Getting in touch with marketing consultants in Tanzania

Was this useful?

  • Yes

    Votes: 0 0.0%
  • No

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    0
  • Poll closed .

Mpaza

New Member
Nov 27, 2011
2
0
Mimi ni kijana wa kike ambae napendelea sana kuwa mwanamasoko aliyebobea. Ningependa kubadilishana na ujifunza kutoka kwa watu mbali mbali wenye namna ya kuchangia ushauri katika fani hii. Tafadhali tuelimishane na kubadilishana mawazo katika jukwa hili. Asanteni.
 
Sijakuelewa bado.

Kama unataka kuwa mwanamasoko uliyebobea "communication" ni key, jieleze vizuri basi
 
Sijakuelewa bado.

Kama unataka kuwa mwanamasoko uliyebobea "communication" ni key, jieleze vizuri basi

Thank you very much for at least stating that you need me to elaborate more on what I am asking. Here goes, I am a young woman who would really like to connect, exchange ideas and also learn from people in Tanzania who share my passion for the marketing field.
 
I love to see a company or people, who can help traders to advertise their products and market them in a new way of thinking and new of technology with less costs.

PM me if u have any ideas !
 
Back
Top Bottom