Kuna neno hapa kwenye Aya yako linakusadifu wewe!Utakuwa ni mpuuzi wa hali ya juu kulinganisha uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM na umaarufu wa JPM. Sometimes lazima Mshanajr uelezwe ukweli
Kuna neno hapa kwenye Aya yako linakusadifu wewe!Utakuwa ni mpuuzi wa hali ya juu kulinganisha uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM na umaarufu wa JPM. Sometimes lazima Mshanajr uelezwe ukweli
Muda hua hausemi. Muda hauna mdomo muda hauna roho, vyenye roho ndio husema.Kwa kiasi fulani inaweza kuwa imenigusa ila sio kivile maana mi ni mfatiliaji tu we siasa!.. kilichonigusa umeusemelea muda badala ya kuuacha muda useme wenyewe.
Utabiri wa Simba kumlamba CCM 4 hujauona?Hakuna unacho andika sijui niite utabiri/uchambuzi kikawa sawa hata kwa asilimia 1 lazima kifeli kiwe kinyume chake, ndio maana huwa napenda sana kusoma maandiko yako halafu huwa nageuza ulichoandika nakuwa napata jibu tayari![]()






Time can't talk as the way you think.. ngumu kuja kuurejesha muda na uandike tofauti pale itakapokuja kuwa tofauti na kile ulichoandika, but time ndo imebeba hizo roho zinazozungumza!Muda hua hausemi..muda hauna mdomo muda hauna roho, vyenye roho ndio husema
Lete hoja acha chukiCcm Kwisha habari yao.