komamgo
JF-Expert Member
- Sep 14, 2012
- 1,757
- 1,485
UmezidiAsante kwa mtazamo lakini huwa sipangiwi cha kufanya. Kuniita mpuuzi haimaanishi kuwa mimi ni mpuuzi huo ni mtazamo wako..na katika maisha ukweli si chochote bali uhalisia ndio kila kitu.
UmezidiAsante kwa mtazamo lakini huwa sipangiwi cha kufanya. Kuniita mpuuzi haimaanishi kuwa mimi ni mpuuzi huo ni mtazamo wako..na katika maisha ukweli si chochote bali uhalisia ndio kila kitu.
Mkuu huna haja ya kukasirika kwa mtoa mada kwani ukweli uko wazi. Wako Watia nia wengi walioimba na kusifu hizo nyimbo unazoziita umaarufu wa JPM lkn wameishia kuangukia pua zao.
Mshana Jr,
Mimi siyo CCM ila naiona iko vizuri sana kuliko wakati wowote. Jinsi walivyopiga kura na kuhesabu kwa uwazi ni pigo kubwa sana kwa wapinzani ambao walitegemea mchakato wa kura za maoni ndani CCM utakuwa na mizengwe na kusababisha malalamiko mengi.
Ungejua tofauti kati ya uchaguzi wa ndani na wa jumla usingenibishia! Uchaguzi wa ndani ni wa mgombea binafsi na unaakisi ni jinsi gani anapendwa au amejipanga. Uchaguzi wa jumla ndio unaweza kuakisi jinsi chama au JPM anavyokubalika. Nasisitiza ni ujuha kulinganisha matokeo ya uchaguzi ndani ya CCM na JPM wakati yeye kasema hakumtuma mtu. Aione MshanajrMkuu huna haja ya kukasirika kwa mtoa mada kwani ukweli uko wazi. Wako Watia nia wengi walioimba na kusifu hizo nyimbo unazoziita umaarufu wa JPM lkn wameishia kuangukia pua zao.
Ardhi imeshapasuka kuelekea lilipo ghorofa. Mmiliki wake na wote waliomo ndani wamejawa na hofu. Hata wewe pia umejawa na hofu na ndiyo maana umekimbilia kumuita mtoa mada "Mpuuzi" na kwakuwa siku hazigandi tutaona "Mpuuzi" ni nani.
ama mpotezee au mpe kibushaAsante kwa mtazamo lakini huwa sipangiwi cha kufanya. Kuniita mpuuzi haimaanishi kuwa mimi ni mpuuzi huo ni mtazamo wako..na katika maisha ukweli si chochote bali uhalisia ndio kila kitu.
Jamaa wa Brussels kura mnapiga kwenye Zoom?
Jina "Mpuuzi" hutoholewa kutoka "puuzi"
Wasaliti sasa wanakipokea kikombe cha usaliti walichojiandalia wao wenyewe.
Wewe ni wa kupiga ndio utaelewa..😂😂That's exactly right..so time is a carrier not a speaker
Kabla hujaondoka, na sisi wapiga kura tutapata fursa ya kura zetu kuhesabiwa live au mabox lazima yabebwe?Mshana Jr,
Mimi siyo CCM ila naiona iko vizuri sana kuliko wakati wowote. Jinsi walivyopiga kura na kuhesabu kwa uwazi ni pigo kubwa sana kwa wapinzani ambao walitegemea mchakato wa kura za maoni ndani CCM utakuwa na mizengwe na kusababisha malalamiko mengi.
Mwikabe, Lijualikali, Nasari, mna hali yani?
Na unapochangia kama hivi ndio unajianika kuwa wewe ni wa upande gani japo kinafiki kabisa unasema huna upandeBadala ya ku-emulate wenzenu wanachofanya, mpo kufikiria jinsi a huge ship is gonna sink? Upinzani wa nchi hii ni majanga sana, angalia mchakato wa chama kikuu cha upinzani, full drama, hawaeleweki na hata mchakato wa kupata wagombea upo upo tu.
Ya kujifunza mjifunze, mnapoandika too much about your rivals mnaonyesha ni kiasi gani mnajilinganisha nao badala ya kuwa na njia sahihi za kupata wagombea wa nafasi mbalimbali.


katika maisha ni vema kujipambanua wazi kuwa msimamo wako sio bendera