Gereza la Hazwa

STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA TATU

TULIPO ISHIA UKURASA WA PILI

Alienda kwenye moja ya migahawa bora sana akaagiza chakula cha bei kubwa akiwa anafidia siku alizo teseka, alikula akashiba vizuri baada ya hapo alienda club na kuchukua mwanamke mmoja mrembo sana akawa anakunywa pombe baadae aliingia naye chumbani kupunguza uzito aliokuwa nao ikiwa ni kama kulipiza kwa namna wanawake wazuri walivyokuwa wanamkataa kwa sababu hakuwa na pesa kwenye maisha yake yote basi alijisikia fahari sana siku hiyo. Asubuhi na mapema sana alikuwa ndani ya gari akiwa anaelekea zake kwenye moja ya jiji ambalo kwake ilikuwa ni ndoto kwenda kuliishi.

ENDELEA..................................

Kani kwa mara ya kwanza alikuwa anashuka ndani ya jiji la Dar es salaam ambalo kwake lilikuwa ni geni mno hakuwahi kufika zaidi ya kusikia tu watu wakiwa wanalinakshi kwa uzuri wake wa kuvutia na umaridadi wa maisha ambayo watu waliomo ndani yake huwa wanayaishi kila siku, majira ya jioni wakati kiza kinaanza kuingia taratibu ndio muda ambao alikuwa anashuka stendi. Namba alikuwa nayo kwenye simu yake aliitoa kwenye mfuko wake kwa umakini sana na kuweza kuipiga iliita kwa mara ya kwanza na kukata, ikaitwa kwa mara ya pili kwa muda mrefu ndipo ilipoweza kupokelewa.

“Vuka hiyo lami kwa mbele utaona kuna gari nyeusi ingia humo” maelekezo aliyo yapata ilionekana mtu ambaye alikuwa akimuelekeza alikuwa anamuona moja kwa moja bila wasiwasi wowote ule basi alivuka na kweli hatua kama hamsini kutoka sehemu aliyokuwepo aliona kuna gari moja zuri sana la kifahari mno alisita kwenda ila aliamua kuufuata moyo wake na maamuzi yake, hatua mbili kabla hajafika mlango ulifunguliwa kana kwamba alikuwa akisubiriwa kwa muda mrefu kisha akaingia ndani ya gari. Ndani ya hiyo gari alikuwa amekaa mwanaume mmoja mwenye ndevu ambazo bila shaka zilichongoka na kukaa kwa usahihi kwa matunzo ambayo yalionekana kufanyika kwenye hizo ndevu, mustachi uliipamba sana sehemu ya juu kidogo ya mdomo wake na kuonekana kama alikuwa mhindi flani hivi, Kani ilimchukua kama dakika mbili kuweza kumtambua vizuri mtu ambaye alikuwa mbele yake alikuwa amebadilika mno na wala hakutegemea kama ndiye yule rafiki yake wa miaka mitano huko nyuma ilihitaji umakini wa hali ya juu na kwa mtu ambaye anamjua kiundani sana kuweza kumtambua kwamba ndiye alikuwa yeye mwenyewe.

Alen ndiye mwanaume aliyekuwa ndani ya gari hiyo ya kifahari walikumbatiana kwa furaha sana huku Kani machozi yakiwa yanamtoka kwa miaka mitano ambayo ilikuwa imepita alipitia mambo magumu sana ambayo yalimpelekea mpaka kuipoteza kazi yake.

“Ulikuwa wapi miaka yote hiyo ndugu yangu” Kani aliuliza akiwa anashangaa namna gari hiyo ilivyokuwa ya kifahari mno na hakuwahi hata siku moja kupanda wala kufikiria kama atakuja siku moja kuwa sehemu ya maisha hayo ya kifahari na kuyaishi kwenye uhalisia wake.

“Namba zinasoma kwa kasi kubwa sana ndugu yangu na miaka inazidi kukatika tu lakini wanadamu bado tupo, hilo ni swali ambalo nitakujibu siku nikipata muda ila kwa sasa nilihitaji kukusaidia ujitoe kwenye hiyo hali ya maisha ambayo ulikuwa nayo kwa muda mrefu sana nina imani umepitia shida za kutosha kwa sababu yangu mimi na hilo ndilo limenisukuma sana kuweza kulipa fadhila kwa wema wako ambao siwezi kuusahau kwa namna ulivyo nisaidia wakatii ule hakukuwa na mtu yeyote yule ambaye angeweza kusimama na kunikumbuka, kwa sasa twende sehemu ambayo ndiyo utafikia na utakuwa unakaa halafu kesho nitakupeleka sehemu ukafanye manunuzi ya nguo kidogo uanze kuendana na kasi ya mji” maneno hayo ya Alen Kani hata hakuwa anayasikia vizuri mawazo yake yalikuwa yapo mbali sana kushangaa namna mtu ambaye alikuwa naye kwenye machimbo ya madini miaka kadhaa nyuma leo alikuwa anaongea akiwa siriasi sana maisha yalikuwa yamebadilika mno kwa kiasi kikubwa.


“Ahhhh…. sawa” alijibu kwa kigugumizi, Alen alitabasamu tu kuona hiyo hali alimjua mwenzake huyo kwa ushamba hususani anapofika sehemu ambayo anakuwa haijui kabisa au ni ngeni kwenye maisha yake, alinyanyua gia na kuanza kutoka kwenye hilo eneo kwa spidi ya kawaida ikionekana wazi hakuhitaji kumuumiza mgeni wake.

“Hivi kaka wewe wazazi wako na asili yako kabisa huwa ni wapi?” ni swali ambalo lilionekana kumshtua sana Alen baada ya kuulizwa na Kani walionekana kuwa watu ambao walikutana na kusaidiana tu ila walikuwa hawajuani kiundani sana.

“Sikumbuki sana nilikuwa mdogo mno ila ninacho kijua mimi wakati naanza kujitambua nilijikuta naishi kwenye kituo cha watoto yatima mpaka pale nilipo ona kwamba nina uwezo wa kujitegemea nikaamua kuondoka hiyo sehemu nadhani hata siku ya kwanza niliwahi kukwambia hivyo” Alen alijibu lakini ni wazi hakupendezwa kabisa na hilo swali ilimbidi kufungua muziki taratibu kwenye gari akiwasha skrini ndogo ambayo iliuchukua umakini wa Kani wote na maswali yakawa yameishia hapo. Nusu saa ilipita waliingia Sinza kwenye mjengo ambao haukuwa mkubwa saana ila ulikamilika kwa mtu kuweza kujiita ana maisha mazuri ya kuvutia, mlango ulifunguliwa wakaingiza gari ndani kisha wakafunga geti, muda wote Kani macho hayakubanduka kwenye skrini ambayo ilikuwa ipo mbele ya gari mpaka pale alipokuja kushtuliwa na Alen kwamba walikuwa wamefika mwisho wa safari yao ndipo alipoweza kushuka ndani ya gari wakaongozana mpaka ndani ya nyumba.

“Kani kuanzia leo hapa ni kwako na ndipo utakapokuwa unaishi kwa sasa, yale magari mawili ambayo umeyaona pale nje ni yako yote ila kuhusu wafanyakazi utaamua wewe kama utawaleta au la itakuwa ni juu yako mwenyewe” Kani aligeuka kutoka kwenye mshangao aliokuwa nao wa kushangaa vitu vya thamani vilivyokuwepo ndani ya sebule hiyo na kumwangalia Alen kwa taharuki, hakuwa anaamini kwamba hivyo vitu humo ndani vilikuwa ni mali yake yeye na alikuwa anaruhusiwa kuvitumia kadri atakavyo, alijikuta analegea na kupiga magoti chini akiwa anatoa machozi huyo mwanaume mbele yake hakuwa ndugu, kaka wa kuzaliwa wala hawakutoka sehemu moja ya kuzaliwa ila leo ndiye aliyekuwa kama ndugu yake ndani ya jiji hili, ni binadamu wachache sana huwa wana moyo wa aina hiyo. Alen alimfuata rafiki yake huyo wa machimbo akamnyanyua na kumkumbatia.

“Kama ningekuwa na uwezo ningeurudisha muda nyuma uzaliwe wakwanza kwenye familia yetu kisha nifuate mimi nikuite kaka wa damu kabisa tumbo moja nadhani ningekuwa mwanadamu ambaye ningekuwa nina bahati kuliko binadamu yeyote yule hapa duniani, asante sana kaka” Kani aliongea kwa kumaanisha macho yake yalitoa ishara za msisitizo kuhusu hilo jambo wakati huo alikuwa amekumbatia sofa moja maridadi sana ambalo lilipita kwenye mkono bora wa fundi seremala.

“Hahahahahah Kani bado hujaachaga masiara yako, hivi ni vitu vidogo tu usijali, wewe ndiye binadamu pekee uliuona umuhimu wangu wakati ule mimi ni kapuku sina hata mia mbovu, ukanipeleka mpaka kazini kwako na kunisaidia sana sehemu ya kulala kwahiyo haya ninayo yafanya wewe ndiye unastahili pongezi kwani huenda kama sio wewe mimi leo nisingekuwa hapa” Alen aliongea kwa kumaanisha mashavu ya Kani yalituna kwa cheko kisha akakaa chini akiwa ana furaha sana, kilicho fuata alionyeshwa mazingira yote ya nyumba na namna ya kutumia vitu mbali mbali humo ndani, vyakula vilikuwa vipo vya kutosha kwenye friji alikula sana baada ya Alen kuondoka na kuahidi kwamba angekuja kesho yake kumchukua akabadilike kuanzia mavazi mpaka muonekano.

