monaco
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,184
- 1,780
Hapo hapo Mkuu,kuna dada mmoja alienda Private hospital moja ya wahindi(famous) baada ya muda walitaka kumfanyia operation kwa ajili ya kujifungua bt mwisho wakaamua kumchana kizazi,tena kwa kitu kama wembe na mtoto akatoka so hakukuwa na Operation tena ya tumbo,so mi hii kitu ya operation kwa hizi Private sina imani nao,operation ina approach 1Million,na kina mama wengi wanaenda hospital za serikali wanajifungua tena bila operation,wamama wengi wa uswazi wanajifungua kila kukicha,hosp za serikali,ila ukienda private tu majanga....utasikia njia yako ndogo,kwanini wasichane,ukikomaa ndo wanaiongeza mtoto anatoka,ukiwa kimya kisu tuu,inauma sana sana...Ndugu yangu hakuna anyependa kuona vifo vya mama ama watoto. Katika hospital za private kwanza wanao uwezo (CS capacity) na pia ni rahisi lakini inaingiza pesa hiyo huduma. Jibu kwahiyo ni kwamba wakimuona anayo matatitizo yanayoweza kufanya ugumu katika kuzaa kawaida wanaamua kumuweka katika operation