Wapendwa, jamani naomba kama kuna mwenye utaalamu wa kukadilia gharama za kuchimba bwawa ka kufugia samaki lenye ukubwa wa takribani sq meter 1200 anijuze. nataguliza shukrani wanajamvi
mkubwa garama ya uchimbaji inategemea na sehemu ulipo.,na usamani wa pesa ulivyo.mie nilichimba bwawa la kuanzia lenye ukubwa wa mita 10 kwa 10 kwa gharama isiyo zidi laki mbili.
nilichimba kutumia watu mkuu,Asante kwa dokezo la bei. Ulichimba kwa kutumia watu au mashine (kijiko)?
Wapendwa, jamani naomba kama kuna mwenye utaalamu wa kukadilia gharama za kuchimba bwawa ka kufugia samaki lenye ukubwa wa takribani sq meter 1200 anijuze. nataguliza shukrani wanajamvi
mkubwa garama ya uchimbaji inategemea na sehemu ulipo.,na usamani wa pesa ulivyo.mie nilichimba bwawa la kuanzia lenye ukubwa wa mita 10 kwa 10 kwa gharama isiyo zidi laki mbili.
nimevuna mara tatu tangu nianze.moja ya mitandao inayozungumzia mambo yahusuyo samaki (www.sarnissa.org)wanashauri kuvuna pindi samaki anapofikia marketing size.umeshavuna samaki?
Ahsante, ningekupenda utupe uzoefu wako mkuu juu ya wastani wa uzito wa samaki wakati wa kuvuna; ulivuna baada ya miezi mingapi; ulikuwa unalisha chakula cha aina gani; je, ulivuna kiasi gani na chakula ulitumia kiasi gani mwanzo wa kufuga mpaka unavua; vifaranga ulitoa wapi. Utatupa mwanga sana. Thank you.nimevuna mara tatu tangu nianze.moja ya mitandao inayozungumzia mambo yahusuyo samaki (www.sarnissa.org)wanashauri kuvuna pindi samaki anapofikia marketing size.
Mkuu ulitumia gharama kiasi gani kuchimba bwawa mpaka kulijengea??nimevuna mara tatu tangu nianze.moja ya mitandao inayozungumzia mambo yahusuyo samaki (www.sarnissa.org)wanashauri kuvuna pindi samaki anapofikia marketing size.