Sauti za kengele ndizo zilizo weza kumshtua kutoka kwenye usingizi mkali na mnono ambao alikuwa amelala, hakuwahi kwenye maisha yake kulala sehemu nzuri na bora kama hiyo leo ndiyo ilikuwa mara ya kwanza kabisa hakuhitaji kuukosa usingizi huo hata kwa sekunde moja, alimlaani sana mtu ambaye alikuwa amehusika na kuikatisha safari yake ya usingizi, alitoka taratibu sebuleni na kwenda kuufungua mlango, alitabasamu baada ya kumuona Alen akiwa kwenye moja ya suti nzito mno hakuhitaji maelezo mengi alimhitaji watoke sasa akatengenezwe. Walipanda kwenye gari haraka sana wakaitafuta moja ya saloon kubwa Kani alienda kutengenezwa kuanzia uso wake na kufanyiwa masaji na watoto wakike ambao walinona mno, mate yalikuwa hayamkauki mdomoni na aliapia angerudi kuwatafuta, baada ya kumaliza safari yao ilienda kuishia ndani ya Mlimani City ambako walipanga kwenda kununua nguo za kutosha kwa ajili yake. Walifika na kushuka kwenye gari walianza taratibu kutembea kuelekea ndani Alen akiwa ametangulia mbele wakati anayakaribia malango ya kuingilia alijifanya kama anaishika kofia yake vizuri akaikutanisha mikono yake miwili na kuibonyeza kidogo tu saa ambayo ilikuwa kwenye mkono wake ghafla umeme kwenye sehemu zote ambazo zilikuwa karibu na hapo walipokuwa ulikata kwa dakika moja na kurudi haraka sana halikuwa jambo la kawaida liliwashangaza watu wote ambao walikuwa wapo karibu kutokana na sehemu hiyo kuto katika umeme hata kama umeme wa tanesco ungekata basi huwa kuna jenereta za kutosha ambazo huwa zinafanya sehemu hiyo kuwa yenye umeme muda wote.


Baada ya kumalizana na shoping yao ndani ya Mliman City siku ile maisha yaliendelea kama kawaida Kani akijitahidi sana kuwa mwenyeji wa jiji hili na kwa msaada wa rafiki yake Alen haikuwa kazi ngumu sana ilifika sehemu akawa ni mwenyeji kila sehemu japo alikuwa ana maswali mengi sana juu ya maisha ya rafiki yake kwanza alikuwa haelewi Alen alipoteaje ndani ya Arusha na kuja kuwa mtu tajiri kiasi hiki? Alijaribu kujijibu mwenyewe kwamba huenda mwanaume huyu alibahatika kuyapata madini lakini alilipinga hilo kwa sababu ilikuwa sio rahisi mtu kutoka na madini ndani ya yale machimbo na hata siku ambayo rafiki yake huyo aliondoka alikuwa kwenye hali mbaya mno kiasi kwamba asingekuwa na uwezo wa kufanya hicho kitu, swali la pili lilikuwa ni maisha ya mtu huyo kiujumla muda wote ambao alikuwa amekuja ndani ya jiji la Dar hakuwahi kabisa kuijua sehemu ambayo alikuwa akishi Alen lakini swali la tatu hakuelewa kwanini rafiki yake huyo alikuwa anakwepa sana kupiga picha kwenye uso wake na alikuwa makini sana kuweza kulikwepa hilo jambo hata hivyo aliamua kuuachia muda uamue kwa sababu hakuhitaji kulazimisha mambo wakati mhusika yeye mwenyewe hakuwa tayari kabisa kumwambia japo alitamani sana kuyajua majibu ya maswali yake.

“Kani nina imani utakuwa na maswali mengi sana juu yangu kwamba nimeyapataje haya maisha, kwanini sijawahi kukupeleka nyumbani? Muda ukifika utajua kila kitu ila kwa leo nataka kwa mara ya kwanza ukaione familia yangu ili hata siku nikipata tatizo wapate mtu wa kuwafariji” ni maneno ambayo yalimuacha Kani mdomo wazi alitetemeka kidogo hicho ndicho kitu ambacho alikuwa anakiwaza muda sio mrefu kwenye akili yake sasa alijiuliza huyo mtu kwanini amwambie hayo mambo muda huo kwamba alikuwa ameshajua anacho kiwaza? Hakupata jibu.

“Itakuwa ni vizuri sana ndugu yangu maana sijui hata familia ya rafiki yangu mpaka najisikia aibu muda mwingine” alijibu tu kama kujifariji ila kiuhalisia hata alicho kijibu alikuwa hajakijua, Alen alimwangalia kwa umakini sana Kani kiasi kwamba alikuwa ni mtu ambaye alikuwa anayapima macho yake kisha akatabasamu, waliingia kwenye gari na kuondoka kwa mwendo wa taratibu kabisa. Maeneo ya posta pembezoni kabisa mwa bahari ndipo gari ilipo enda kusimama nje ya mjengo mmoja ambao bila shaka mmiliki hakuwa mtu wa kuhesabu pesa kwa mkono lazima mashine ndizo zilikuwa zinafanya hiyo kazi ya kuhesabu ndipo walipoweza kufika, ilikuwa ni miongoni mwa majumba ya kifahari sana ndani ya eneo hilo Kani aliutazama huo mjengo bila kuumaliza alijikuta anameza mate na kikiri moyoni kwamba ukiachana nayeye kudumu hapa duniani ila dunia hii hii ina watu ambao walikuwa wanaishi kweli.

Baada ya kuingia ndani walikaribishwa na tabasamu la mwanamke mmoja mzuri mno ambaye alienda kumkumbatia Alen na kumpiga busu zito kwenye paji lake la uso.

“Welcome back my husband” ni sauti tamu ambayo ilipenya kwenye ngoma za masikio ya Kani na kujikuta akitabasamu akiwa haamini yule rafiki yake kapuku wa machimboni leo alikuwa anapokelewa na sauti nzuri laini kama hiyo mbele yake maisha yalikuwa yanakimbia mno, naye hakunyimwa haki ya kuisikia sauti hiyo baada ya kugutuliwa na sauti

“Karibu nyumbani shemeji” alijikuta anababaika hata kujibu huku akipokea mkono wa mwanamke huyo kabla hajakaa sawa ilisikika sauti yenye kicheko cha kitoto iliyokuwa na furaha sana ikiwa inakuja upande wao.

“Daddy” mtoto wa Alen alikuja na kumkumbatia baba yake kipenzi, ni kitendo kilicho muacha Kani mdomo wazi hakuweza kuamini kama rafiki yake alikuwa amefikia hatua mpaka ya kuwa na mtoto kabisa, alijikuta anainama chini kwa mshangao, kwake dunia ilikuwa ina siri kali ila wanadamu ndio walikuwa wenye siri zaidi ya mifuko iwekwayo ndani ya nguo ya mtu.

Ni mwanzo kabisa ndani ya GEREZA LA HAZWA ukurasa wa tatu tunaweka nukta tupumzike kidogo.

Bux the story teller.View attachment 2356266

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA NNE

TULIPO ISHIA UKURASA WA TATU



“Daddy” mtoto wa Alen alikuja na kumkumbatia baba yake kipenzi, ni kitendo kilicho muacha Kani mdomo wazi hakuweza kuamini kama rafiki yake alikuwa amefikia hatua mpaka ya kuwa na mtoto kabisa, alijikuta anainama chini kwa mshangao, kwake dunia ilikuwa ina siri kali ila wanadamu ndio walikuwa wenye siri zaidi ya mifuko iwekwayo ndani ya nguo ya mtu.

ENDELEA..................


Walikuwa kama familia moja, ilikuwa ni furaha kubwa sana kujumuika pamoja sasa swali moja lilikuwa limejibiwa kwake bila hata yeye kuuliza kwa kuweza kujua mahali ambapo rafiki yake alikuwa anaishi tena alibahatika kuijua na familia yake kabisa, sasa ilikuwa ni kawaida kwa Kani kwenda kwa Alen siku ambazo alikuwa ana muda wa kutosha kwa sababu mpaka muda huo alikuwa tayari ana biashara zake ambazo Alen alimfungulia hivyo kuna muda ilikuwa inamlazimu sana kuwa busy kusimamia hiyo miradi ambayo ilikuwa imefunguliwa tayari. Ulipita muda mrefu sana akawa mzoefu wa jiji tayari na alikuwa ameanza kijisimamia kwa kila kitu maisha mazuri yakiwa sehemu yake kwa kupitia mgongo wa rafiki yake ambaye alimsaidia miaka kadhaa nyuma kwake wema ulikuwa ni akiba kubwa ambayo ilikuwa imezaa matunda mema.

Siku moja alikuwa anatamani sana kuweza kumshukuru rafiki yake kwa namna alivyo msaidia na kuyabadilisha maisha yake, aliwaza sana kumshukuru yeye tu lakini aliona haitakuwa sawa kwa sababu alihitaji watu wengi waone anavyo shukuru njia pekee kwake ambayo aliona watu wengi wanaweza kuona ni kupitia mitandao ya kijamii ambako huwa wanakutana watu wengi sana hapa ulimwenguni kwa muda mfupi. Alipanga atafanya kila namna ili ampige mtu huyo picha au wapige wote bila yeye kujua kitu chochote kile hivyo alinunua kamera moja nzuri na kubwa akawa ameihifadhi juu ya friji wakati huo alimpigia simu Alen kwamba alikuwa akimhitaji kwa muda huo kulikuwa na dharura ya mhimu sana mwanaume hakuona tabu alikuja kumsikiliza rafiki yake. Kabla hajaenda kufungua mlango aliitegesha kamera yake vizuri kabisa na kwenda kumfungulia mlango Alen baada ya kugonga.

