Utaelewa vipi wakati wewe binafsi unashindia mlo moja kwa siku? I mean a guy who cannot afford to feed himself and thinks all Tanzanians are like him.
hahahahahahahhahahaha That is a good one..
Utaelewa vipi wakati wewe binafsi unashindia mlo moja kwa siku? I mean a guy who cannot afford to feed himself and thinks all Tanzanians are like him.
Kazi zipo bwelele ni wewe mwenye matatizo, wake up you idiot! Nenda shika jembe kalime! Unafikiri kazi ni lazima uajiriwe, umesomeshwa uwe na mawazo ya kutatua matatizo yako na ya nchi hii sio kutukana na kuandika upuuzi.
Sijarahisisha jambo lolote hapo, Serikali hii ilianza kwa wananchi kupewa hati miliki hadi vijijini ili wananchi wengi wawe na umiliki wa nyumba wanazoishi ili wawe na uwezo wa kukopa kwenye ma-benki. Kama hufahamu Credit rating companies hivi sasa inafanyika Tanzania ili kuwawezesha wengi wakope pesa kwenye banking system yetu sio kwa kujuana na flani. Tuache Majungu! Serikali hii inafanya kazi.
Nimeishi nje miaka mingi na kusoma huko so usinifundisheKwa hiyo umeshindwa kuleta data chacha unalialia kama katoto kalikokosa lawalawa. Ati social welfare! Unafikiri inaanguka kama mvua?
Formula ya DGP yaweza kukupa picha halisi ya uchumi wa kundi fulani la raia kiuchumi?
Uchumi upi wakati GDP ya taifa imeongezeka tangu JPM achukue mikoba! Unaishi nchi gani mwenzetu?
Hata UK, USA na popote pale duniani hawakosekani watu kama hao ambao hawataki kujishughulisha.
Sijui kama wewe unazijua facts kuliko wastaafu ambao kila mwezi hawajui siku ya malipo yao.Mkuu kama una malalamiko kwa NSSF ya madai upo utaratibu hizi hadithi za Abunuwasi tumeshazichoka humu JF. We deal with facts. Fake news peleka kwenu.
Juzi Ebola imetaka kuingia huyo mumekwenda kuomba hela WHO ya kununua vifaa vya kujikinga dhidi ya maambukizi. Condom za kujikinga na maambukizi ya ukimwi hamuwezi kununua kwa hela yenu halafu italeta nye nye nye hapa!!Kwa mwendo huu maendeleo ya Watanzania yanakua bila kuwa na mikwaruzo. Wale ambao wanafikiri hii Serikali ilikuwa haijajipanga waote moto kwa mbali. Piga kazi JPM, maana unapeleka Tsunami kwenye miji ya waliokuwa wanakomba utajiri wa nchi hii.
Mkuu kama una malalamiko kwa NSSF ya madai upo utaratibu hizi hadithi za Abunuwasi tumeshazichoka humu JF. We deal with facts. Fake news peleka kwenu.
Sijarahisisha jambo lolote hapo, Serikali hii ilianza kwa wananchi kupewa hati miliki hadi vijijini ili wananchi wengi wawe na umiliki wa nyumba wanazoishi ili wawe na uwezo wa kukopa kwenye ma-benki. Kama hufahamu Credit rating companies hivi sasa inafanyika Tanzania ili kuwawezesha wengi wakope pesa kwenye banking system yetu sio kwa kujuana na flani. Tuache Majungu! Serikali hii inafanya kazi.
You are wrong, CCM manifesto indicated that the priority of the Government if elected will be to revive ATC, among other things. JPM is just implementing his party's manifesto. Prof Asad should tell us how he managed to fleece NSSF in collusion with Zito and January Makamba. You are just trumpeting his bad behaviour as if JPM is not implementing what he promised the public during his campaign.
Huyu mzee atakuwa anasikiliza sana maneno ya motivation speakers, maana anachoongea na kinachotokea ni tofauti kabisa
Rais Magufuli ametoa ujumbe utakaodumu kwa muda mrefu sana, ingawa inashangaza mno ni namna gani hao wanaojiita wapinzani walivyoridhika na hali ya kuendelea kuomba misaada, hawaamini kama tunaweza kujitegemea, wanakejeli na wanapita kila mahali kushitaki eti tunyimwe misaada, kwani wanaamini bila misaada hatuwezi kama Taifa.
Nampongeza Rais Magufuli kwa kauli hii dhabiti kabisa kwani imetoa direction ya taifa kwa sasa kuwa tunalenga katika kwenda kuwa Taifa linalojitegemea kiuchumi kwa kupitia Rasilimali zake.
A Picture is Worth a Thousand Words,Ili Pozi la Mawaziri hawa limeniacha natafakari sana, yani kila mmoja alijiandaa kwa moment hiyo with full respect to make history.Kuna something very unique kwenye Picture hii.Mh Rais ana wafuasi wengi wanatamani siku moja wawe nyuma ya viatu vyake katika mataifa yao.
Nilipomsikiliza nilicheeeka! Huku serikali yake inakopa senti za NSSF ambazo ni mishahara ya wanyonge waliyowekeza ili wakistaafu walipwe, leo wanyonge wanasotea malipo yao kwani NSSF haina pesa za kuwalipa.
Jinga wewe unaleta story zako za kufikirika yaani Moody's, S&P ,Fitch etc waje wa-rate credit worthness za majobless na wanakijiji wanaohitaji mikopo.Haya waambie wawa-rate AAA
Lipeni Pensheni/mafao muwe na aibu,mnafanya watu wana aibika mtaani huku mkijifanya eti sisi ni matajiri.
Upuuzi sana.