Nashukuru wa jf tumefaidika wengi,Me ninataka kuoa,natarajia nitakuwa huko kwa mapumziko,naomba kujua bei ya Ndege,kutoka Kilimanjaro to Zenji ni pesa ngapi?
Waliosafiri na ndege toka Kilimanjaro hadi zenji watakujibu vinginevyo wasiliana na mashirika yenyewe ya ndege! Ninachojua ni nauri ya dar to zenji ambayo ni tshs 76,000 kwa flight link!