“Kani umeniita ghafla sana umenishtua kuna nini?” Alen aliuliza kama kulikua kuna usalama humo ndani lakini Kani aliiangalia saa yake na kutoa kicheko

“Angalia kuleeeeee” alionyesha kidole wakiwa wapo karibu na ndipo Alen alipo geukia ule upande ambao ulikuwa na kamera yeye hakuweza kujua chochote kile muda huo kamera hiyo alipiga picha za kutosha (kosa kubwa sana).

“Nimekununulia zawadi ya saa hii hapa kaka, nashukuru sana kwa wewe kuwa sehemu ya maisha yangu sijui ningekuwa naishi vipi mpaka leo, sihitaji kujua kwa sasa kwanini ulitoroka hali iliyo nifanya nifukuzwe kazi kwa kusingiziwa kuiba madini na pia nilifungwa kwa muda wa miaka mitatu jela mpaka nilipo onekana sina hatia maisha yangu yalikuwa yameelekea shimoni ila umekuja na kunipa tumaini jipya kwenye maisha yangu asante sana kaka” Kani aliongea kwa uchungu mkubwa sana wakati anamshukuru rafiki yake, ni kweli maisha yake yalibadilishwa sana na mwanaume huyo kwake alidai alimuita hapo ili kumkabidhi zawadi ya saa ikiwa ni kama sehemu ya shukrani kwa kila alicho fanyiwa kwenye maisha yake, Alen alifurahi kiasi chake japo moyoni alikuwa kawaida sana kwake ilikuwa kawaida kwa sababu aliwajua sana binadamu hasa pale unapo onekana wa mhimu kwao basi watakunadi kwa kila aina ya maneno matamu ila sio ajabu hao hao kesho ndio wanakuja kukufanya ujutie kuwafahamu basi aliipokea saa hiyo na kumkumbatia rafiki yake wa ukubwani na kumpiga piga mgongoni.

“Asante Kani” alitamka kwa tabasamu na kutoka humo ndani akawasha gari na kuondoka kwani hata kazi yake ilikuwa haijulikani kabisa hapa mjini. Kani aliufunga mlango na kuanza kushangilia zoezi lake lilikuwa limeenda sawa, aliifuata kamera yake na kuangalia kweli kulikuwa na picha zaidi ya kumi ila kuna picha mbili tu ndizo alizo zipenda yeye, alizihamisha vizuri kwenye simu yake hakuchukua muda alienda moja kwa moja kwenye kurasa za mitandao na kuanza kuzisambaza hizo picha kwa maelezo mazuri sana ambayo yalikuwa yameandikwa kwa mbwembwe.

“MAISHA YANGU YAMEKUWA KAMA HADITHI YA KUFIKIRIKA KWA ZAIDI YA MIAKA 20 ILIYO PITA NIMEISHI NDANI YA JANGWA BILA MAJI ILA MUNGU ALIVYO WA AJABU AKAMTUMA MJA WAKE NA KUJA KUNIPATIA DAWA YA KIU NIKAPONA, SINA CHA KUKULIPA ILA NINASHUKURU KWA KILA KITU ULICHO NIFANYIA KWENYE HAYA MAISHA YANGU ALEN, I LOVE YOU BRO” maneno yalisomeka vizuri kabisa akiwa ameyaweka kwa herufi kubwa ili kwa kila msomaji atakaye iona picha hiyo asiache kuyasoma hayo maelezo. Lengo lake alitaka kumfanya rafiki yake aone ni namna gani alikuwa anathamini na kuheshimu kwa kila alichoweza kufanyiwa, fikra zake alijua atamfurahisha sana Alen kama ataona hicho kitu ila huenda alikuwa anafanya kosa kubwa sana kwenye maisha yake bila yeye kujua na kama angefanikiwa kujua madhara ya hicho alichokuwa anakifanya ni bora angejiua yeye mwenyewe.

Baada ya kuona ameiweka vizuri kama alivyokuwa anahitaji yeye basi aliichapisha na kuiruhusu kwenye mitandao mbali mbali ambayo kwake aliamini kwamba watu wengi wataiona na kumpongeza kwa Kumkumbuka mtu aliyeweza kumtoa mbali. Baada ya kuichapisha picha hiyo ilichukua dakika moja tu kuna alama nyekundu ilitokea kwenye hiyo picha mpaka yeye mwenyewe alibaki anashangaa hakuwahi kuona hicho kitu, baada ya sekunde thelathini tu picha hiyo ilifutika na kwenye kila ukurasa ambao alikuwa ameisasisha ilikuwa imefutika, mawazo yake yaligoma kuamini hicho kitu alihisi huenda alikosea ikamlazimu kurudia tena kuipakia cha ajabu ilikuwa inagoma. Alitaka kutafuta moja ya namba kwenye simu yake apige simu hiyo mahali ili aulizie hicho kitu lakini simu ilikuwa haifanyi kazi kabisa huku akiwa inapiga alama nyekundu, alibaki anatokwa jasho hakuelewa inawezekana vipi maajabu kama hayo kumtokea yeye majira hayo ya usiku wa mapema kabisa hiyo, alivyokuwa anazidi kulazimisha simu hiyo kufanya kazi ilianza kutoa moshi hatimae ilipasuka kwa mlipuko mdogo wa moto ambao uliifanya ibaki nyeusi kabisa na umeme ulizima nyumba yote.

Alikimbilia kufunga mlango ili kama kuna hatari awe salama alijikuta anarudishwa kwenye sofa kwa nguvu hakujua amepigwa na kitu gani kwenye mwili wake alihisi maumivu makali ambayo yalimfanya agugumie kama jogoo lililo ona tetea mbele yake.

“Nani wewe nani wewe, unavamiaje kwenye nyumba za watu aaaaagh” alikuwa anaongea mwenyewe hakusikia mchakacho wala sauti ya mtu yeyeote ambaye alikuwa akimjibu humo ndani. Ghafla taa ziliwaka mbele yake kulikuwa na watu watatu ambao wote walivaa suti zao nyeusi ila hawakuonekana kuwa watanzania kwa mwonekano wao tu ni wazi hawakuwa na uswahili mwingi kama ilivyo kwa wazawa wengine.

“Hey hey mnataka nini nyie watu, kawatuma nani hapa, hey nitawaua mimi” alikuwa akijitetea baada ya kuona mwanaume mmoja alikuwa anasogelea ile sehemu ambayo alikuwa amedondokea yeye hata hivyo hakujibiwa kitu chochote kile, alitaka kunyanyuka akimbie ngumi ilitua kwenye shingo yake akarudi tena chini na kutulia bila kupiga makelele alizimishwa kisha mwanaume huyo akambeba wakamuingiza kwenye gari na kuondoka naye kwa kasi humo na gari yao ambayo walikuja nayo na walikuwa wameiacha nje ya nyumba.



Kani alishtuka kutoka kwenye usingizi mzito shingo yake ilikuwa na maumivu mno, mwanga mkali uliyaumiza macho yake ilimlazimu kuyafumba kisha kuyafumbua tena kwa mara nyingine ndipo alipoweza kuona sakafu nzuri sana na chumba kikubwa chenye kila kitu cha kukifanya kuwa bora kupita maelezo, alishtuka baada ya mbele yake kuwaona wanaume wenye suti nyeusi wakiwa wapo kama watano hivi mmoja wao alikuwa amekaa kwenye kiti ambapo mbele yake kulikuwa na meza ya kioo na meza hiyo ilitumika kuwekewa bastola na kisu kimoja kikali mno. Kwenye mwili wake alikuwa amevalishwa nguo nyeupe ni kama za wafungwa ila zakwake hazikuwa na mistari na namba, akiwa anashangaa na kurudi nyumba kwenye kitanda kizuri alichokuwa amelala alikuwa anajivuta taratibu nyuma mpaka pale alipofika mwishoni kabisa kwa ukuta hakuwa na sehemu ya kwenda tena kuna kijana mwenzie kama yeye aliingizwa humo ndani akiwa amekunjwa vizuri alisukumiziwa mbele hakuulizwa chochote ila alikuwa analia sana na alionekana alikuwa amelia kwa muda mrefu sana, yule mwanaume ambaye alikuwa amekaa kwenye kile kitu aliichukua bastola yake na kuigeuzia upande ambao alikuwa yule kijana bila hata kuangalia wakati huo macho yake alikuwa ameyakaza kwenye uso wa Kani alimmiminia yule kijana risasi kumi na mbili kwenye mwili wake halafu akaonyesha ishara ya mwili wa kijana huyo utolewe kwa mkono wake lilikuwa ni jambo la haraka hicho kitu kilifanyika kwa wepesi mkubwa, Kani alikuwa akitetemeka hakuwahi kushuhudia mtu akiuawa kwenye maisha yake leo kijana mwenzake kichwa chake kiligeuzwa mpira kwa kupigwa risasi nyingi mno aliogopa isivyo kawaida.

“Unaitwa nani kijana?”

“Naitwa Kani”

“Kwenu wapi?”

“Moshi”

“Unamjua huyo uliye naye kwenye picha?” alirushiwa picha kubwa ambayo yeye alikuwa ameipiga kwa siri na Alen mpaka hapo alijua kwamba watu hao waliibeba ile kamera ndiyo maana walikuwa wana hizo picha.

“Ndiyo namjua” alikuwa akijibu jasho likiwa sehemu ya mwili wake.

“Unamjuaje?”

“Ni rafiki yangu”

“Jitahidi kuwa na kichwa chepesi elezea vizuri umemjuaje na unamjua vipi yeye” sauti nzito ilimsisitizia kiasi kwamba hakuwa akiombwa kutoa hayo maelezo ilikuwa ni lazima afanye hivyo kwa sababu ya usalama wake, hakuwa na kitu ambacho angeweza kukipinga ni kwa muda mfupi sana alitoka kushuhudia mwenzake akiuliwa hapo japo hakuweza kujua kama naye alikuwa na kesi kama hiyo ya kwake au kulikuwa na mambo mengine nyuma yake.

