Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Hello wakubwa,kutokana Gharama za mafuta kuzidi kupanda kila siku nimeamua kupumzisha SUV yangu na kuagizia Mazda Demio ya 2003,CC 1,300CIF US$ 2,100Naomba usaidizi wa ukokotozi wa gharama zote za bandari, tra, agency fee n.k.SUV nliichukulia showroom hapa bongo, hivyo michakato hiyo sikuipitia