Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
WanaJF!!
Ninategemea kuanza likizo ya siku 28 hivi karibuni. Katika plan yangu ninatarajia kwenda Unguja kwa mapumziko ambapo nitakaa kwa juma zima.
Msaada ninaohitaji kutoka kwenu ni huu:-
(i) Minimum na maximum ya bei ya nauli za boti
(ii) Gharama za hoteli hu-range kuanzia bei gani? Mfano, kwa mji kama Mwanza, Arusha na Dodoma, Tsh 25,000 to 30,000 unapata chumba Standard kabisa.
(iii) Gharama ya taxi (town trip) ni bei gani?
(iv) Gharama ya chakula ikoje?
Nisaidieni ili nijue kama nitamudu au lah!!!
Ninategemea kuanza likizo ya siku 28 hivi karibuni. Katika plan yangu ninatarajia kwenda Unguja kwa mapumziko ambapo nitakaa kwa juma zima.
Msaada ninaohitaji kutoka kwenu ni huu:-
(i) Minimum na maximum ya bei ya nauli za boti
(ii) Gharama za hoteli hu-range kuanzia bei gani? Mfano, kwa mji kama Mwanza, Arusha na Dodoma, Tsh 25,000 to 30,000 unapata chumba Standard kabisa.
(iii) Gharama ya taxi (town trip) ni bei gani?
(iv) Gharama ya chakula ikoje?
Nisaidieni ili nijue kama nitamudu au lah!!!