“Anaitwa Alen jina lake jina lingine silijui na wala sijui alizaliwa wapi ila ninacho kikumbuka ni jioni moja majira ya saa mbili za usiku nilikuwa nimetoka kwenye harakati zangu za kila siku za kuweza kutafuta mkate ili nipeleke mkono wangu kinywani, wakati nimetoka kuchukua mikate na juisi kwa ajili ya kuimaliza jioni yangu vizuri nikalale kwenye valanda moja ya duka kubwa nilisikia mtu akiwa anaunguruma, mara ya kwanza nilihisi huenda itakuwa ni mlevi ila nilivyo karibia nilikuta kuna mwanaume amejiviringisha akiwa anatetemeka kwa baridi mno kwenye mwili wake, midomo ilimkauka sana ni wazi ulipita muda mrefu sana bila kuweza kuyapata maji. Nilimuamsha na kumuuliza nini lilikuwa tatizo kwake alinieleza kwamba ana njaa kali sana na ndiyo mara yake ya kwanza kuweza kuingia ndani ya jiji la Arusha, ni mwanaume mwenzangu hivyo niliingiwa sana na huruma nikaamua kumpatia kile chakula ambacho nilikuwa nimekibeba kwenye mfuko, alikifakamia mno akanywa na juisi kisha akadai na maji alikunywa yote akapata na nguvu za kuongea.

“Asante sana ndugu yangu hapa kama ungechelewa hata dakika tano tu nahisi nilikuwa ninakufa nilikuwa na njaa kali mno” aliniambia hivyo nikiwa bado namshangaa.

“Kwani nyumbani ni wapi ndugu yangu?”

“Sijawahi kujua chochote mpaka wakati najielewa nilijikuta kwenye kituo cha kulelea watoto yatima huko Dar es salaam hivyo namimi ni yatima lakini nikaamua kuondoka kwenye kile kituo baada ya kuona umri wangu wa kuweza kujitegemea umeweza kufika niliamua kuondoka na kwenda kuyaanza maisha yangu katika kuhangaika ndo nikawa nimeingia kwenye hili jiji la Arusha nina siku tatu hapa sikuwa nimekula chochote namshukuru sana MUNGU kuweza kukupitisha kwenye hii njia ambayo nilikuwa naenda kufa huku watu wote wakiwa wananipita kama hawamuoni mwanadamu mwenzao kabisa” aliongea kwa msisitizo akiwa anamalizia maji ambayo nilimpatia. Kwa sababu niliona ni msakatonge mwenzangu basi nikamchukua moja kwa moja na kwenda naye nyumbani ambako nilianza kuishi naye, mimi nilikuwa nashinda kwenye machimbo ya madini basi nikamuunganisha nayeye akawa anaenda siku moja moja mpaka pale alipo zoea na kuwa mmoja wa wachimbaji kule na hapo alipanga kachumba kadogo ambako alikuwa anakaa pekeyake japo bado tulibaki kuwa karibu sana kama marafiki na tulisaidiana kwa kila kitu mpaka ile siku ambayo aliumwa ghafla sana tukiwa shimoni kuendelea na uchimbaji, nilifanya jitihada za kuweza kumtoa na nilifanikiwa, alipelekwa kwenye hospitali ambapo huko ndiko inako daiwa alipotea mpaka ilipo pita miaka mitano ndipo alipo nitafuta na kuniambia nije DAR, nilifanikiwa kufika salama akanipa maisha mazuri sana akaniunganisha na familia yake lakini nilikuwa natafuta nafasi ya kuweza kumshukuru ndipo nilipo piga picha za siri ambazo leo hii nilikuwa nataka kuzisasisha mtandaoni kutoa shukrani zangu kwake” alitulia baada ya kuwapa maelezo mafupi ya namna anavyo mjua mwanaume huyo.


Hili game ndo kwanza linaanza, ulishawahi kuona mtu wa kawaida anaishi bila kuhitaji kamera yoyote ile iweze kuipata picha yake? Kwanini? Unadhani huyu binadamu Alen ni nani na hawa watu ni akina nani mpaka wanaonekana kumtafuta kwa nguvu zao zote namna hii?.......ukurasa wa 4 unaishia hapa huenda wakati utaamua kutupatia majibu juu ya huyu mchimba madini Alen ni nani hasa na kwanini anaishi kwa kujificha sana hivi.

Bux the story teller.
FB_IMG_16650379265553119.jpg
 
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA NNE

TULIPO ISHIA UKURASA WA TATU



“Daddy” mtoto wa Alen alikuja na kumkumbatia baba yake kipenzi, ni kitendo kilicho muacha Kani mdomo wazi hakuweza kuamini kama rafiki yake alikuwa amefikia hatua mpaka ya kuwa na mtoto kabisa, alijikuta anainama chini kwa mshangao, kwake dunia ilikuwa ina siri kali ila wanadamu ndio walikuwa wenye siri zaidi ya mifuko iwekwayo ndani ya nguo ya mtu.

ENDELEA..................


Walikuwa kama familia moja, ilikuwa ni furaha kubwa sana kujumuika pamoja sasa swali moja lilikuwa limejibiwa kwake bila hata yeye kuuliza kwa kuweza kujua mahali ambapo rafiki yake alikuwa anaishi tena alibahatika kuijua na familia yake kabisa, sasa ilikuwa ni kawaida kwa Kani kwenda kwa Alen siku ambazo alikuwa ana muda wa kutosha kwa sababu mpaka muda huo alikuwa tayari ana biashara zake ambazo Alen alimfungulia hivyo kuna muda ilikuwa inamlazimu sana kuwa busy kusimamia hiyo miradi ambayo ilikuwa imefunguliwa tayari. Ulipita muda mrefu sana akawa mzoefu wa jiji tayari na alikuwa ameanza kijisimamia kwa kila kitu maisha mazuri yakiwa sehemu yake kwa kupitia mgongo wa rafiki yake ambaye alimsaidia miaka kadhaa nyuma kwake wema ulikuwa ni akiba kubwa ambayo ilikuwa imezaa matunda mema.

Siku moja alikuwa anatamani sana kuweza kumshukuru rafiki yake kwa namna alivyo msaidia na kuyabadilisha maisha yake, aliwaza sana kumshukuru yeye tu lakini aliona haitakuwa sawa kwa sababu alihitaji watu wengi waone anavyo shukuru njia pekee kwake ambayo aliona watu wengi wanaweza kuona ni kupitia mitandao ya kijamii ambako huwa wanakutana watu wengi sana hapa ulimwenguni kwa muda mfupi. Alipanga atafanya kila namna ili ampige mtu huyo picha au wapige wote bila yeye kujua kitu chochote kile hivyo alinunua kamera moja nzuri na kubwa akawa ameihifadhi juu ya friji wakati huo alimpigia simu Alen kwamba alikuwa akimhitaji kwa muda huo kulikuwa na dharura ya mhimu sana mwanaume hakuona tabu alikuja kumsikiliza rafiki yake. Kabla hajaenda kufungua mlango aliitegesha kamera yake vizuri kabisa na kwenda kumfungulia mlango Alen baada ya kugonga.

“Kani umeniita ghafla sana umenishtua kuna nini?” Alen aliuliza kama kulikua kuna usalama humo ndani lakini Kani aliiangalia saa yake na kutoa kicheko

“Angalia kuleeeeee” alionyesha kidole wakiwa wapo karibu na ndipo Alen alipo geukia ule upande ambao ulikuwa na kamera yeye hakuweza kujua chochote kile muda huo kamera hiyo alipiga picha za kutosha (kosa kubwa sana).

“Nimekununulia zawadi ya saa hii hapa kaka, nashukuru sana kwa wewe kuwa sehemu ya maisha yangu sijui ningekuwa naishi vipi mpaka leo, sihitaji kujua kwa sasa kwanini ulitoroka hali iliyo nifanya nifukuzwe kazi kwa kusingiziwa kuiba madini na pia nilifungwa kwa muda wa miaka mitatu jela mpaka nilipo onekana sina hatia maisha yangu yalikuwa yameelekea shimoni ila umekuja na kunipa tumaini jipya kwenye maisha yangu asante sana kaka” Kani aliongea kwa uchungu mkubwa sana wakati anamshukuru rafiki yake, ni kweli maisha yake yalibadilishwa sana na mwanaume huyo kwake alidai alimuita hapo ili kumkabidhi zawadi ya saa ikiwa ni kama sehemu ya shukrani kwa kila alicho fanyiwa kwenye maisha yake, Alen alifurahi kiasi chake japo moyoni alikuwa kawaida sana kwake ilikuwa kawaida kwa sababu aliwajua sana binadamu hasa pale unapo onekana wa mhimu kwao basi watakunadi kwa kila aina ya maneno matamu ila sio ajabu hao hao kesho ndio wanakuja kukufanya ujutie kuwafahamu basi aliipokea saa hiyo na kumkumbatia rafiki yake wa ukubwani na kumpiga piga mgongoni.

“Asante Kani” alitamka kwa tabasamu na kutoka humo ndani akawasha gari na kuondoka kwani hata kazi yake ilikuwa haijulikani kabisa hapa mjini. Kani aliufunga mlango na kuanza kushangilia zoezi lake lilikuwa limeenda sawa, aliifuata kamera yake na kuangalia kweli kulikuwa na picha zaidi ya kumi ila kuna picha mbili tu ndizo alizo zipenda yeye, alizihamisha vizuri kwenye simu yake hakuchukua muda alienda moja kwa moja kwenye kurasa za mitandao na kuanza kuzisambaza hizo picha kwa maelezo mazuri sana ambayo yalikuwa yameandikwa kwa mbwembwe.

