Gesi kushuka bei kesho

Gesi kushuka bei kesho

Vizuri, hata hivyo bado bei juu sana ikizingatiwa ges tunavuna wenyewe hapa hapa Tanzania, ilipaswa kwa kg 15 angalau iwe tsh 30,000 na kg 6 tsh 11500.
 
Kuanzia kesho oryx gas zitauzwa

15 kg =44"500 badala ya 50"000
6kg =18"500 badala ya 21"000

Sijapata taarifa za mihani nao wanashusha ntawaletea

NB
BEI HIIZI N KWA WALE WANAONUNUA MZIGO KUANZIA KESHO
WALE WALIO.NA STOCK YA ZAMANI WANAHIMIZWA.KUANZIA JUL 01 WAWE WAMESHANZA KUUZA BEI ELEKEZI KAMA ILIVYO HAPO JUU

AHSANTE MH RAISI POLE POLE TUTASHUKA 30"000
UnOna sasa kuna sababu gani kusifia kushuka bei ya gesi mbona jlipopsnda ulishangilia ges tunavuna wenyewe bado bei ya elf 44 ni kubwa sana
 
Duh afadhali maana elfu 3 kwenye ka Mihan kangu sio ndogo ati!

BTW hiyo 30k hapo mwishoni mwa habari yako unaomba assist kijanja nini?
 
Mtaani kwetu huwa tunanunua 48,000/- siku nyingi tuu,walikuwa wanaikwapua au!?ngoja tuone kama itakuwa chini ya Bei elekezi
 
Kuanzia kesho oryx gas zitauzwa

15 kg =44"500 badala ya 50"000
6kg =18"500 badala ya 21"000

Sijapata taarifa za mihani nao wanashusha ntawaletea

NB
BEI HIIZI N KWA WALE WANAONUNUA MZIGO KUANZIA KESHO
WALE WALIO.NA STOCK YA ZAMANI WANAHIMIZWA.KUANZIA JUL 01 WAWE WAMESHANZA KUUZA BEI ELEKEZI KAMA ILIVYO HAPO JUU

AHSANTE MH RAISI POLE POLE TUTASHUKA 30"000
chanzo cha habari yako boss
 
Back
Top Bottom