Gharama za kufanya press conference

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,168
27,209
Habari zenu wapendwa. Sisi ni kikundi cha wadada wajasiriamali. Tunataka kutangaza huduma zetu kupitia vyombo vya habari. Tunadhani njia nzuri itakuwa ni kwa kufanya press conference. Tunataka habari yetu iandikwe kwenye magazeti na blogs mbalimbali za kitanzania. Tunaomba mtu yeyote mwenye ufahamu na taratibu plus gharama za kufanya press conference atufahamishe. Tunatanguliza shukurani zetu za dhati kwenu.
 
Hongereni ingawa unaweza kutangaza kuanxia hapa jf.
Ngoja waje wajuvi
 
Wasiliana na jamaa mmoja anaitwa PASCO yuko hapa JF.
Ni kwa issue ile ya kusagana? au nyingine.

kama ni issue ya maana ni-PM nikuunagnishe na jamaa mmoja hapa DAR anafanya hizo kazi kupitia idara ya habari MAELEZO
 
Habari zenu wapendwa. Sisi ni kikundi cha wadada wajasiriamali. Tunataka kutangaza huduma zetu kupitia vyombo vya habari. Tunadhani njia nzuri itakuwa ni kwa kufanya press conference. Tunataka habari yetu iandikwe kwenye magazeti na blogs mbalimbali za kitanzania. Tunaomba mtu yeyote mwenye ufahamu na taratibu plus gharama za kufanya press conference atufahamishe. Tunatanguliza shukurani zetu za dhati kwenu.

Hamna gharama yoyote nendeni idara ya habari maelezo mkaandikishe mtapangiwa siku ya kufanya mkutano...ni pale samora avenue karibu na askari monument...muone mwirabu sise.
 
hamna gharama yoyote nendeni idara ya habari maelezo mkaandikishe mtapangiwa siku ya kufanya mkutano...ni pale samora avenue karibu na askari monument...muone mwirabu sise.

asante sana ubarikiwe.
 
ile biashara ya usagaji au nyingne?

Hapana ndugu sio ishu ya kusagana,... ni masuala mengine tu ya kibiashara, issue za kusagana ni our personal issues. But all of us are lesbians
 
Wasiliana na jamaa mmoja anaitwa PASCO yuko hapa JF.
Ni kwa issue ile ya kusagana? au nyingine.

kama ni issue ya maana ni-PM nikuunagnishe na jamaa mmoja hapa DAR anafanya hizo kazi kupitia idara ya habari MAELEZO

Hapana ndugu sio ishu ya kusagana,... ni masuala mengine tu ya kibiashara, issue za kusagana ni our personal issues. But all of us are lesbians
 
mnataka kusagana mbele ya camera au??

Hapana ndugu sio ishu ya kusagana,... ni masuala mengine tu ya kibiashara, issue za kusagana ni our personal issues. But all of us are lesbians
 
ile biashara ya usagaji au nyingne?

Hapana ndugu sio ishu ya kusagana,... ni masuala mengine tu ya kibiashara, issue za kusagana ni our personal issues. But all of us are lesbians
 
Hapana ndugu sio ishu ya kusagana,... ni masuala mengine tu ya kibiashara, issue za kusagana ni our personal issues. But all of us are lesbians

futa kauli, kwa hapo blue

kama ni issu ya maana ni-PM nikupe mawasiliano ya mhusika
 
[/COLOR][/B][/U]futa kauli, kwa hapo blue

kama ni issu ya maana ni-PM nikupe mawasiliano ya mhusika
Siwezi kuku pm, wala hatuwezi kuonana, nitamtuma mtu atakwenda pale Idara ya Habari maelezo, matter fact tunataka issue iandikwe kwenye atleast magazeti thelathini hadi arobaini, tulifikiria kuomba mkutano na wahariri wa vyombo vya habari
 
Tunataka habari yetu iandikwe kwenye magazeti na blogs mbalimbali za kitanzania.

Hapo tayari mmeshaandaa bahasha za kaki kwa ajili ya waandishi wa habari ili waweze ku-publish mtakachosema kwenye hiyo conference?

Achana na mambo ya press conference. Kufanya press conference haina maana kuwa mtakachokisema kwenye conference kitakuwa published.

Siku hizi bongo press conference zinatumika zaidi kukanusha tuhuma na kueneza propaganda za kisiasa kwa malengo fulani.

Kwa maoni yangu kama mnataka kutangaza huduma zetu, the best approach is through a word of month.

Ulishawahi kuona JamiiForums au hata Facebook inajitangaza kwenye vyombo vya habari?

Kinacho-matter zaidi ni product yenu. Kama product ni nzuri na inavutia, customer care ipo safi basi potential customers wataambizana tuu.

Another alternative ni kutangaza kupitia social media depending on the type of customers you want to target, of course.

Wasomaji wa magazeti ni wachache sana kulinganisha na wanaotumia social media. Of course, at the end of the day itategemea mnafanya ujarisilimali wa aina gani maana kutangaza nia ya kugombea ubunge 2015 kibongo bongo ni ujarisilimali.
 
matter fact tunataka issue iandikwe kwenye at least magazeti thelathini hadi arobaini,..

Unless the issue is hard news, i.e., a story which is timely, significant, prominent and relevant, then don't bother going that route.
 
sawa lesbians! mnauza dushelele za bandia au ujasiriamali wenu unahusika moja kwa moja na hyo jinsia yenu mpya?
 
Back
Top Bottom