Gharama halisi za kujifungua kwa Operation

Gharama halisi za kujifungua kwa Operation

wife ametoka kujifungua siku 2 zilizopita pale agakhani,gharama yake ni 2,814,500/= kama hakutakuwa na complications nyingine zaid ya OP.Wataalamu wanasema njia salama ya kujifungua ni CS kwakuwa motto natolewa bila misukosuko yoyote so hata brain zao zinakuwa safe na wanakuwa bright sana ukilinganisha na wale ambao huwa wanajifungua kwa njia za kawaida zile pilika pilika za kuvuta,mara sukuma mototo wanasema zina distrurb brain za watoto,lakini pia utaendelea kufaidi tunda lako katika hali ile ile UKIFIKA MUONE Dr.CHANJI NI BONGE LA Dr.

Thanks kwa experience na hongera kwa hilo
 
Mkuu kama Daktari wenu hajaona chochote cha kulazimu mkeo afanyiwe C-Section basi mie nawaomba muepukane nayo. Madaktari mara nyingi kutokana na wao walivyouona ujauzito katika kipindi chote walichoufuatilia ujauzito huo hutoa ushauri pale ambapo wanaona maisha ya mama au kiumbe mtarajiwa yako hatarini iwapo mama atajifungua kwa njia ya kawaida. Kama daktari hajatoa ushauri wa kufanyiwa C-section kwa sababu zozote zile basi muombe msifanye hivyo.

Soma hapa Mkuu: http://americanpregnancy.org/labornbirth/cesareanrisks.html

Hapana, hata mi nimemshauri sana kwamba asifanye OP bt yeye ameng'ang'ana tu iwe hivyo, manake na maza aeke alimkazaga bt sasa amemruhusu pia, infact kuna kitu kinanitisha kidogo...zimebakia wiki3 ili ajifungue, bt yeye anadai anaweza tu kupeform OP kabla hajamaliza hizo wiks, sasa yaani hata simwelewagi aisee!! Plz nishauri vizuri hapo ur experience Madam DEMBA utakuwaumenisaidia
 
Acha kupotosha uma , we ulizaliwa kwa njia hiyo !!
wangapi wamezaliwa kwa njia ya kawaida na wako so bright ??
huo uzungu wenu utawafikisha pabaya !!!
Imeandikwa mwanamke atazaa kwa uchungu senzii !!!

Are Ok mzee? Mbona ghadhabu hivyo? Na nani kapotosha umma? Halafu usipende kunakili misemo ya biblia na kuweka matusi...ni lugha ya kuchukiza aiseee
 
Mkuu kama Daktari wenu hajaona chochote cha kulazimu mkeo afanyiwe C-Section basi mie nawaomba muepukane nayo. Madaktari mara nyingi kutokana na wao walivyouona ujauzito katika kipindi chote walichoufuatilia ujauzito huo hutoa ushauri pale ambapo wanaona maisha ya mama au kiumbe mtarajiwa yako hatarini iwapo mama atajifungua kwa njia ya kawaida. Kama daktari hajatoa ushauri wa kufanyiwa C-section kwa sababu zozote zile basi muombe msifanye hivyo.

Soma hapa Mkuu: Risks of a Cesarean Procedure | American Pregnancy on Cesarean

Mkuu madaktari wa sasa hivi wana-opt sana OP coz inawaingizia kipato kizuri, huwa hata wakikushauri basi wanalalia kwa OP zaidi, so hapo labda ni kumkomalia tu asifanye hivyo...basi, ila kama ye atazidi kuwa m-bishi sijui itakuaje...!!
 
Huo ni ukweli kabisa Mkuu, lakini kama hakuna hatari kwa mama na kiumbe mtarajiwa basi fikirieni mara mbili mbili kabla ya kuamua kufanya hiyo C-section. Madaktari hawatakiwi kufanya maamuzi kama hayo ili kujiongezea kipato lakini ndiyo hivyo tena professional ethics wameziweka pembeni na kujali zaidi maslahi yao. Soma hiyo link hapo juu kwa kituo mkuu kabla ya kufanya maamuzi. Kila la heri kwenye ujauzito wenu.

Mkuu madaktari wa sasa hivi wana-opt sana OP coz inawaingizia kipato kizuri, huwa hata wakikushauri basi wanalalia kwa OP zaidi, so hapo labda ni kumkomalia tu asifanye hivyo...basi, ila kama ye atazidi kuwa m-bishi sijui itakuaje...!!
 
Mkuu madaktari wa sasa hivi wana-opt sana OP coz inawaingizia kipato kizuri, huwa hata wakikushauri basi wanalalia kwa OP zaidi, so hapo labda ni kumkomalia tu asifanye hivyo...basi, ila kama ye atazidi kuwa m-bishi sijui itakuaje...!!

Anaogopa njia yake kupanuka! Ataja jutia atakapokuwa anauguza kidonda
 
Huo ni ukweli kabisa Mkuu, lakini kama hakuna hatari kwa mama na kiumbe mtarajiwa basi fikirieni mara mbili mbili kabla ya kuamua kufanya hiyo C-section. Madaktari hawatakiwi kufanya maamuzi kama hayo ili kujiongezea kipato lakini ndiyo hivyo tena professional ethics wameziweka pembeni na kujali zaidi maslahi yao. Soma hiyo link hapo juu kwa kituo mkuu kabla ya kufanya maamuzi. Kila la heri kwenye ujauzito wenu.
Ndio nilikuwa namsomea wife hapa kwa hiyo link...tena nimeitranslate kwa google pia...Hatari anayoiona ni kwamba kila siku anaumwa na kwa mfano leo tumbo lote lilikuwa linamuuma badae linamwacha...so kwa ufupi tangia mwezi wa 7 huwa anaumwaga umwaga...na tatizo kubwa halielewi thats y...!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mi kiukweli nashangaa sana!
Jamani wadada hao ma dr nao wanaangalia pesa tu im telling u the truth, so lazima wakupe maneno ya kukufanya uone op ni nzuri!
..im telling u op sio nzuri jamani,km huna matatizo better ujifungue kawaida!
..bt marie stop pia pazuri(1st track)
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hata me ckuwa napaamini, lkn nilipopewa huyo Dr, nilifurahi na huduma zao, wanakuhudumia vizuri sana, na ndio maana nikarudi kwa mara nyingine mbili

Kweli kabisa serious mkuu??
 
mi kiukweli nashangaa sana!
Jamani wadada hao ma dr nao wanaangalia pesa tu im telling u the truth, so lazima wakupe maneno ya kukufanya uone op ni nzuri!
..im telling u op sio nzuri jamani,km huna matatizo better ujifungue kawaida!
..bt marie stop pia pazuri(1st track)

Dah My gel yaani anadhania OP ni nzuri than Natural...mi nshamwambia sana bt inakuwa ngumu kushawishika!!
 
Du hiyo kweli mgonjwa anatoka akiwa salama kweli, mbona ndogo sana

Anatoka salama salimini, na ni mimi, tena op ya kwanza na yapili, walinifanyia laki tu, ya tatu ndio laki unusu, ila nikampeleka mtu mwingine wakamfanyia laki 2, na alishukuru kweli, mana alipewa huduma nzuri,
 
Cs co kwamba ndo njia slama ya kujifungua kwa mwnk kwa sbb nako kuna risks , njia nzur ya kujifungua ni ile ya kawaida, ilimradi tu kuna vgezo vmekamilika. Cs mda mwingine ni planned na mda mwngn ni emergency
 
Back
Top Bottom