“MAISHA YANGU YAMEKUWA KAMA HADITHI YA KUFIKIRIKA KWA ZAIDI YA MIAKA 20 ILIYO PITA NIMEISHI NDANI YA JANGWA BILA MAJI ILA MUNGU ALIVYO WA AJABU AKAMTUMA MJA WAKE NA KUJA KUNIPATIA DAWA YA KIU NIKAPONA, SINA CHA KUKULIPA ILA NINASHUKURU KWA KILA KITU ULICHO NIFANYIA KWENYE HAYA MAISHA YANGU ALEN, I LOVE YOU BRO” maneno yalisomeka vizuri kabisa akiwa ameyaweka kwa herufi kubwa ili kwa kila msomaji atakaye iona picha hiyo asiache kuyasoma hayo maelezo. Lengo lake alitaka kumfanya rafiki yake aone ni namna gani alikuwa anathamini na kuheshimu kwa kila alichoweza kufanyiwa, fikra zake alijua atamfurahisha sana Alen kama ataona hicho kitu ila huenda alikuwa anafanya kosa kubwa sana kwenye maisha yake bila yeye kujua na kama angefanikiwa kujua madhara ya hicho alichokuwa anakifanya ni bora angejiua yeye mwenyewe.

Baada ya kuona ameiweka vizuri kama alivyokuwa anahitaji yeye basi aliichapisha na kuiruhusu kwenye mitandao mbali mbali ambayo kwake aliamini kwamba watu wengi wataiona na kumpongeza kwa Kumkumbuka mtu aliyeweza kumtoa mbali. Baada ya kuichapisha picha hiyo ilichukua dakika moja tu kuna alama nyekundu ilitokea kwenye hiyo picha mpaka yeye mwenyewe alibaki anashangaa hakuwahi kuona hicho kitu, baada ya sekunde thelathini tu picha hiyo ilifutika na kwenye kila ukurasa ambao alikuwa ameisasisha ilikuwa imefutika, mawazo yake yaligoma kuamini hicho kitu alihisi huenda alikosea ikamlazimu kurudia tena kuipakia cha ajabu ilikuwa inagoma. Alitaka kutafuta moja ya namba kwenye simu yake apige simu hiyo mahali ili aulizie hicho kitu lakini simu ilikuwa haifanyi kazi kabisa huku akiwa inapiga alama nyekundu, alibaki anatokwa jasho hakuelewa inawezekana vipi maajabu kama hayo kumtokea yeye majira hayo ya usiku wa mapema kabisa hiyo, alivyokuwa anazidi kulazimisha simu hiyo kufanya kazi ilianza kutoa moshi hatimae ilipasuka kwa mlipuko mdogo wa moto ambao uliifanya ibaki nyeusi kabisa na umeme ulizima nyumba yote.

Alikimbilia kufunga mlango ili kama kuna hatari awe salama alijikuta anarudishwa kwenye sofa kwa nguvu hakujua amepigwa na kitu gani kwenye mwili wake alihisi maumivu makali ambayo yalimfanya agugumie kama jogoo lililo ona tetea mbele yake.

“Nani wewe nani wewe, unavamiaje kwenye nyumba za watu aaaaagh” alikuwa anaongea mwenyewe hakusikia mchakacho wala sauti ya mtu yeyeote ambaye alikuwa akimjibu humo ndani. Ghafla taa ziliwaka mbele yake kulikuwa na watu watatu ambao wote walivaa suti zao nyeusi ila hawakuonekana kuwa watanzania kwa mwonekano wao tu ni wazi hawakuwa na uswahili mwingi kama ilivyo kwa wazawa wengine.

“Hey hey mnataka nini nyie watu, kawatuma nani hapa, hey nitawaua mimi” alikuwa akijitetea baada ya kuona mwanaume mmoja alikuwa anasogelea ile sehemu ambayo alikuwa amedondokea yeye hata hivyo hakujibiwa kitu chochote kile, alitaka kunyanyuka akimbie ngumi ilitua kwenye shingo yake akarudi tena chini na kutulia bila kupiga makelele alizimishwa kisha mwanaume huyo akambeba wakamuingiza kwenye gari na kuondoka naye kwa kasi humo na gari yao ambayo walikuja nayo na walikuwa wameiacha nje ya nyumba.



Kani alishtuka kutoka kwenye usingizi mzito shingo yake ilikuwa na maumivu mno, mwanga mkali uliyaumiza macho yake ilimlazimu kuyafumba kisha kuyafumbua tena kwa mara nyingine ndipo alipoweza kuona sakafu nzuri sana na chumba kikubwa chenye kila kitu cha kukifanya kuwa bora kupita maelezo, alishtuka baada ya mbele yake kuwaona wanaume wenye suti nyeusi wakiwa wapo kama watano hivi mmoja wao alikuwa amekaa kwenye kiti ambapo mbele yake kulikuwa na meza ya kioo na meza hiyo ilitumika kuwekewa bastola na kisu kimoja kikali mno. Kwenye mwili wake alikuwa amevalishwa nguo nyeupe ni kama za wafungwa ila zakwake hazikuwa na mistari na namba, akiwa anashangaa na kurudi nyumba kwenye kitanda kizuri alichokuwa amelala alikuwa anajivuta taratibu nyuma mpaka pale alipofika mwishoni kabisa kwa ukuta hakuwa na sehemu ya kwenda tena kuna kijana mwenzie kama yeye aliingizwa humo ndani akiwa amekunjwa vizuri alisukumiziwa mbele hakuulizwa chochote ila alikuwa analia sana na alionekana alikuwa amelia kwa muda mrefu sana, yule mwanaume ambaye alikuwa amekaa kwenye kile kitu aliichukua bastola yake na kuigeuzia upande ambao alikuwa yule kijana bila hata kuangalia wakati huo macho yake alikuwa ameyakaza kwenye uso wa Kani alimmiminia yule kijana risasi kumi na mbili kwenye mwili wake halafu akaonyesha ishara ya mwili wa kijana huyo utolewe kwa mkono wake lilikuwa ni jambo la haraka hicho kitu kilifanyika kwa wepesi mkubwa, Kani alikuwa akitetemeka hakuwahi kushuhudia mtu akiuawa kwenye maisha yake leo kijana mwenzake kichwa chake kiligeuzwa mpira kwa kupigwa risasi nyingi mno aliogopa isivyo kawaida.

“Unaitwa nani kijana?”

“Naitwa Kani”

“Kwenu wapi?”

“Moshi”

“Unamjua huyo uliye naye kwenye picha?” alirushiwa picha kubwa ambayo yeye alikuwa ameipiga kwa siri na Alen mpaka hapo alijua kwamba watu hao waliibeba ile kamera ndiyo maana walikuwa wana hizo picha.

“Ndiyo namjua” alikuwa akijibu jasho likiwa sehemu ya mwili wake.

“Unamjuaje?”

“Ni rafiki yangu”

“Jitahidi kuwa na kichwa chepesi elezea vizuri umemjuaje na unamjua vipi yeye” sauti nzito ilimsisitizia kiasi kwamba hakuwa akiombwa kutoa hayo maelezo ilikuwa ni lazima afanye hivyo kwa sababu ya usalama wake, hakuwa na kitu ambacho angeweza kukipinga ni kwa muda mfupi sana alitoka kushuhudia mwenzake akiuliwa hapo japo hakuweza kujua kama naye alikuwa na kesi kama hiyo ya kwake au kulikuwa na mambo mengine nyuma yake.

“Anaitwa Alen jina lake jina lingine silijui na wala sijui alizaliwa wapi ila ninacho kikumbuka ni jioni moja majira ya saa mbili za usiku nilikuwa nimetoka kwenye harakati zangu za kila siku za kuweza kutafuta mkate ili nipeleke mkono wangu kinywani, wakati nimetoka kuchukua mikate na juisi kwa ajili ya kuimaliza jioni yangu vizuri nikalale kwenye valanda moja ya duka kubwa nilisikia mtu akiwa anaunguruma, mara ya kwanza nilihisi huenda itakuwa ni mlevi ila nilivyo karibia nilikuta kuna mwanaume amejiviringisha akiwa anatetemeka kwa baridi mno kwenye mwili wake, midomo ilimkauka sana ni wazi ulipita muda mrefu sana bila kuweza kuyapata maji. Nilimuamsha na kumuuliza nini lilikuwa tatizo kwake alinieleza kwamba ana njaa kali sana na ndiyo mara yake ya kwanza kuweza kuingia ndani ya jiji la Arusha, ni mwanaume mwenzangu hivyo niliingiwa sana na huruma nikaamua kumpatia kile chakula ambacho nilikuwa nimekibeba kwenye mfuko, alikifakamia mno akanywa na juisi kisha akadai na maji alikunywa yote akapata na nguvu za kuongea.

“Asante sana ndugu yangu hapa kama ungechelewa hata dakika tano tu nahisi nilikuwa ninakufa nilikuwa na njaa kali mno” aliniambia hivyo nikiwa bado namshangaa.

“Kwani nyumbani ni wapi ndugu yangu?”

