Get Rid of Donor Relience Mentality - Magufuli

Acha mambo ya kishabiki na uongee facts, hekima ni bora sana, ukianza kutetea hata vitu vilivyo wazi hilo ni tatizo
Fact ipi ambayo unataka kuongelea? Au ni wapi sijaongea fact?
 
Mkuu kama una malalamiko kwa NSSF ya madai upo utaratibu hizi hadithi za Abunuwasi tumeshazichoka humu JF. We deal with facts. Fake news peleka kwenu.
Una habari deni la taifa limeongezeka kwa karibu 90% ya wakati jamaa yako anaingia kwenye power ?!. Sasa iko 52 Trl. Unawabeza unaowakopa ?!
 
Una habari deni la taifa limeongezeka kwa karibu 90% ya wakati jamaa yako anaingia kwenye power ?!. Sasa iko 52 Trl. Unawabeza unaowakopa ?!

Weka data hapa wakati anaingia tuone, wacha majungu!
 
Kazi zipo bwelele ni wewe mwenye matatizo, wake up you idiot! Nenda shika jembe kalime! Unafikiri kazi ni lazima uajiriwe, umesomeshwa uwe na mawazo ya kutatua matatizo yako na ya nchi hii sio kutukana na kuandika upuuzi.
Kweli wewe hamnazo ! Usomeshe mtoto ana masters hana kazi, halafu unaona solution ni kumwambia akalime ?!. Huu ni uwehu.
 
Kweli wewe hamnazo ! Usomeshe mtoto ana masters hana kazi, halafu unaona solution ni kumwambia akalime ?!. Huu ni uwehu.
Kwa hiyo wale wenye masters hawatakiwi kulima, ajabu na kweli, kuna vituko utaviona JF tu.
 
Kwa hiyo wale wenye masters hawatakiwi kulima, ajabu na kweli, kuna vituko utavion JF tu.
Wote watalima bwana Dua ?!. Hata yeye alianzia ualimu. Usiwabeze wasio na kazi. Wazazi tumefirisika kuwafikisha watoto hapo , halafu hakuna return !!.

Mwenye degree anarudi kumpiga mzazi mzinga ?!. Bora ya awamu zilizopita
 
Ahahahaaaa . Usije ukamkimbia . Kumbuka mmetubana na sheria zenu mbovu za takwimu
Nimkimbie kwa kisa gani? Nipo hapa tangu 2006 mbona sijakimbia ingawa niliadimika kutokana na shughuli flani flani katika kipindi flani. Mwache alete data huko anakozichimba kama dawa za mitishamba, hapa ndipo tunakata mzizi wa fitna. Wakati JK anaachia ngazi deni lilikuwa kiasi gani na sasa ni kiasi gani?
 
Wote watalima bwana Dua ?!. Hata yeye alianzia ualimu. Usiwabeze wasio na kazi. Wazazi tumefirisika kuwafikisha watoto hapo , halafu hakuna return !!.

Mwenye degree anarudi kumpiga mzazi mzinga ?!. Bora ya awamu zilizopita
Hayo ya kubeza ya kwako, yaani nawafahamu wengi tu wenye masters na ni wakulima wazuri tu, wakitumia taaluma zao walizozipata. Kwani unafikiri kulima ni kule ambako wewe unafahamu ie. kwa jembe la mkono? Unaweza kuwa mkulima kwa kutumia machinery nk. kazi sio lazima kuajiriwa ukishasoma unakuwa na mawazo mapana zaidi ya kufanya shughuli yoyote ile ya kukuwezesha kuishi maisha bora zaidi.
 
Baada ya kuongezwa kwa kodi kwa bidhaa za china ziendazo Marekani. Rais wa China akubali kukaa na Donald Trump na kuweka sahihi ya makubaliano ya kibiashara kati ya hizo nchi 2
 
It would make sense if the government would have started to implement the budget. One of the issue that Prof. Asad had pointed out as a weakness of the government is adherence to a planned budget. His words are a "flute played to the deaf". How in the world would you start implenting that independent thinking if you haven't started identifying and financing the basic need of the country...madege sio basic need of a growing economy.
 
It would make sense if the government would have started to implement the budget. One of the issue that Prof. Asad had pointed out as a weakness of the government is adherence to a planned budget. His words are a "flute played to the deaf". How in the world would you start implenting that independent thinking if you haven't started identifying and financing the basic need of the country...madege sio basic need of a growing economy.

You are wrong, CCM manifesto indicated that the priority of the Government if elected will be to revive ATC, among other things. JPM is just implementing his party's manifesto. Prof Asad should tell us how he managed to fleece NSSF in collusion with Zito and January Makamba. You are just trumpeting his bad behaviour as if JPM is not implementing what he promised the public during his campaign.
 
Wanafunzi wengi wa vyuoo vikuu wanakosa mikopo kwa ukosefu wa fedha huku fedha zikitumiwa vibaya kununulia vitu visivyo na maana kwa taifa.

Serikali hii imekopa hela nyingi kwa miaka minne kuliko Mkapa alivyokopa kwa miaka kumi huku ikizitumia kwenye White Elephant Projects. Very silly indeed.
 
Wanafunzi wengi wa vyuoo vikuu wanakosa mikopo kwa ukosefu wa fedha huku fedha zikitumiwa vibaya kununulia vitu visivyo na maana kwa taifa.

Serikali hii imekopa hela nyingi kwa miaka minne kuliko Mkapa alivyokopa kwa miaka kumi huku ikizitumia kwenye White Elephant Projects. Very silly indeed.

Weka data mkuu wakati unalinganisha huo ukopaji hatuhitaji majungu hapa? Mkapa alikopa ngapi alizikuta ngapi? deni liliongezeka kwa kiasi gani Je, aliacha ngapi hazina nk. JK vile vile. Then uje hapa utueleze idadi wanaokosa mikopo na kwa nini?
 
Hakuna kitu cha hatari kwa dunia ya sasa kutofautiana na wazungu kwa kipindi kama hiki ambacho technology wanaimiliki wao. Wanaweza wakakupoteza faster labda uwe utumiii vitu vya technology
Hata kama utumii unaweza ukatumiwa nzi au mbu wa bandia mwenye sumu ukapotea kabisa.Au kupitia mionzi au mawimbi ya sauti au chochote.Technology ni pana sana
 
Hayo ya kubeza ya kwako, yaani nawafahamu wengi tu wenye masters na ni wakulima wazuri tu, wakitumia taaluma zao walizozipata. Kwani unafikiri kulima ni kule ambako wewe unafahamu ie. kwa jembe la mkono? Unaweza kuwa mkulima kwa kutumia machinery nk. kazi sio lazima kuajiriwa ukishasoma unakuwa na mawazo mapana zaidi ya kufanya shughuli yoyote ile ya kukuwezesha kuishi maisha bora zaidi.
Bila mtaji ?!. Mbona unarahisisha mambo magumu ?!
 
Bila mtaji ?!. Mbona unarahisisha mambo magumu ?!

Sijarahisisha jambo lolote hapo, Serikali hii ilianza kwa wananchi kupewa hati miliki hadi vijijini ili wananchi wengi wawe na umiliki wa nyumba wanazoishi ili wawe na uwezo wa kukopa kwenye ma-benki. Kama hufahamu Credit rating companies hivi sasa inafanyika Tanzania ili kuwawezesha wengi wakope pesa kwenye banking system yetu sio kwa kujuana na flani. Tuache Majungu! Serikali hii inafanya kazi.
 
Back
Top Bottom