Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,674
Yawezekana C6 anayo siri ya ugonjwa!
Yaani kavamiwa alafu mvamizi anaugua??
Mi njawahi ona . . . LOL
Last edited by a moderator:
Nendeni jukwaa la wakubwa mkayazungumze hayo kwa kirefu zaidi, hapa mnatuharibia maombi na sala zetu kwa mgonjwa.
Nendeni jukwaa la wakubwa mkayazungumze hayo kwa kirefu zaidi, hapa mnatuharibia maombi na sala zetu kwa mgonjwa.
sabuni haiondoi ubikira, same as baiskeli na kidole haviondoi kiwambo cha naniliu.hee kumbe waifu yupo, niletee kitabu cha tenzi tuanze kuimba pambio kiko mezani hapo
Yeah Kipipi! Sie tumekazana kuomba wao wako busy na mambo yao! Watoke nje.
sabuni haiondoi ubikira, same as baiskeli na kidole haviondoi kiwambo cha naniliu.
Shem maambo? Muambie mkeo akupe ujumbe wangu nilimuachia.
Hivi kwanza wameshasema anaumwa nini?
Wamesema eti ni siri ya mgonjwa......
Vingi Viulizo......
Pole sana Erickb52 ngoja nimuite mchungaji LiverpoolFC aje akemee pepo hili la magonjwa.
Mmmmmmhhhhhhhh........!!!!!!!!!!!:A S angry:
Mzee wa Rula upitishe juice kwa mgonjwa sa4 asubuhi ya kesho!