Gharama ya ziara ya Prof Muhongo Mkoani Mara ni kufuru

Gharama ya ziara ya Prof Muhongo Mkoani Mara ni kufuru

kwangu mimi napata shida kidogo kwa nini kaka mkubwa anaendelea kumshikilia huyu prof. kwenye comment yangu ya kwanza nilisema ya kuwa kuna siri gani hasa kwenye suala la hili la escrow? kiukweli tunaomba mkuu wa kaya atende haki kama alivyofanya kwa wengine wote kwani kutofanya maamuzi katika suala la huyu jamaa kunatupa picha ambayo yeye mwenyewe anaweza kuwa ni sehemu ya sakata hilo

nadhani kuna vijiji havijapata umeme ndo anamalizia program
 
Gari ya polisi kuvishwa matairi 4 nao ufisadi.
kujazwa mafuta ya kucover km zote alikopita ni ufisadi.
watu kulipwa posho kwa ziara yote sh laki tano ufisadi,hiyo laki tano ukiigawa kwa siku za ziara unakuta perday wamepewa labda elfu tano tano.
sasa mwandishi unamtoaje dar mpaka huko vijijini na usimpe pesa ya kujikimu?.
hii habari ni pointless.

umemaliza. hivi vijamaa sijui mengi anavilipa shs ngapi? vimeshupaaaa
 
kwangu mimi napata shida kidogo kwa nini kaka mkubwa anaendelea kumshikilia huyu prof. kwenye comment yangu ya kwanza nilisema ya kuwa kuna siri gani hasa kwenye suala la hili la escrow? kiukweli tunaomba mkuu wa kaya atende haki kama alivyofanya kwa wengine wote kwani kutofanya maamuzi katika suala la huyu jamaa kunatupa picha ambayo yeye mwenyewe anaweza kuwa ni sehemu ya sakata hilo
........inasemekana ndio ameshatenda haki tayari..prof Muhongo hana kosa ndio maana kaachwa aendelee na kazi

andikeni na za klyne. akhaa ogrooh ptuuu
 
Kila comment inayotolewa naona Muhongo au watu wake wanajibu. Kuna watu wanalipwa kujibu kila comment humu. Huu ni ufisadi mwingine.
 
Nishajua nyie wapumbavu ndio mlivyo,kumbe unamtafuta mtumishi wa ITV? Badala ya kujadili issue unajadiri watu. Hovyo kabisa

Tulia tu wakushughulikie mdogo wangu matusi ya nini?kama umekula hela ya nchi kutoka kwa muhongo lazima uzirudishe
 
Back
Top Bottom