kedekede
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 5,292
- 7,640
Mnaongea sana lakini mlichoulizwa kimewashinda kujibu.Hatukuuliza gharama za matibabu ya Lissu mkaja kutangaza hapa,je Dereva anatibiwa bure?Au mliunganisha na za Muheshimiwa zikafika 400m?mbona ni Rahisi kujibu?mapovu ya nini?Naomba mjibuni msilete mambo ya ajabu,Kama yupo guest amelala semeni.