Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,679
- 40,933
Baada ya Mwenyekiti Bwn.Mbowe kutupa jumla ya gharama za matibabu ya lisu mpaka kufikia sasa gharama Ambazo zimefika kiasi cha shilingi za kitanzania million 400;
kwakua dereva wa lisu pia yuko huko na kwakua anapata matibabu kutokana na tukio lililomkuta lisu, sio vibaya ili kuweka rekodi sawa tukaambiwa kama tulivyoambiwa kwa lisu gharama za matibabu yake zinatoka Wapi na zimefika kiasi gani mpaka sasa,
au mchanganuo uliotolewa na mwenyekiti unajumuisha wote wakili?
kwakua dereva wa lisu pia yuko huko na kwakua anapata matibabu kutokana na tukio lililomkuta lisu, sio vibaya ili kuweka rekodi sawa tukaambiwa kama tulivyoambiwa kwa lisu gharama za matibabu yake zinatoka Wapi na zimefika kiasi gani mpaka sasa,
au mchanganuo uliotolewa na mwenyekiti unajumuisha wote wakili?