Niko nyumbani,nimeona kwenye taarifaPicha tafadhari
Bado linaenda taratibu,sijapata updated news tena.Ni mtaa wa Mchikichini na LivingstoneLimeshaanguka tayari?
Lianguke tu maana hakuna namnaBado linaenda taratibu,sijapata updated news tena.Ni mtaa wa Mchikichini na Livingstone
Umaskini mbaya sanaLianguke tu maana hakuna namna
umaskini wa nani sasa? Mwenye ghorofa au mimi?Umaskini mbaya sana
Kuzama kwenda chini.kutitia ndio inamaanisha nini?
Mkuu unakuwa kama huwajui wabongo, hapo watajazana kuangalia na usichangae ukisikia limeangukia watazamajiKIMBIENI ENEO HILO
NA SELFIE KWA WINGI KHAAAAAAAAAAA ASAANTE MKUU KUNIKUMBUSHAMkuu unakuwa kama huwajui wabongo, hapo watajazana kuangalia na usichangae ukisikia limeangukia watazamaji
acha uongo..linazama kwani kariakoo kuna bahari?Kuzama kwenda chini.
kivipi?Mkuu kutititia ni kubonyea!
Hapana ni kuzama ardhini kutokana na uzito kuzidiMkuu kutititia ni kubonyea!
Sio lazima iwe bahari hata mchangani unaweza kuzama kama ardhi ni laini kuliko uzito inaobebaacha uongo..linazama kwani kariakoo kuna bahari?
Linazama aridhini kwenda chini bila kuanguka upande.kutitia ndio inamaanisha nini?
Kuzama sehemu isiyo na maji..mkuu kutititia mie sijui maana yake mi najua kutitia ndio kubonyea kwa kwenda chini
Mkuu kutititia ni kubonyea!