Gesi ya ujazo wa futi Trilioni 2.17 yagundulika Bonde la Mto Ruvu

naomba kujua gesi ya bonde la mto ruvu inapatiakana maeneo yapi , ukizingatia bonde la mto ruvu ni sehemu kubwa.
 
Kama una eneo huko jipange upande mazao ya kudumu ili wakija wafidiaji uambuli mshiko,ni ushauri tu!
 
Heshima wakuu !. Dodsal Group yenye makao yake makuu Dubai imegundua Gasi katika bonde la Ruvu karibu na Dar Es salaam yenye kukadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Dola za kimarekani billion 8. Kwa yeyote anayeipenda nchi yetu, hii ni habari nzuri sana kwa uchumi wa Tanzania na kwa maendeleo ya Watu wake. Cha msingi ni namna gani Tanzania inatumia fursa hizi kujinufaisha na siyo kuwanufaisha wageni. Inavyoonyesha, Tanzania iliingia mkataba na kampuni hii ya Dodsal Group mwaka 2007 na wao kuanza utafiti mwaka 2009. Tunachojua, mikataba mingi iliyosainiwa huko nyuma ilikuwa mibovu na isiyokuwa na tija kwa Taifa. Wanaofahamu zaidi kuhusu hii kampuni, hasa makubaliano waliyoafikiana na Tanzaia na ufaidi wa Tanzania
Dodsal Group Discovers $8 Billion Worth Of Natural Gas, in its Tanzania Filed, March 29, 2016.
The company said Tanzania's biggest onshore gas discovery in the Ruvu Basin near Dar es Salaam is estimated to contain over 2.7 trillion cubic feet (TCF) of natural gas deposits.



The Dodsal Group, a Dubai-based business conglomerate, on Monday announced a major natural gas discovery worth an estimated $8 billion at current market prices in Tanzania.
The company said Tanzania's biggest onshore gas discovery in the Ruvu Basin near Dar es Salaam is estimated to contain over 2.7 trillion cubic feet (TCF) of natural gas deposits.
Dodsal, which is currently operating in countries in Mena and East Africa region and India, said a third well at Mbuyu has found a large gas column, which is estimated to contain up to 5.9 TCF of gas. "Studies are ongoing to establish the prospective gas resources," said Dr Rajen A. Kilachand, chairman and president of the Dodsal Group.
Dr Kilachand said Dodsal has invested $200 million so far in Tanzania exploration and would be putting in an additional $300 million to $400 million over 24 months to step up exploration and support production activities, including implementation of an early production system to bring gas to the market by the first quarter of 2018.
First discovery
In July 2015, Dodsal marked its first natural gas discovery in Tanzania of 2.17 TCF in the Mambakofi and Mtini region. However, based on recent update of studies, this estimate has now been raised to 2.7 TCF with a potential upside of 3.8 TCF. "The discovery of natural gas reserves in Tanzania further strengthens our commitment to the nation to be a partner in the country's all-round socio-economic progress," said Dr Kilachand. "It's a game changer, this will change the economy of the country," he added. "Tanzania has tremendous potential in the hydrocarbon sector. When efficiently leveraged, this will bring incremental economic growth by assuring timely and ready supply of clean energy. We are fully committed to supporting the nation in this journey, underlined by nine years of natural gas exploration that we have been undertaking," he said at a media briefing.
Concessions
The Dodsal Group had secured oil and gas concessions from the Tanzanian government following a production sharing agreement signed in 2007. It began exploring the site in 2009, two years after obtaining the concession rights in Tanzania.
The group is currently undertaking studies for prospective gas resources to be enhanced further, which could catalyze Tanzania's position as a leader in the natural gas sector in the East Africa region.
"As a socially responsible organization, our focus is to bring in added value across all aspects of our operation and support Tanzania in stimulating the local economy, create new jobs for Tanzanian youth and drive the growth of small and medium enterprises by building a strong local supply chain," said Dr Kilachand. The group has implemented projects in over 22 nations.

Source :
http://www.khaleejtimes.com/business/economy/dodsal-group-discovers-8-billion-worth-of-natural-gas-deposits-in-tanzania
 
Sio habari ya kufurahia hilo eneo lilishanunuliwa na rizmoko siku nyingi.
Hamuachi jamani, hata kama Rizmoko kanunua, yule ni raia kama raia mwengine ana haki ya kumiliki ardhi kama imegundulika ndani ya shamba au eneo lake ni wazi enep litarudi kwa serikali au umesahau sharia ya ardhi, madini na gas vya serikali, kukiota bangi ni yako na utajibu mashtaka ha ha ha lol,
 
Hapo sikubaliani na wewe labda useme kwamba CCM ni sehemu ya tatizo ila sio tatizo lenyewe. Wazungu wanataka tubadilishe chama ili wanufaike na rasilimali kwa 100% ndio maana R. G. Mugabe alisema kwenye mkutano wa AU kwamba kikwete aliambiwa na wazungu kwamba wameichoka CCM hivyo afanye mabadiliko kwa chama kingine, unadhani wanasema hayo kwanini ikiwa wanafaidika na utawala wa CCM? Jibu ni rahisi tu, wanataka vibaraka wao watawale ili iwe rahisi kujichotea rasilimali tofauti na sasa ambapo wanaona kama wanabanwa. Tunachotakiwa ni kuishinikiza CCM ifanye mageuzi ya kikatiba na kuleta mapinduzi kama ya China, vinginevyo hakuna kipya maana wapinzani wa CCM ni vibaraka wa wazungu.

I wish Vibaraka wakekuwa na rangi wakajulikana ..................!! Kwa hiyo vibaraka kwako ni wapinzani tu!!??
 
Ahsante Kikwete kwa kuwakinaisha hawa wawekezaji wa kutafuta gesi na kuwawezesha kusambaa Tanzania nzima.

Matunda ya kazi zako tutayala daima Tanzania.
Utaota sana mwaka huu ................!!

Naona bado huamini kama jamaa kishaondoka hivyo na haitatokea arudi tena ................... pale Magogoni!!
 
Utaota sana mwaka huu ................!!

Naona bado huamini kama jamaa kishaondoka hivyo na haitatokea arudi tena ................... pale Magogoni!!

Miaka kumi ya kila aina ya mafanikio atake nini tena zaidi?

Amefana katika kila nyanja huna pakubwa kasoro.

Allah amlinde na mahasidi kama wewe.

Unaujuwa ulaji alionao sasa hivi UN?
 
Back
Top Bottom