(1)gharma ya boti minimu tsh 23,000/= maximum(VIP) tsh 35,000/=WanaJF!!
Ninategemea kuanza likizo ya siku 28 hivi karibuni. Katika plan yangu ninatarajia kwenda Unguja kwa mapumziko ambapo nitakaa kwa juma zima.
Msaada ninaohitaji kutoka kwenu ni huu:-
(i) Minimum na maximum ya bei ya nauli za boti
(ii) Gharama za hoteli hu-range kuanzia bei gani? Mfano, kwa mji kama Mwanza, Arusha na Dodoma, Tsh 25,000 to 30,000 unapata chumba Standard kabisa.
(iii) Gharama ya taxi (town trip) ni bei gani?
(iv) Gharama ya chakula ikoje?
Nisaidieni ili nijue kama nitamudu au lah!!!
(2)room za hotel jipange kuanzia tsh 40,000-usd900
(3)tax 5000
(4) depend on ur on initative ila ni kawaida kama hotel za dar au mwanza but kuna some slight diference
ur most welcome to spice island(zanzibar yetu ni nzuri sana atakae kuja na aje):frusty: