King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,798
angalia shem, maombi ya siku hizi wanazima taa. Afu si unajua mapepo yanakaa kwenye kona nzuri nzuri hivi?ngoja nitamuuliza maana sasa hivi maombi yamekolea
angalia shem, maombi ya siku hizi wanazima taa. Afu si unajua mapepo yanakaa kwenye kona nzuri nzuri hivi?ngoja nitamuuliza maana sasa hivi maombi yamekolea
siku nyingine utangulize sala ya toba. Ana dhambi ile inayofanywa juu ya mwili, uki-upload server ya jf haitoshi.Mzee wa Rula; Nakushukuru sana kwa nafasi hii ya pekee ulionionelea Mkuu!
Erickb52; Pole sana Kamanda wetu!
Ninaenda kinyume kabisa na pepo wabaya mbele ya wana wa MUNGU,nasema hamna mamlaka kwa watu wa MUNGU kamwe! Naenda kuvunja nguvu za giza,hawana mamlaka kabisa kwa watu wake MUNGU wetu! Nakemea nguvu zote ya giza inayomnyemelea Ndg yetu Erickb52; Hawana mamlaka mbele ya MUNGU wetu aliyehai na hata sasa! Naenda tena kinyume kabisa,shindwa pepo shindwa na hata ulegee pepo mchafu unao waandama wana wa MUNGU shindwa na nasema shindwa tena shindwa kwa jina la Bwana wetu YESU KIRSTO aliye hai sasa na hata milele! Walinde Watu wako wote wanaokutegemea na hata wale wasiokutegemea na warudishie tumaini lako Bwana Wetu! Haya yote nayasema na nikiamini MUNGU atende maajabu yake kwani anaweze! Haya yote nayasema na nikiamini kwa uwezo wake YESU KIRSTO BWANA NA MWOKOZI WETU!
Aaaamen!
Wapendwa wa chit chat naona bado jinamizi la magonjwa linaendelea kuliandama jukwaa letu!
Naomba tujumuike pamoja kumwombea mwana chit chat mwenzetu Erickb52 kwani yu mgonjwa kitandani!
Nawaita kwa moyo wa upendo Filipo, Mungi, PakaJimmy, Arushaone, watu8, Madame B, cacico, gfsonwin, nitonye, Kaizer, Asprin, charminglady, nivea, Preta, Lily Flower, marejesho, Blaki Womani, Kipipi, LiverpoolFC, Mzee wa Rula, King'asti, Paw, Husninyo, snowhite, platozoom, Ndahani, Invisible, Nicas Mtei, figganigga, Bujibuji, babu Dark City na wengine wote!
Njooni tulikemee kwa nguvu hili pepo la maradhi linaloliandama jukwaa letu msimu huu wa sikukuu, tena katika kipindi hiki tunajiandaa kwenda kula bata tanga!
Pole sana Erickb52, hakika Mungu wetu ni mwema na kamwe hamtupi mja wake, nna imani maombi yetu jumlisha na dawa unazokunywa mambo yatakuwa safi soon! Kesho Filipo atakuletea supu asubuhi , PakaJimmy ataleta chipsy kuku mchana na jioni tutakuja na mke mwenzangu marejesho kukupikia kile chakula ukipendacho! Ugua pole sana &
Get well soon dearest!
sweetlady haya mambo mazito sana.... Itabidi tuwaombe hawa wana wa R Chuga wa jinsia ya ME wasiende 'KUVAMIA' maana wataumwa...lol.....
Filipo , LiverpoolFC , Arushaone , Mzee wa Rula , Mungi and many others angalieni hii mambo aisee....
Dalili gani unazosikia hasa?
Ina maana mgonjwa muda wote hujaenda kwa docta??? Naona JF kwako ni zaidi ya hospital!!!Ngoja nikamwone dr kwanza