Hapo pana shida sana, kudhani kuwa kila anayepinga hoja anatoka upande wao. Yaani hoja ikipingwa basi mpinga hoja anajitanabaisha kuwa yupo upande tofauti na wa mtoa hoja.Na unapochangia kama hivi ndio unajianika kuwa wewe ni wa upande gani japo kinafiki kabisa unasema huna upandekatika maisha ni vema kujipambanua wazi kuwa msimamo wako sio bendera
Hapana kila chama kina utaratibu wake na muda wake...kama jana page zote zilikuwa huko kwingine huo ni utaratibu wao...mada yangu ni tofauti kabisa na haya..iko deep zaidi ya kile nilichoona sasa..ikifika wakati wa wengine nitaandika piaHapo pana shida sana, kudhani kuwa kila anayepinga hoja anatoka upande wao. Yaani hoja ikipingwa basi mpinga hoja anajitanabaisha kuwa yupo upande tofauti na wa mtoa hoja.
Unajifunza kwa mazuri mwenzako anayofanya, mkubwa akivuliwa nguo anashika balls na kuchutama. Niambie chama kikuu cha upinzani kina utaratibu gani kupata "watia nia hatimaye wagombea"? No wonder jana pages zote online zilikuwa CCM, vitu vidogo tunavidharau ila vinaondoa credibility ya kuwa chama kikubwa.
Haya sema tena natoka upande ule.
Haya mzee!Hapana kila chama kina utaratibu wake na muda wake...kama jana page zote zilikuwa huko kwingine huo ni utaratibu wao...mada yangu ni tofauti kabisa na haya..iko deep zaidi ya kile nilichoona sasa..ikifika wakati wa wengine nitaandika pia
Lakini bado kamati kuu haijakaaa, msishangae wakarudishwa si mnajua kwenye kamati kuu mwenye sauti ni mmoja tu!!Chali
Inawezekana,hasa ukizingatia uchaguzi ulikuwa huru na wazi sana.Sijui watazungumzia niniHhakuna awali mbovu ...awali imeshatoa salamu muhimu
Ukiua kwa upanga utauawa kwa upanga.What goes around comes around.To every action there is an equal and opposite reaction. Acha wavune walichopanda.Hhakuna awali mbovu ...awali imeshatoa salamu muhimu
Hakuna awali mbovu nimeshasema ..nimewataja hao kama mfano..na salamu zimefika mbaliAhaaa,,umechemsha bwashee.yani kupigwa chini Makonda na Mwakyembe ndo ghorofa inatitia?
Waliopitishwa na walio achwa ni CCM.
waliopiga kura ni CCM.
wekeni akiba ya maneno nafasi za uteuzi ndani ya serikali ni nyingi.bado kuna viti maalum kumi vya Rais.kwenye siasa mambo yanabadilika muda wowote.
Amepuuza ukweliJina "Mpuuzi" hutoholewa kutoka "puuzi"
Ndipo unakutana na puuza kadhalika "Mpuuzi"
Mpuuzi ni mtu aliyethibitika kupuuza.
Mshana Jr amepuuza nini hata umwite mpuuzi?
Ukweli utabaki kama ulivyo hao wote ni CCM na akunaga vita ya CCM kwa CCM isiyoisha.Hakuna awali mbovu nimeshasema ..nimewataja hao kama mfano..na salamu zimefika mbali
Ukitaka angalau usomeke ungeandika "ameUpuuza"........Amepuuza ukweli
bora singo maza uoe kuliko ukute mkeo watoto wote aliokuzalia sio wakoHoa hamahama acha wajifunze, chama kilichowafanya kutambulika wamekikimbia, hata jf hamtaki single mothers ha ha haa nani akale makombo huko walishindwa nini leo tuwapokee.
Mioyo yao iko juu juu hawatosheki yaani matumbo yana mapango hawashibi na shukrani hawana.
Hivi wale dada zako waliosema walikuwa wanabakwa kule kwenu wakahamia kwetu wana hali gani.
Una mkoa mzima yaani mkoa ni kama nchi vile maana mpaka bahari unayo, mbaya zaidi hata jina lako ni unga unga tu leo unakuwa hushibi yaani hutosheki pamoja na kuwa huko duniani ushaambiwa usikanyage ambako ndo ulisaidiwa kuwekewa mtoto, baba yako akakukanya sitaki sitaki wewe kichwa kigumu
Haya labda baba akamkomboe huko kapuni.
Anyways, hayanihusu
Siku ulete ya lile jengo lililozaa chemchem huko kwenu.