Ghorofa linatitia, mbuyu unakaribia kuanguka

Ghorofa linatitia, mbuyu unakaribia kuanguka

Asante kwa mtazamo lakini huwa sipangiwi cha kufanya. Kuniita mpuuzi haimaanishi kuwa mimi ni mpuuzi huo ni mtazamo wako..na katika maisha ukweli si chochote bali uhalisia ndio kila kitu.

Wamekwama Kaka hawa! Namna ya Kuwa jibu message kama hizi ni “ha ha ha” hawana hata uhalali wa kujibiwa!
 
Mshana Jr,
Sometimes you don't have to talk you have to wait.
Yes, those who in politics are always waiting first but our relative has been right with this saying "Mwanasiasa akikwambia nje kuna mvua, usibebe mwamvuli ILA toka ndani ukahakikishe"
 
Mshana Jr,

Utakuwa ni upuuzi wa hali ya juu kulinganisha uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM na umaarufu wa JPM. Sometimes lazima Mshanajr uelezwe ukweli

Mshana , tunajua ulivyovuna pesa za propoganda uchaguzi ulopita kwa chadema kwa kutengeneza taharuki na taarifa za uongo kukifanya chadema kionekane chama tishio kwa ccm.
Safari hii chama hakina fedha, wazee wamekausha kibubu, fedha chafu haziingii tena.
Kwahiyo hizo propoganda unazokuja nazo ni nyepesi sana.
Mgepiga kura za wazi kuwapata hao wagombea wenu basi ungekuwa na hoja.
 
Mshana , tunajua ulivyovuna pesa za propoganda uchaguzi ulopita kwa chadema kwa kutengeneza taharuki na taarifa za uongo kukifanya chadema kionekane chama tishio kwa ccm.
Safari hii chama hakina fedha, wazee wamekausha kibubu, fedha chafu haziingii tena.
Kwahiyo hizo propoganda unazokuja nazo ni nyepesi sana.
Mgepiga kura za wazi kuwapata hao wagombea wenu basi ungekuwa na hoja.
Nimefarijika kuona kuwa sipo peke yangu JF. Na Tanzania itajengwa na watu walio neutral si wababaishaji. Ubarikiwe
 
Kinachoendelea CCM ni wazi kabisa kundi la CCM asili limeamua kutoa ujumbe wa kutisha mno kwa CCM chotara na CCM maslahi wakiwemo wale waliobebwa kwa mbeleko kubwa.

1. Karibia wote waliondooka upinzani kwa kejeli na kebehi nyingi na kujiunga na CCM wamepigwa chini
2. Wapendwa wa mkulu kama Mwakyembe, Makonda nk wamepigwa chini
3. Watu kama Mrisho gambo wamepita

Pamoja na kwamba huu unaweza usiwe mwisho wao kisiasa lakini tayari kengele ya hatari imeshalia. It's too late kufanya lolote.

Yajayo ni mengi, yajayo yanafurahisha, kuna wapenzi huamua kusaliti mahusiano kwa hasira ya kutendwa.

Hii hasira kali ya sasa ikizidi kutamalaki, naona wazi ghorofa linatitia, mbuyu huoooo unapinduka.
Bro! Twendelee kujifukiza. Naomba unitumie video ya mwakiyembe akiwa anajinadi tafadhali sijaiona maana
 
Mshana , tunajua ulivyovuna pesa za propoganda uchaguzi ulopita kwa chadema kwa kutengeneza taharuki na taarifa za uongo kukifanya chadema kionekane chama tishio kwa ccm.
Safari hii chama hakina fedha, wazee wamekausha kibubu, fedha chafu haziingii tena.
Kwahiyo hizo propoganda unazokuja nazo ni nyepesi sana.
Mgepiga kura za wazi kuwapata hao wagombea wenu basi ungekuwa na hoja.
Magufuli alishindana na nani hadi kupata ushindi wa asilimia 100? Acha vichekesho Mkuu.
 
Back
Top Bottom