Mr Confidential
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,492
- 2,357
Habari wakuu,
Baada ya kupitia threads kadhaa zilizojaribu kuonyesha gharama halisi za kutoa gari bandarini, nimepata 'mawili-matatu' lakini bado kuna vitu vinanitatiza.
Mchangiaji wa kwanza ameorodhesha;
Shipping lines=150,000
Wharfage =115,000
Port charges =250,000
Plate number =30,000
Agency fee =300,000.
----*----****
Mchangiaji wa pili akaandika hivi:
Handling charges = $7 per cbm +VAT,
Corridor levy = $0.3 per cbm + VAT
Wharfage = 1.6% ya CIF
Mchangiaji wa tatu akaandika hivi;👆
*Hiyo namba moja sijaielewa.
*Namba 4 pia sijaelewa, kuna Port charges na Port handling charges?
Baada ya kupitia threads kadhaa zilizojaribu kuonyesha gharama halisi za kutoa gari bandarini, nimepata 'mawili-matatu' lakini bado kuna vitu vinanitatiza.
Mchangiaji wa kwanza ameorodhesha;
Shipping lines=150,000
Wharfage =115,000
Port charges =250,000
Plate number =30,000
Agency fee =300,000.
----*----****
Mchangiaji wa pili akaandika hivi:
Handling charges = $7 per cbm +VAT,
Corridor levy = $0.3 per cbm + VAT
Wharfage = 1.6% ya CIF
Mchangiaji wa tatu akaandika hivi;👆
*Hiyo namba moja sijaielewa.
*Namba 4 pia sijaelewa, kuna Port charges na Port handling charges?