GE2025 Gerson Msigwa: Watanzania wangekuwa hawataki kushiriki Uchaguzi 2025 wasingejitokeza kwenye kampeni

GE2025 Gerson Msigwa: Watanzania wangekuwa hawataki kushiriki Uchaguzi 2025 wasingejitokeza kwenye kampeni

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
3,177
Reaction score
7,472
Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa, amejibu maswali kadhaa wakati wa mahojiano aliyofanya na Kituo cha UTV, leo Jumatatu Oktoba 13, 2025;

Mnadhani kwa nini Maandamano yanapangwa Siku ya Uchaguzi?
Siamini kama Wananchi wanapanga maandamano hayo, ni vikundi vya watu wachache, tunajua ni michezo ya watu, mtu mmoja anaweza kuwa na akaunti hata 200 anatumia hizo ili ionekane ni watu wengi.

Watanzania wanajitokeza kwa wingi kwenye kampeni, wangekuwa hawataki kushiriki uchaguzi wasingeenda kwenye kampeni.

Kila kitu kinachukuliwa kwa uzito wake, niwahakikishie tarehe 29 Oktoba amani ipo ya kutosha, hakuna atakayekimbizwa na hakuna atakayefanywa chochote.

Kwa Tanzania kuna mipaka katika uhuru wa kutoa maoni?
Mipaka ipo, Watanzania wana uhuru wa kutoa maoni lakini kila uhuru una wajibu, huwezi kutoa maoni yenye madhara kwenye jamii kisha Serikali ikakaa kimya.

Serikali ipo hapa kuhakikisha unatekeleza haki zako lakini wakati huohuo unalinda haki za watu wengine.

Nchi yetu haijazuia Vyombo vya Habari, Serikali kama chombo tuna wajibu wa kulinda nchi, tukiona una hoja za kuleta madhara kwenye Jamii tunachukua hatua, tumefanya hivyo kwa wachache, ndio maana hata mitandao ya kijamii ipo na inaendelea kufanya kazi.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.


Share na mwenzako
 
Girishoni lazima apakwe mafuta ya mawese ili kurahisisha upelekewaji wa moto nakwambia viongozi wengi wataenda mafichoni kabla ya oct 29
 
Lakini Msigwa hapa ana hoja hata kama wanabebwa na maloli lakini hebu angalia kanda ya ziwa shinyanga kahama.

Hawa wabongo hawako tayari kukombolewa naona wamelogwa na moshi wa mwenge.

Hebu tujadiliane.
 
Lakini Msigwa hapa ana hoja hata kama wanabebwa na maloli lakini hebu angalia kanda ya ziwa shinyanga kahama.

Hawa wabongo hawako tayari kukombolewa naona wamelogwa na moshi wa mwenge.

Hebu tujadiliane.
ukiachana na wasukuma wajinga, watu wengine wa kanda ya ziwa hawaendi kwenye kampeni za huyo maza! Mfano juzi hapo musoma alipofanya kampeni, chawa wote na wanachama wote wa ccm walienda kutoka wilaya zote za mara!! Kwahiyo ukiona watu wengi usidhani wanatoka kwenye hiyo wilaya!
 
ukiachana na wasukuma wajinga, watu wengine wa kanda ya ziwa hawaendi kwenye kampeni za huyo maza! Mfano juzi hapo musoma alipofanya kampeni, chawa wote na wanachama wote wa ccm walienda kutoka wilaya zote za mara!! Kwahiyo ukiona watu wengi usidhani wanatoka kwenye hiyo wilaya!
Bunda nimeona watu walikuwa ni wengi Simiyu watu walikuwa wengi Bukombe kwa Wasumbwa watu walikuwa wengi wanakatisha tamaa kwakweli
 
Msigwa tunakuiliza kwanini Mama amekacha kwenda Mbeya kuzima Mwenge?
 
Watu wanakuja kuangalia tu burudani. Nothing more.
Hawa watu wanapenda sana burudani kuliko future yao ndio maana maandamano ya Yanga na Simba wanatoka kwa wingi sana kuliko maandamano ya kudai haki zao za msingi.
 
Back
Top Bottom