“Sijawahi kujua chochote mpaka wakati najielewa nilijikuta kwenye kituo cha kulelea watoto yatima huko Dar es salaam hivyo namimi ni yatima lakini nikaamua kuondoka kwenye kile kituo baada ya kuona umri wangu wa kuweza kujitegemea umeweza kufika niliamua kuondoka na kwenda kuyaanza maisha yangu katika kuhangaika ndo nikawa nimeingia kwenye hili jiji la Arusha nina siku tatu hapa sikuwa nimekula chochote namshukuru sana MUNGU kuweza kukupitisha kwenye hii njia ambayo nilikuwa naenda kufa huku watu wote wakiwa wananipita kama hawamuoni mwanadamu mwenzao kabisa” aliongea kwa msisitizo akiwa anamalizia maji ambayo nilimpatia. Kwa sababu niliona ni msakatonge mwenzangu basi nikamchukua moja kwa moja na kwenda naye nyumbani ambako nilianza kuishi naye, mimi nilikuwa nashinda kwenye machimbo ya madini basi nikamuunganisha nayeye akawa anaenda siku moja moja mpaka pale alipo zoea na kuwa mmoja wa wachimbaji kule na hapo alipanga kachumba kadogo ambako alikuwa anakaa pekeyake japo bado tulibaki kuwa karibu sana kama marafiki na tulisaidiana kwa kila kitu mpaka ile siku ambayo aliumwa ghafla sana tukiwa shimoni kuendelea na uchimbaji, nilifanya jitihada za kuweza kumtoa na nilifanikiwa, alipelekwa kwenye hospitali ambapo huko ndiko inako daiwa alipotea mpaka ilipo pita miaka mitano ndipo alipo nitafuta na kuniambia nije DAR, nilifanikiwa kufika salama akanipa maisha mazuri sana akaniunganisha na familia yake lakini nilikuwa natafuta nafasi ya kuweza kumshukuru ndipo nilipo piga picha za siri ambazo leo hii nilikuwa nataka kuzisasisha mtandaoni kutoa shukrani zangu kwake” alitulia baada ya kuwapa maelezo mafupi ya namna anavyo mjua mwanaume huyo.


Hili game ndo kwanza linaanza, ulishawahi kuona mtu wa kawaida anaishi bila kuhitaji kamera yoyote ile iweze kuipata picha yake? Kwanini? Unadhani huyu binadamu Alen ni nani na hawa watu ni akina nani mpaka wanaonekana kumtafuta kwa nguvu zao zote namna hii?.......ukurasa wa 4 unaishia hapa huenda wakati utaamua kutupatia majibu juu ya huyu mchimba madini Alen ni nani hasa na kwanini anaishi kwa kujificha sana hivi.

Bux the story teller.View attachment 2391224
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA TANO

TULIPO ISHIA UKURASA WA NNE

Nilifanya jitihada za kuweza kumtoa na nilifanikiwa, alipelekwa kwenye hospitali ambapo huko ndiko inako daiwa alipotea mpaka ilipo pita miaka mitano ndipo alipo nitafuta na kuniambia nije DAR, nilifanikiwa kufika salama akanipa maisha mazuri sana akaniunganisha na familia yake lakini nilikuwa natafuta nafasi ya kuweza kumshukuru ndipo nilipo piga picha za siri ambazo leo hii nilikuwa nataka kuzisasisha mtandaoni kutoa shukrani zangu kwake” alitulia baada ya kuwapa maelezo mafupi ya namna anavyo mjua mwanaume huyo.

ENDELEA.......................


“Unahisi ni kwanini alitoroka na kupotea wakati alikuwa hana kesi wala kosa lolote lile?” ni sauti nyingine nzito ambayo aliiskia kutoka kwa mwanaume huyo baada ya kukamilisha maelezo yake ya kwanza.

“Sina majibu kamili kwa sababu ilikuwa ni ghafla sana ila nakumbuka kwa baadae walihusisha lile jambo na upoteaji wa madini walihisi huenda mtu yule alitoroka na madini hivyo kwa niaba yake nilifungwa mimi jela kwa miaka mitatu ulifanyika uchunguzi mkubwa sana mpaka pale walipo jiridhisha kwamba hakukuwa na kitu chochote kile ndipo walipoweza kuniachia na kazi nikafukuzwa” alijibu bila kumumunya maneno alihitaji sana kuiponya nafsi yake, maelezo yake yalimfanya mtu huyo aweze kuivuta pumzi kwa nguvu kisha akaweza kutamka.

“Naitwa Liverton, ni komando kutoka upande wa kaskazini mwa Afrika ndani ya nchi ya Libya mimi na wenzangu tupo ha….”

“Ebu samahani kidogo naomba urudie hapo kidogo umeniacha sijakuelewa” neno komando alikuwa akilijua sana ni neno ambalo lilikuwa na uzito wake mkubwa unapokuwa unalitaja kwa sababu hutumika na vitengo nyeti sana vya usalama wa taifa wa nchi husika na watu hao huwa sio rahisi kukutana nao na kama utakutana nao basi utawajua kama raia wa kawaida na sio kuwatambua kwa nafasi zao kirahisi wanaishi kwa usiri mkubwa mno.

“Mimi hapa na wenzangu kumi na moja ni makomando kutokea katika nchi ya Libya kwenye kitengo cha LIBYAN ARMED FORCES (LAF) huko kaskazini mwa Afrika ndiyo sababu upo hapa nasisi tunahitaji maelezo yako pamoja na msaada wako kwa pamoja” alikuwa kwenye taharuki kubwa sana Kani alishindwa kuelewa Alen na hawa makomando wana uhusiano gani mpaka wamfuatilie na kuzihitaji taarifa zake kwa nguvu kiasi hicho.

“Mnahitaji nini kwake?” alijikuta anazidi kuwa mtu mwenye wasiwasi mkubwa kupita maelezo alikuwa amebanwa na watu ambao kwenye maisha yake alikuwa akiwasikia wakisimuliwa tu, alikuwa akiwajua namna watu hao walivyo na roho ngumu hata tamthiliya mbali mbali ambazo kwenye maisha yake alifanikiwa kuzitazama zilitosha kumpa tafsiri kamili ya nini maana ya neno komando.

“Huyo mtu ambaye wewe umesema unamjua kama Alen na ni rafiki yako wa muda mrefu hakuna kitu chochote ambacho unakijua kwake yeye zaidi ya sura yake tu labda ni…….”

“Hapana hapana huo ni uongo mkubwa unasema vipi simjua rafiki yangu ambaye muda wowote nikimhitaji tu nampata hahahhahh mtakuwa mmechanganyikiwa nyie sio bure” watu waliokuwa mbele yake alikuwa akiwaogopa sana lakini alijikuta akipandwa na hasira aliona ni kama wanamdhihaki kuambiwa hamjui mtu ambaye ni rafiki yake kwa muda mrefu sana kwenye maisha yake na hicho kitu yeye binafsi hakuweza kabisa kukubaliana nacho ila alimeza mate kwa shida baada ya kurushiwa baadhi ya picha ambazo zilionyesha mtu mwenye sura kama huyo ambaye alitoka kumtetea kwamba ni rafiki yake na alikuwa akimjua kwa usahihi, utofauti wa huyo mtu kwenye picha na Alen yalikuwa ni mavazi tu, huyo mwanaume wa kwenye picha alikuwa amevaa gwanda ambalo kwa haraka haraka alihisi ni la jeshi japo hakuwa na uhakika sana maana lenyewe lilikuwa na rangi iliyo changanyika na rangi ya kawaida ila lilijaa nyota kwenye mabega yake yote mawili na mwanaume huyo alikuwa ndani ya tabasamu zito la kuvutia.

“Umemtambua huyo mtu kwenye hiyo picha hapo?” aliulizwa Kani akiwa ameishika hiyo picha akijaribu kubishana na nafsi yake yeye mwenyewe kuna nafsi ilimpatia jibu kwamba mtu huyo alikuwa ni Alen ila kuna nafsi ilipinga kabisa kwamba hakuwa yeye, Alen alimjua sana hakuwa mtu wa haya mambo na alikuwa ni legelege kupita maelezo.

“Nooooo, wanafanana sana ila huyu sio Alen yule ni mtu ambaye ninamjua sana nimeishi naye kwa muda mrefu Alen hawezi kuwa hivi na hata haya mavazi siyo ya nchi yetu kabisa bendera ya nchi yetu haipo hivi siwezi kukukubalia hata kama ungehitaji kuniua kwa hili ni uongo huyu sio Alen” ilikuwa ni haki yake kukataa hilo jambo binadamu ambaye ameishi na kukaa naye kwa muda mrefu leo hii alikuwa anaonyeshwa picha za mtu mwenye nyota hizo za kutisha alipingana kabisa na hilo wazo kwa asilimia zake zote.

“Nilipokuwa kijana mdogo wakati bado nipo shule moja kati ya sababu iliyo nifanya nikafanikiwa kuyajua mambo mengi sana nikiwa nina umri mdogo ni kupenda kuuliza, sikuwa mtu ambaye nilikuwa napenda sana kupinga pinga hususani yale mambo ambayo ni wazi mimi sikuwa nikiyajua kabisa kwenye maisha yangu. siku hizi mambo yamekuwa tofauti sana shule zinaonekana kuzalisha kizazi cha kijinga kwa sababu watoto wa siku hizi wanaonekana kuwa wajuaji kupita maelezo hawawezi kuuliza namna mambo yanavyo fanyika na kwenda wao huwa wanakazana tu kusema haiwezekani, sasa wewe hapo ambaye hata nikikuuliza tu unitajie majina matatu ya huyo mtu huyajui, nikikwambia unitajie sehemu aliyo zaliwa hata huijui na umeishi naye kwa muda mrefu kwa kusingizia unamjua kwa vile umefanya naye kazi na kakusaidia unapata wapi hicho kiburi cha kuikataa hiyo picha bwana mdogo?” ni sauti ambayo ilitoka kwenye koo la mwanaume haswa ikiwa inamuasa Kani, aliinama chini baada ya kuambiwa ukweli wa mambo ambao ulimgusa moja kwa moja na kujiona yeye ni mpumbavu alitakiwa kuuliza huyo mtu ni nani hasa na sio kuanza kupinga kitu ambacho ni wazi aliambiwa hajui lolote lile.

