Asante kwa kutujuza mkuuMkuu hii LPG(Gesi ya kupikia) haivunwi hapa tanzania. Nayo ina ingizwa kama mafuta ya petrol na diesel!! Hii ya kwetu ni natural gas ambayo japo inaweza tumika kupikia ila sio kwa kuwekwa kwenye mitungi ina bidi wakuunganishie bomba hadi nyumbani kwako ndio uweze kutumia kuna baadhi ya nyumba masaki wanatumia gesi hiyo ya mtwara,
Vizuri, hata hivyo bado bei juu sana ikizingatiwa ges tunavuna wenyewe hapa hapa Tanzania, ilipaswa kwa kg 15 angalau iwe tsh 30,000 na kg 6 tsh 11500.
nimeizoea ile avatar yako mkuuAsante kwa habari njema
Nakusalimu mkuuHabari nzuri
Nisivyopenda harufu ya gesi.. yaani haswaaaa siiwezi.
Hujui kuwa kodi itapungua?Habari nzuri
Nisivyopenda harufu ya gesi.. yaani haswaaaa siiwezi.
Kwani we hizo bei umeona Ni za kampuni gani!?Gesi ya Ntwara imeanza chimbwa tayari? Ahsante kwa taharifa mkuu jitahidi uhulizie Oryx
narudia tena mkuu gesi ya kuchimba haiji leo wala kesho inahitaji mambomengi sana tunayotumia tunatoa nje na wanapakia pale bandarini unaweza pita ukaona matanki yaoUle mtungi wa kg 15 inatakiwa ishuke hadi 25,000 ndo itakuwa fair, na itaonyesha kweli tunachimba gesi
Izoee na hii tu hakuna namnanimeizoea ile avatar yako mkuu
Nipite lini mkuu, niletee huo mkubwa mimi nipo hapa korogwechakiii NJOO PITA BUCHA NIPIGIE NAKUPA.MKUBWA KWA 44500
Shukrani kwa ufafanuzi wa hili jambo. Watu wengi wanapoona mitungi ya gesi wanadhani inatokana na gesi ya Mtwara. Kenya imezuia gesi kuingia nchin kwao kutokea Tanzania na wakati huohuo Kenya nao wana bandari kwahiyo kuna kamchanganyiko hapa.Mkuu hii LPG(Gesi ya kupikia) haivunwi hapa tanzania. Nayo ina ingizwa kama mafuta ya petrol na diesel!! Hii ya kwetu ni natural gas ambayo japo inaweza tumika kupikia ila sio kwa kuwekwa kwenye mitungi ina bidi wakuunganishie bomba hadi nyumbani kwako ndio uweze kutumia kuna baadhi ya nyumba masaki wanatumia gesi hiyo ya mtwara,
Wewe ngoja tukupeleke Kibitinaulizia bei ya konyagi itashuka lini