatitia, mbuyu unakaribia kuanguka

Kuna ANTI MAGUFULI sentiments zinatoka kwa wananchi towards Magufuli and his minions!

Kuna hasira ipo ndani kwa ndani

Trust me,Magufuli atakuja kuelewa vizuri kabisa anachodhani kua atashinda kama anavyodhani si kweli

Sanduku la kura ndio atajua maana yake ni nini!

Na ule ujanja wa eti kwavile mimi namiliki serikali sijui nitalazimisha,sio rahisi kama anavyodhani!

Ni even harder to do that!

Ngoja wananchi tuwafundishe hawa maana ya siasa ni nini na nguvu ya kura ya mwananchi ni nini!

Watch this space.
Aliyesema kura zipigwe na zihesabiwe kwa uwazi ni nani kama siyo yeye Magufuli? Ina maana alijua kuwa kuna uwezekano anaotaka wasipite na alikuwa tayari kwa hilo?
Aliyesema kwamba watu awaridhiki ni nani? Si yeye?
Sometimes watu mnafurahisha sana kila linalotokea mnpinga au kushangilia.
 
Amini usiamini mchakato unaendelea sasa hivi umeihuisha CCM na kuwa imara sana. Tukubali CCM ni chama imara sasa hivi na kimeona mbali kwamba ili kuondoa mpasuko na kuondoa uhalali wa mtu kalalamika kwamba kachezewe mchezo mchafu wameacha mambo yajiongoze yenyewe. Vinginevyo CCM ingelichafuka vibaya sana na kupelekea kupasuka. Mtu yoyote atakayeona hakutendewa haki katika mchakato ulivyofanyika atakuwa ana lake jambo.
 
Amini usiamini mchakato unaendelea sasa hivi umeihuisha CCM na kuwa imara sana. Tukubali CCM ni chama imara sasa hivi na kimeona mbali kwamba ili kuondoa mpasuko na kuondoa uhalali wa mtu kalalamika kwamba kachezewe mchezo mchafu wameacha mambo yajiongoze yenyewe. Vinginevyo CCM ingelichafuka vibaya sana na kupelekea kupasuka. Mtu yoyote atakayeona hakutendewa haki katika mchakato ulivyofanyika atakuwa ana lake jambo.
Hembu mjaribu hata punde kura kuanzia za urais ubunge udiwani zihesabiwe kwa uwazi kama mnavyofanya sasa muione shoo
 
Hembu mjaribu hata punde kura kuanzia za urais ubunge udiwani zihesabiwe kwa uwazi kama mnavyofanya sasa muione shoo
Kwa uelewa unadhani lini upinzani uliwahi kushinda kwenye urais? Au unataka kusema mwaka 2015 ukawa walishinda uraisi?
 
NI SWALA LA MUDA TU.. tuendelee kutafuna karanga huku tukitizama picha, hakuna kinachoweza kutabirika, lolote linaweza kutokea. siasa mchezo mchafu.
 
Waliondoka kwa mbwembwe nyingi sana,na matusi ya kumtukana mkunga wakati wanataka kuendelea kuzaa wakasahau kuwa CCM wanakokwenda siyo mbinguni, kilichowapata mpaka shetani anacheka.
 
Back
Top Bottom