what are our priorities? kulikuwa na haja gani ya kujenga jengo la gharama kiasi hicho na ilhali tuna njaa sana?
ona hata benki kuu imemaliza pesa nyingi bila sababu
ili tuendelee tunahitaji uongozi bora wenye kuweka priorities ni muhimu sana. Pesa ipo lakini hatujui kupanga vizuri matumizi ili tutoke kwenye umaskini huu.
Rwanda wanajitahidi sana kwa hili
Nd. Ng'azagala,
>Pesa ipo lakini hatujui kupanga vizuri matumizi ili tutoke kwenye umaskini huu.<
Much can be done with limited resources but with unlimited imaginations!
Lakini ndio hivyo tena!
duuuh mkuu.kweli you have connected the dots..kwa mishahara hiyo then Pinda anatuambia eti tusivae suti wakati sisi ni masikini.teeeh
|
v
|
v
|
v
THEN....
|
v
|
v
Need we say more?
nimesoma juzi kuwa 3rd and 4th floor is for renting ili kuiingizia serikali kipato.yaani sanaa tupu hii nchi.Invisible Mkuu heshima sana. You have been creative enough. Kwa kweli niliangalia jengo hilo la ubalozi nikajiuliza, Hivi wafanyakazi wake ni kama wa Wizara fulani au wamejenga pia kwa ajili ya biashara (renting office space???). Imagine 10% of 10 billion???? Tehe tehe. Maisha bora kwa kila mtanzania!!!!! Jamani wanasiasa acheni kupotosha maskini na hohehahe wa Tanzania!!!
nimesoma juzi kuwa 3rd and 4th floor is for renting ili kuiingizia serikali kipato.yaani sanaa tupu hii nchi.
Mungu mkubwa!