chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,991
- 20,639
Unapodai maendeleo, jiulize kama unalipa Kodi, nashauri Kila biashara ambayo haitumii EFD receipt, Sasa zilazimishwe kuwa na LIPA NAMBA.
Mfanyabiashara, kama anafanya biashara Kila siku, hajatoa taarifa kwa mamlaka kwamba ameifunga, angalau kwa wiki au mwezi aonekane kuitumia, na namba hiyo iwe inakata Kodi moja kwa moja kimtandao na kuiwasilisha TRA.
Hii inaweza kupunguza kukimbizana mitaani,kupanua wigo wa Kodi, na Kila mtu anapodai maendeleo, kwanza aonekane amewajibika kulipa Kodi.
Haina haja ya kununua device mpya, ni simu hiyohiyo ya mmiliki wa biashara na laini ya/za simu alizowasilisha kwa mamlaka na LIPA NAMBA yake, na kama inaonekana LIPA NAMBA haitumiki, basi mamlaka, kimfumo, Ione, na waweze kumfikia hata kimitego
Mfanyabiashara, kama anafanya biashara Kila siku, hajatoa taarifa kwa mamlaka kwamba ameifunga, angalau kwa wiki au mwezi aonekane kuitumia, na namba hiyo iwe inakata Kodi moja kwa moja kimtandao na kuiwasilisha TRA.
Hii inaweza kupunguza kukimbizana mitaani,kupanua wigo wa Kodi, na Kila mtu anapodai maendeleo, kwanza aonekane amewajibika kulipa Kodi.
Haina haja ya kununua device mpya, ni simu hiyohiyo ya mmiliki wa biashara na laini ya/za simu alizowasilisha kwa mamlaka na LIPA NAMBA yake, na kama inaonekana LIPA NAMBA haitumiki, basi mamlaka, kimfumo, Ione, na waweze kumfikia hata kimitego