“u uuuna…taka kuniambia kwamba Alen ni…….” Hakupewa hata nafasi ya kumalizia sentensi yake

“Ni wanadamu wachache sana huwa wanapata bahati ya kumfahamu huyu kiumbe pamoja na hizi siri zake, ukizijua hizi siri basi ni wazi umekuwa mtu wetu na utatakiwa kufanya kazi nasisi mpaka pale maisha yako yatakapofikia ukingoni na leo unakuwa mmojawapo hili sio ombi wala kwamba tunakubembeleza ni lazima iwe hivi vinginevyo tunaondoka na viungo vyote vya mwili wako na tunakuacha ukiwa hai uone namna dunia inavyo wanyanyapaa watu wenye ulemevu bila kuwa na macho, ulimi, miguu wala mikono na sehemu zako za siri ( alitetemeka sana mpaka mkojo ulimtoka baada ya kuambiwa hayo maneno)” mwanaume huyo alisimama na kuendelea.

Ni miaka nane sasa imepita tangu huyo mtu alipo anza kutafutwa na idara za kijasusi za nchi ya kaskazini na magharibi mwa Afrika, huyo mtu anatafutwa kuliko hata jinsi watu wanavyo itafuta pesa ili wapunguze ukali wa maisha ambayo kila siku yanazidi kuwakaba watu shingoni na kuwadhalilisha baadhi ya wanaume mjini kwa kuonekana nao ni wanawake ni vile tu wanavaa suruali kwa sababu hawana jipya mfukoni hayo ndiyo maisha ya mjini, huyo ni mwanadamu ambaye ukifanikisha upatikanaji wake basi unakuwa umeagana na umasikini kwenye maisha yako utapewa aina ya mali unazo zihitaji wewe mwenyewe na utazitumia mpaka siku unakufa hautakuja kufanikiwa kuzimaliza. Huyo kiumbe sio Alen kama unavyo mjua wewe wala sio mtanzania kama unavyo mjua wewe japo ana uraia pacha ambao kwa nchi hii tunahesabia kwamba haupo ndiyo maana nimesema kwamba sio mtanzania lakini pia huyo binadamu sio dhaifu kama wewe unavyo litamka hilo neno ambalo hautakiwi kuja kulirudia tena kwenye maisha yako na mdomo wako unatakiwa ukome sana kutamka hilo neno, huyo mtu unavyo mtaja unatakiwa uwe na uwoga sana sio kama kichwa chako kinavyo kudanganya kwamba yupo hivyo.

Jina lake halisi anaitwa Zakaria Mansour ana miaka 35 kwa sasa, ni msomi mwenye PHD (Doctor of Philosophy) kwenye masuala ya ARCHITECTURE DRAFTING OF BUILDINGS (msanifu na muandishi wa majengo) hakuna jengo anaweza akalitazama kwa dakika tano akashindwa kuichora ramani yake yote kuanzia chini kwenye msingi mpaka mwisho wa urefu wake. Ni mzaliwa na ni raia wa nchi ya Libya ambako ndiko sisi tunako toka katika mji mkuu wa Tripoli, baba yake ni raia wa kuzaliwa kabisa wa nchi ya Libya aitwaye Mansour Omran ila mama yake ni mtanzania aitwaye Sekelaga Philebert ni mtu kutoka kwenye ardhi ya wajivuni huko kama inavyo julikana ndani ya nchi hii ni Mhaya na inasemekana watu hawa wawili walikutana kwenye chuo kikuu cha OXFORD UNIVERSITY huko nchini Uingereza na walidumu kwenye ndoa yao kwa mwaka mmoja tu pekee wakafanikiwa kupata mtoto mmoja tu ambaye ndiye huyo ambaye wewe unamuita Alen. Kwa nafasi uliyo nayo ni ndogo sana kuna mambo ambayo hutakiwi kabisa kuyajua kwa gharama yoyote ile ila kwa kifupi ni kwamba huyo mwanaume ni komando na pia amewahi kuwa jasusi hatari zaidi kuwahi kuishi kwenye hili bara la Afrika na sio mtu wa kuvutia kama sura yake inavyo sadiki kwenye hiyo picha unayo iona ni binadamu wa kutisha na anaogopwa sana.


Sababu inayo fanya mpaka anatafutwa sana ni kosa la kuhusika na mauaji ya watu 50 wa familia mbili ambazo zilikuwa marafiki pamoja na kuua wanajeshi 67 na makomando 33 huko Afrika ya kaskazini pamoja na magharibi lakini hakuweza kukamatwa alifanikiwa kutoroka kabla hajatiwa nguvuni, hakuwahi kujulikana kwamba alipotelea wapi kwenye uso wa dunia hii ila mashaka makubwa yalikuwa ni nchi ya Tanzania ambako ni asili ya mama yake ndiyo sababu tupo kwenye nchi hii kwa muda mrefu sana na sio sisi tu wapo watu wengi sana ambao wanamtafuta kwa nguvu zote lakini pia kila nchi Afrika nzima kuna picha zake zimesambazwa kwenye idara za usalama tunasaidiana kumtafuta. Leo kwa mara ya kwanza tumefanikiwa kuiona picha yake mtandaoni ndiyo maana tuliamua kuharibu mifumo ya simu yako na kuzifuta zile picha tukakutafuta ulipo kwa sababu picha inaonekana imepigwa hivi karibuni maana yake tulijua unafahamu alipo, zile picha kama zingeonekana au watu wengine wangewahi kukupata mpaka muda huu hivi tunavyo ongea hapa ungekuwa marehemu anatafutwa sana huyo binadamu na siyo mtu wa kucheka naye akibadilika anaweza kuumaliza huu mji ndani ya msaa sita ukapishana na maiti kila unapo pita” Kani alikuwa ameyatoa macho kama vile alibanwa na mlango maelezo yote hayo ilikuwa ni ndoto ya kuvutia ila haikuwa kweli kwamba kulikuwa na mwanadamu katili namna hiyo ubaya kila alicho ambiwa alisisitiziwa ni ukweli hakukuwa na cha kusimuliwa ndoto wala tamthiliya ya kuvutia huo ulikuwa ni uhalisia wa maisha halisi ya rafiki yake ambaye alimuita kwamba anaitwa Alen na alijihalalishia kwamba anamjua sana.

“Naomba maji, naomba maji tafadhali” joto kali lililokuwa linampanda kwenye nguo zake lililikausha koo lake na kulifanya kuwa kavu kupita kiasi alihitaji kulilainisha kwanza ili apate nafasi ya kuweza kuuliza maswali kwa usahihi hakuwa anaelewa elewa namna wakati ulivyokuwa unamhukumu kwa kile ambacho alihisi anakijua yeye wakati hajui lolote, alirushiwa kikopo cha maji ya baridi aliyamaliza yote akahema kwa nguvu akajiinamia na kuinuka tena.

“Kama hayo maneno ambayo umeniambia ni ya kweli basi hii dunia hakuna sehemu salama kabisa kwa ajili ya maisha ya binadamu kuendelea kuivuta pumzi ya bure ambayo huwa tunapewa baadae tunajisahau na kuanza kujisifia kwamba sisi ndio wenye nguvu tunasahau mtoaji wa hiyo pumzi anatushuhudia namna tulivyo wachoyo wa fadhila, unaweza ukaniambia huo uwezo ambao unausema wewe anao aliweza kuupata wapi na hao watu aliweza kuwaua kwa sababu ipi hasa mpaka ifikie hatua mtu ambaye wewe mwenyewe umesema ni jasusi na komando aweze kutafutwa kwa nguvu na gharama kubwa namna hiyo?” aliambiwa mambo ya kutisha ambayo yalimfanya kuona ni vyema tu awe kawaida aliona kuendelea kuweweseka anajiongezea uoga, Kani sasa alikuwa anauliza huku akiwa amesimama.

“hakuna swali hata moja ambalo utaweza kujibiwa hapo pengine utabahatika kuja kuyajua siku za mbeleni ila kazi yako kwa sasa ni ndogo tu unatakiwa kumlegeza huyo mtu ili sisi tuje tumchukue na kuondoka naye baada ya hapo utapewa kila unacho kitaka”

“Hey namlegeza vipi mtu ambaye umesema sio binadamu wa kawaida sasa si ni shetani huyo” alianza kutetemeka sana alikuwa ametoka kusimuliwa kuhusu dubwana hilo lilivyo hapo tena anaambiwa kwamba alitakiwa kumalizia kazi ambayo ndiyo iliwafanya wamuahidi kumpatia chochote kile.

“Kuna dawa ambayo tutakupatia utampulizia nayo itammaliza nguvu na kummlegeza kabisa hatakuwa na uwezo wa kufanya chochote”

“Umesema huyo ni komando mwenzenu kwanini msiende wenyewe mkamchukue mimi niwaonyeshe tu sehemu ambayo anapatikana?”

“Hapa kati yetu wote kumi na mbili ambao nimekutajia kama huyo mtu akiwa kwenye utimamu wake na mzima wa afya basi hakuna yeyote ambaye anaweza hata kuugusa unywele wake japo mmoja tu akiwa bado mzima wa afya”

“Whaaaaaaat?”

Alen kwenye hesabu za wanaume, hadithi aliyopewa Kani kuhusu huyo rafiki yake wa machimbo ya madini ilibaki inamchanganya na kuendelea kumtisha hakuelewa sasa amuamini nani kwenye maisha yake yote ……… je ni kweli anayo ambiwa kuhusu Alen au anaingizwa cha kike? Na kama ni kweli je atafanikiwa kumkamatisha mwanadamu ambaye wamesema ni dubwana la ajabu namna hiyo?..........ukurasa wa tano natia nukta tukutane wakati ujao.

