Mbowe for presidency 2015
Mbowe for presidency 2015
Huu mkutano mbona wa Kawaida Chadema kwa ushabiki, halafu ukitaka kujua kama huu ni wa kawaida sana kuna jamaa mmoja amekaa kulia makaratasi ya mkutano kayaweka chini...Slaa kapendeza kaachana na magwanda.
DR. SLAA AT THE KAS-DAY Also available in Deutsch
50 years of worldwide democracy - under this slogan renowned politicians from Germany and across the world looked back on the "impressive success story" of KAS during this year´s KAS-Day which took place in Berlin on the 27th of June. Among the discussants was Dr. Willbrod Slaa, Secretary General of CHADEMA, the Tanzanian partner party to KAS. He shared experiences with politicans from Myanmar, Belarus and Venezuela on the topic "No future for dictators, people want freedom".
do kumbe padri slaa na yeye anakitambi? Halafu mbona huo mkono hujashika hizo karatasi vizuri?
I am sorry.So, what's your point? I mean, what are you trying to say?
Mbowe for presidency 2015
Mbowe for presidency 2015
Tutawalipa Ngozi ya Kikwete, Lowasa and the Company!Hapo Slaa ameng'aa sana kumbe hii M4C ndio inamfanya anachakaa!
Mkipata urais sijui mtawalipa nini hao wajerumani
na wewe inabidi ukatubu kama ni mkristo hizo pesa wanazowapa zitawatokea puani wapi idd amin?
Magwanda yako wapi? Josephine yuko wapi? Rose yuko wapi?
vasco da gama akialikwa anaweza kusema ni vihehere vyenu, in english it is there are front line ambition that is why they sex every where and every time while me i am picturing on how to manufacture voda fasta teachers.Jembe limeitwa bwana just imagine hajachukua nchi lkn yuko ktk deep discussion na wanaojua mageuzi ni nn.siyo u-Mwigulu mwigulu hapo.Kuweni wapole,wakweli,wavumilivu na wasikivu wa M4C
do kumbe padri slaa na yeye anakitambi? Halafu mbona huo mkono hujashika hizo karatasi vizuri?
Ukiona mwanaume anamwangalia mwanaume mwenzake kwa makini na kwa undani ujue anatafuta mchumba huyo!