Ghorofa latitia mtaa wa Mchikichini, Kariakoo jijini Dar

Kutitia sio kubonyea mkuu.Labda kata sikulaumu.Kutitia ni kuingia chini ardhini bila kubomoka!Yaani nzima nzima hiyooo inapotea ardhini.Nimeangalia ushahidi wa hili katika nyuzi zote sikuona.Mleta uzi alete kitu chenye akili.Mpaka sasa hakuna kinachoeleweka.

Sasa mkuu kata imeingiaje?

Kama umeangalia vizuri post yangu nimeshangaa kwa jibu alilotoa mdau kwamba kutitia ni kubonyea (nimem-quote) mdau pale kwenye post.

Na nimeweka alama ya mshangao (!); mkuu jifunze maana ya alama hizi na matumizi yake inasaidia sana kuliko kukurupuka na kutoa kashfa afu wewe ndo unajikuta umechemka.
 
Hapa kweli kuna haja ya watu kurudia somo la LUGHA YETU. Kwamba kutitia ni neno lisilo eleweka haiingii kwenye akili yangu ndogo.

Hata hivyo, nikubaliane na waliofananisha kutitia na kuzama, vinaendana kwani kuzama si lazima iwe majini.

Pia nitahadharishe kwamba jengo linaweza kutitia lote yaani pande zote za jengo zikaingia ardhini, au sehemu ya jengo ndiyo inaweza kutitia.

Iwapo jengo linatitia upande mmoja dalili zake ni nyufa zinazoongezeka, jengo kuegama (kulala) upande mmoja (au kuonekana limepinda) na kama litaendelea basi litaishia kuanguka/kuvunjika/kuporomoka.

Ieleweke kwamba majengo yote, barabara, madaraja na mabwawa yanayojengwa popote duniani huwa yanatitia na Wahandisi huwa wanaelewa kwamba, baada ya ujenzi, kiwango cha kutitia KINACHORUHUSIWA/KILICHO SALAMA kitakuwa ni kiasi gani. Katika hili mnaweza kukagua nyumba mnazoishi kama zina nyufa au ziliwahi kupata ufa/nyufa, na hata barabara na mabwawa huwa yana nyufa, ambazo ni dalili za kutitia.
 
Hapa kweli kuna haja ya watu kurudia somo la LUGHA YETU. Kwamba kutitia ni neno lisilo eleweka haiingii kwenye akili yangu ndogo.

Hata hivyo, nikubaliane na waliofananisha kutitia na kuzama, vinaendana kwani kuzama si lazima iwe majini.

Pia nitahadharishe kwamba jengo linaweza kutitia lote yaani pande zote za jengo zikaingia ardhini, au sehemu ya jengo ndiyo inaweza kutitia.

Iwapo jengo linatitia upande mmoja dalili zake ni nyufa zinazoongezeka, jengo kuegama (kulala) upande mmoja (au kuonekana limepinda) na kama litaendelea basi litaishia kuanguka/kuvunjika/kuporomoka.

Ieleweke kwamba majengo yote, barabara, madaraja na mabwawa yanayojengwa popote duniani huwa yanatitia na Wahandisi huwa wanaelewa kwamba, baada ya ujenzi, kiwango cha kutitia KINACHORUHUSIWA/KILICHO SALAMA kitakuwa ni kiasi gani. Katika hili mnaweza kukagua nyumba mnazoishi kama zina nyufa au ziliwahi kupata ufa/nyufa, na hata barabara na mabwawa huwa yana nyufa, ambazo ni dalili za kutitia.
Kutitia maana yake ni kurudi udogo
 
Naona kama Unakosea mwenyewe na kujisahihisha mwenyewe.
I like JF

Siyo hivyo mkuu, sentensi ya kwanza nilim-quote kwa msahngao jamaa aliyesema kutitia ni kubonyea, baadaye akaongeza nyama kwamba ni kubonyea kwa kwenda chini ndo hiyo post ya pili ilipokuja, nikimaanisha sasa tunaanza kuelewana.

Ungefuatilia kidogo tu ungeelewa!
 
Siyo hivyo mkuu, sentensi ya kwanza nilim-quote kwa msahngao jamaa aliyesema kutitia ni kubonyea, baadaye akaongeza nyama kwamba ni kubonyea kwa kwenda chini ndo hiyo post ya pili ilipokuja, nikimaanisha sasa tunaanza kuelewana.

Ungefuatilia kidogo tu ungeelewa!
Poa Poa Mkuu wangu.
 
..mkuu kutititia mie sijui maana yake mi najua kutitia ndio kubonyea kwa kwenda chini
Mtanzania gani hajui maana ya kutitia, kutitia ni kitendo cha kitu kilichopo juu ya ardhi, kuzama ardhini kiasi yaani sio chote. Na hata ikitokea kimezama chote maelezo huwa kilititia na kuzama, ila kikizama kiasi huitwa kimetitia, nadhani nimeeleweka, ila napenda asome aliekuuliza maana ya kutitia. Kama mswahili atueleze kwao hiki kitendo wanakiitaje.
 
Kutitia sio kubonyea mkuu.Labda kata sikulaumu.Kutitia ni kuingia chini ardhini bila kubomoka!Yaani nzima nzima hiyooo inapotea ardhini.Nimeangalia ushahidi wa hili katika nyuzi zote sikuona.Mleta uzi alete kitu chenye akili.Mpaka sasa hakuna kinachoeleweka.
Acha uongo wewe kwa hiyo Nyoka akiingia mzima mzima shimoni utasema ametitia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom