Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Nadhani Gerson Msigwa ni mtendaji mwingine incompetent aliyejikuta yuko Ikulu ya Tanzania.
Tumkumbushe kuwa yeye ni Mtumishi wa Umma si mwanasiasa, na wala si Msemaji wa CCM wakati wa Kampeni na wala siyo msemaji wa timu ya kampeni ya CCM, na wala si Mtangazaji wa TBCCM kama ilivyokuwa 2015...
Nafikiri kama hajitambui afikishwe Kamati za Maadili ili asaidiwe kujitambua
Tumkumbushe kuwa yeye ni Mtumishi wa Umma si mwanasiasa, na wala si Msemaji wa CCM wakati wa Kampeni na wala siyo msemaji wa timu ya kampeni ya CCM, na wala si Mtangazaji wa TBCCM kama ilivyokuwa 2015...
Nafikiri kama hajitambui afikishwe Kamati za Maadili ili asaidiwe kujitambua