Babu pole sana! Usihofu utapona baada ya kuzimua japo kamoja!
We yako ntaitia upajani.... mtoto una mguu sijawahi ona....Hebu wahi cacico, bado nna hamu yako...yaani kumbe Asprin, BADILI TABIA ye ulimtoa love bite mkononi, na mie naja leo unipe yangu shingoni, lol! siku nyingine ujiandae vema, chezeiya siye weye?
Oh..... My dear FirstLady1, arrest me pliiiiiiz!!Hivi Huyu Babu Asprin mbona kila siku wanamuuguza
Mara wamemtegua Kiuno ,si mgongo kuvunjika ..kesho utasikia mbavu hazijakaa sawa
Babu uwe unatafuta size yako jamani watakumaliza na siku chache zilizobakia.....
Pole sana Babu
View attachment 57401
Hahaha haya marazi niliyapata kwa tabia hiyo hiyo mbaya ya kumchungulia BADILI TABIA. Hivi ulijuaje Kongosho?Umeshaget well soon, ukaguzi umeanzia wapi?
Mitaa ya yetu hujaonekana au bado unamchungulia BADILI TABIA?
Hahaha haya marazi niliyapata kwa tabia hiyo hiyo mbaya ya kumchungulia BADILI TABIA. Hivi ulijuaje Kongosho?
Habari zilizotufikia hivi punde..... Asprin haumwi chcochote.....
Hii ni mbinumbinu za kujitafutia umaarufu hapa jeiefu.....
Yasadikika ni mpango wa mahusisu wa kunasa wajukuu kwa mpigo....
Ni mpango hatari ulioratibiwa na friimason Erickb52......
Habari kamili na picha za ODM akipiga valuu cum viroba zitakuja soon.....
(BTW Hommmie pole sana asee, hii malaria inaletwa na baridi)
huyu mswati alipigwa juju na kongosho alimwendea nungwi baada ya kupewa kibuti