Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,738
nakumbuka niko kwa madiba jamaa yangu alibahatika kupata uraia na kupata kitambulisho cha taifa ila kiligeuka mateso kwake sababu si rahisi hata mwenyeji kila mtu kupata kutokana taratibu zake.
ukija huku kwetu yani nahisi hata mchina kukuta ana kitambulisho cha taifa,swala la passport ndio kabisa yani huko sijui kulifanyiwa nini.
wanaijeria wengi wamepata passport ili kupata urahisi wa kwenda nchi ambazo passport zao zina renk mbaya.
tuje kwenye hati za ardhi hapo ndio ukisikia ushuzi umepata mjambaji yani sio raia lakini anamiliki ardhi ya tanzania.
siku ikitokea raisi akisema turudie upya kuhakiki hizo nyaraka unaweza kukuta wamiliki asilimia kubwa wanatoka nchi za nje
ukija huku kwetu yani nahisi hata mchina kukuta ana kitambulisho cha taifa,swala la passport ndio kabisa yani huko sijui kulifanyiwa nini.
wanaijeria wengi wamepata passport ili kupata urahisi wa kwenda nchi ambazo passport zao zina renk mbaya.
tuje kwenye hati za ardhi hapo ndio ukisikia ushuzi umepata mjambaji yani sio raia lakini anamiliki ardhi ya tanzania.
siku ikitokea raisi akisema turudie upya kuhakiki hizo nyaraka unaweza kukuta wamiliki asilimia kubwa wanatoka nchi za nje