Mweh..... Mimi niko mitaa ya K'yama na nasikia hasa hili la sasa ni kubwa mno mpaka nyumbayangu imetingishika na madirisha yametaka kung'oka hvi, Mweh nimchukua mwanangu nimetoka nae nje maana alikuwa kalala....!!!!!:twitch:
Wa Ukonga jamani Poleni maana mi niko huku nimetishika hv sasa nyie wa G'mboto je... Poleni sana na wengine ambao mtakuwa mmezthirika pia nawapa pole nyingi sana mwenyezi mungu awalinde
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.