Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,542
- 7,380
- Thread starter
- #21
wife ametoka kujifungua siku 2 zilizopita pale agakhani,gharama yake ni 2,814,500/= kama hakutakuwa na complications nyingine zaid ya OP.Wataalamu wanasema njia salama ya kujifungua ni CS kwakuwa motto natolewa bila misukosuko yoyote so hata brain zao zinakuwa safe na wanakuwa bright sana ukilinganisha na wale ambao huwa wanajifungua kwa njia za kawaida zile pilika pilika za kuvuta,mara sukuma mototo wanasema zina distrurb brain za watoto,lakini pia utaendelea kufaidi tunda lako katika hali ile ile UKIFIKA MUONE Dr.CHANJI NI BONGE LA Dr.
Thanks kwa experience na hongera kwa hilo