Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,520
- 7,294
Wasalamu!!
Naoma kujulishwa range ya gharama za kujifungua kwa njia ya OP katika mahospital ya Rufaa, za kawaida na zile za private(hasahasa) na Kujulisha hospitali zipi ni nzuri kwa huduma hiyo, mara nyingi wife to be anapendelea kwenda pale Mount Ukombozi-Morocco bt sina uhakika kama pale kuna mabingwa wa OP...manake karibuni nitaanza majukumu.
My Regards MMU
Naoma kujulishwa range ya gharama za kujifungua kwa njia ya OP katika mahospital ya Rufaa, za kawaida na zile za private(hasahasa) na Kujulisha hospitali zipi ni nzuri kwa huduma hiyo, mara nyingi wife to be anapendelea kwenda pale Mount Ukombozi-Morocco bt sina uhakika kama pale kuna mabingwa wa OP...manake karibuni nitaanza majukumu.
My Regards MMU