Ghorofa linatitia, mbuyu unakaribia kuanguka

Ghorofa linatitia, mbuyu unakaribia kuanguka

Ghorofa litatitia zaidi kwenye kipindi cha upigaji kura hawa vilaza waliopitishwa na chama chao cha kijani tutawapiga chini tena kwenye sanduku la kura.
 
Time can't talk as the way you think.. ngumu kuja kuurejesha muda na uandike tofauti pale itakapokuja kuwa tofauti na kile ulichoandika, but time ndo imebeba hizo roho zinazozungumza!

Time ndo imebeba nadharia ya uwepo wa hizo roho zisemazo na zinatenda ndani ya muda na zinabadilila ndani ya huohuo muda, time still great.
That's exactly right..so time is a carrier not a speaker
 
Kinachoendelea CCM ni wazi kabisa kundi la CCM asili limeamua kutoa ujumbe wa kutisha mno kwa CCM chotara na CCM maslahi wakiwemo wale waliobebwa kwa mbeleko kubwa.

1. Karibia wote waliondooka upinzani kwa kejeli na kebehi nyingi na kujiunga na CCM wamepigwa chini
2. Wapendwa wa mkulu kama Mwakyembe, Makonda nk wamepigwa chini
3. Watu kama Mrisho gambo wamepita

Pamoja na kwamba huu unaweza usiwe mwisho wao kisiasa lakini tayari kengele ya hatari imeshalia. It's too late kufanya lolote.

Yajayo ni mengi, yajayo yanafurahisha, kuna wapenzi huamua kusaliti mahusiano kwa hasira ya kutendwa.

Hii hasira kali ya sasa ikizidi kutamalaki, naona wazi ghorofa linatitia, mbuyu huoooo unapinduka.
Kuna ANTI MAGUFULI sentiments zinatoka kwa wananchi towards Magufuli and his minions!

Kuna hasira ipo ndani kwa ndani

Trust me,Magufuli atakuja kuelewa vizuri kabisa anachodhani kua atashinda kama anavyodhani si kweli

Sanduku la kura ndio atajua maana yake ni nini!

Na ule ujanja wa eti kwavile mimi namiliki serikali sijui nitalazimisha,sio rahisi kama anavyodhani!

Ni even harder to do that!

Ngoja wananchi tuwafundishe hawa maana ya siasa ni nini na nguvu ya kura ya mwananchi ni nini!

Watch this space!
 
Vibendera kama kawaida yao
Full kudanganyana
Kisa Like na Sifa JF
Kutwa kujidanya jidanganya
Ilikuwa 2000,Ikawa 2005,Ikaenda 2010
Mara 2015
Leo yanarudia yale yale 2020
CCM Kuondoka au kuanguka sio kizazi chenu hiki cha wajinga wakudanganyana nakujiona wenye akili kumbe wapuuzi tu
Halafu bado unadiriki kushiriki..dah..unapata ujumbe gani hapa?

Waunga juhudi:

Kafulila chalii
Mtolea chalii
Lijuakali chaliii
Silinde Chalii
Katambi Chalii
Albert Msando chalii
Jushua Nasari Chalii
Patrobas Katambi chalii
Waitara chalii
 
Asante kwa mtazamo lakini huwa sipangiwi cha kufanya. Kuniita mpuuzi haimaanishi kuwa mimi ni mpuuzi huo ni mtazamo wako..na katika maisha ukweli si chochote bali uhalisia ndio kila kitu.
Pole
 
Time can't talk as the way you think.. ngumu kuja kuurejesha muda na uandike tofauti pale itakapokuja kuwa tofauti na kile ulichoandika, but time ndo imebeba hizo roho zinazozungumza!

Time ndo imebeba nadharia ya uwepo wa hizo roho zisemazo na zinatenda ndani ya muda na zinabadilila ndani ya huohuo muda, time still great.

Kama unaoongelea INTERVENTION ya mkulu kutegemeana na atakavyoamka siku hiyo hapo ni sawa. Vinginevyo imetoka hiyo!
 
Back
Top Bottom