Bux the story teller
JamiiForums1903779814.jpg
 
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA TANO

TULIPO ISHIA UKURASA WA NNE

Nilifanya jitihada za kuweza kumtoa na nilifanikiwa, alipelekwa kwenye hospitali ambapo huko ndiko inako daiwa alipotea mpaka ilipo pita miaka mitano ndipo alipo nitafuta na kuniambia nije DAR, nilifanikiwa kufika salama akanipa maisha mazuri sana akaniunganisha na familia yake lakini nilikuwa natafuta nafasi ya kuweza kumshukuru ndipo nilipo piga picha za siri ambazo leo hii nilikuwa nataka kuzisasisha mtandaoni kutoa shukrani zangu kwake” alitulia baada ya kuwapa maelezo mafupi ya namna anavyo mjua mwanaume huyo.

ENDELEA.......................


“Unahisi ni kwanini alitoroka na kupotea wakati alikuwa hana kesi wala kosa lolote lile?” ni sauti nyingine nzito ambayo aliiskia kutoka kwa mwanaume huyo baada ya kukamilisha maelezo yake ya kwanza.

“Sina majibu kamili kwa sababu ilikuwa ni ghafla sana ila nakumbuka kwa baadae walihusisha lile jambo na upoteaji wa madini walihisi huenda mtu yule alitoroka na madini hivyo kwa niaba yake nilifungwa mimi jela kwa miaka mitatu ulifanyika uchunguzi mkubwa sana mpaka pale walipo jiridhisha kwamba hakukuwa na kitu chochote kile ndipo walipoweza kuniachia na kazi nikafukuzwa” alijibu bila kumumunya maneno alihitaji sana kuiponya nafsi yake, maelezo yake yalimfanya mtu huyo aweze kuivuta pumzi kwa nguvu kisha akaweza kutamka.

“Naitwa Liverton, ni komando kutoka upande wa kaskazini mwa Afrika ndani ya nchi ya Libya mimi na wenzangu tupo ha….”

“Ebu samahani kidogo naomba urudie hapo kidogo umeniacha sijakuelewa” neno komando alikuwa akilijua sana ni neno ambalo lilikuwa na uzito wake mkubwa unapokuwa unalitaja kwa sababu hutumika na vitengo nyeti sana vya usalama wa taifa wa nchi husika na watu hao huwa sio rahisi kukutana nao na kama utakutana nao basi utawajua kama raia wa kawaida na sio kuwatambua kwa nafasi zao kirahisi wanaishi kwa usiri mkubwa mno.

“Mimi hapa na wenzangu kumi na moja ni makomando kutokea katika nchi ya Libya kwenye kitengo cha LIBYAN ARMED FORCES (LAF) huko kaskazini mwa Afrika ndiyo sababu upo hapa nasisi tunahitaji maelezo yako pamoja na msaada wako kwa pamoja” alikuwa kwenye taharuki kubwa sana Kani alishindwa kuelewa Alen na hawa makomando wana uhusiano gani mpaka wamfuatilie na kuzihitaji taarifa zake kwa nguvu kiasi hicho.

“Mnahitaji nini kwake?” alijikuta anazidi kuwa mtu mwenye wasiwasi mkubwa kupita maelezo alikuwa amebanwa na watu ambao kwenye maisha yake alikuwa akiwasikia wakisimuliwa tu, alikuwa akiwajua namna watu hao walivyo na roho ngumu hata tamthiliya mbali mbali ambazo kwenye maisha yake alifanikiwa kuzitazama zilitosha kumpa tafsiri kamili ya nini maana ya neno komando.

“Huyo mtu ambaye wewe umesema unamjua kama Alen na ni rafiki yako wa muda mrefu hakuna kitu chochote ambacho unakijua kwake yeye zaidi ya sura yake tu labda ni…….”

“Hapana hapana huo ni uongo mkubwa unasema vipi simjua rafiki yangu ambaye muda wowote nikimhitaji tu nampata hahahhahh mtakuwa mmechanganyikiwa nyie sio bure” watu waliokuwa mbele yake alikuwa akiwaogopa sana lakini alijikuta akipandwa na hasira aliona ni kama wanamdhihaki kuambiwa hamjui mtu ambaye ni rafiki yake kwa muda mrefu sana kwenye maisha yake na hicho kitu yeye binafsi hakuweza kabisa kukubaliana nacho ila alimeza mate kwa shida baada ya kurushiwa baadhi ya picha ambazo zilionyesha mtu mwenye sura kama huyo ambaye alitoka kumtetea kwamba ni rafiki yake na alikuwa akimjua kwa usahihi, utofauti wa huyo mtu kwenye picha na Alen yalikuwa ni mavazi tu, huyo mwanaume wa kwenye picha alikuwa amevaa gwanda ambalo kwa haraka haraka alihisi ni la jeshi japo hakuwa na uhakika sana maana lenyewe lilikuwa na rangi iliyo changanyika na rangi ya kawaida ila lilijaa nyota kwenye mabega yake yote mawili na mwanaume huyo alikuwa ndani ya tabasamu zito la kuvutia.

“Umemtambua huyo mtu kwenye hiyo picha hapo?” aliulizwa Kani akiwa ameishika hiyo picha akijaribu kubishana na nafsi yake yeye mwenyewe kuna nafsi ilimpatia jibu kwamba mtu huyo alikuwa ni Alen ila kuna nafsi ilipinga kabisa kwamba hakuwa yeye, Alen alimjua sana hakuwa mtu wa haya mambo na alikuwa ni legelege kupita maelezo.

“Nooooo, wanafanana sana ila huyu sio Alen yule ni mtu ambaye ninamjua sana nimeishi naye kwa muda mrefu Alen hawezi kuwa hivi na hata haya mavazi siyo ya nchi yetu kabisa bendera ya nchi yetu haipo hivi siwezi kukukubalia hata kama ungehitaji kuniua kwa hili ni uongo huyu sio Alen” ilikuwa ni haki yake kukataa hilo jambo binadamu ambaye ameishi na kukaa naye kwa muda mrefu leo hii alikuwa anaonyeshwa picha za mtu mwenye nyota hizo za kutisha alipingana kabisa na hilo wazo kwa asilimia zake zote.

“Nilipokuwa kijana mdogo wakati bado nipo shule moja kati ya sababu iliyo nifanya nikafanikiwa kuyajua mambo mengi sana nikiwa nina umri mdogo ni kupenda kuuliza, sikuwa mtu ambaye nilikuwa napenda sana kupinga pinga hususani yale mambo ambayo ni wazi mimi sikuwa nikiyajua kabisa kwenye maisha yangu. siku hizi mambo yamekuwa tofauti sana shule zinaonekana kuzalisha kizazi cha kijinga kwa sababu watoto wa siku hizi wanaonekana kuwa wajuaji kupita maelezo hawawezi kuuliza namna mambo yanavyo fanyika na kwenda wao huwa wanakazana tu kusema haiwezekani, sasa wewe hapo ambaye hata nikikuuliza tu unitajie majina matatu ya huyo mtu huyajui, nikikwambia unitajie sehemu aliyo zaliwa hata huijui na umeishi naye kwa muda mrefu kwa kusingizia unamjua kwa vile umefanya naye kazi na kakusaidia unapata wapi hicho kiburi cha kuikataa hiyo picha bwana mdogo?” ni sauti ambayo ilitoka kwenye koo la mwanaume haswa ikiwa inamuasa Kani, aliinama chini baada ya kuambiwa ukweli wa mambo ambao ulimgusa moja kwa moja na kujiona yeye ni mpumbavu alitakiwa kuuliza huyo mtu ni nani hasa na sio kuanza kupinga kitu ambacho ni wazi aliambiwa hajui lolote lile.

“u uuuna…taka kuniambia kwamba Alen ni…….” Hakupewa hata nafasi ya kumalizia sentensi yake

“Ni wanadamu wachache sana huwa wanapata bahati ya kumfahamu huyu kiumbe pamoja na hizi siri zake, ukizijua hizi siri basi ni wazi umekuwa mtu wetu na utatakiwa kufanya kazi nasisi mpaka pale maisha yako yatakapofikia ukingoni na leo unakuwa mmojawapo hili sio ombi wala kwamba tunakubembeleza ni lazima iwe hivi vinginevyo tunaondoka na viungo vyote vya mwili wako na tunakuacha ukiwa hai uone namna dunia inavyo wanyanyapaa watu wenye ulemevu bila kuwa na macho, ulimi, miguu wala mikono na sehemu zako za siri ( alitetemeka sana mpaka mkojo ulimtoka baada ya kuambiwa hayo maneno)” mwanaume huyo alisimama na kuendelea.

Ni miaka nane sasa imepita tangu huyo mtu alipo anza kutafutwa na idara za kijasusi za nchi ya kaskazini na magharibi mwa Afrika, huyo mtu anatafutwa kuliko hata jinsi watu wanavyo itafuta pesa ili wapunguze ukali wa maisha ambayo kila siku yanazidi kuwakaba watu shingoni na kuwadhalilisha baadhi ya wanaume mjini kwa kuonekana nao ni wanawake ni vile tu wanavaa suruali kwa sababu hawana jipya mfukoni hayo ndiyo maisha ya mjini, huyo ni mwanadamu ambaye ukifanikisha upatikanaji wake basi unakuwa umeagana na umasikini kwenye maisha yako utapewa aina ya mali unazo zihitaji wewe mwenyewe na utazitumia mpaka siku unakufa hautakuja kufanikiwa kuzimaliza. Huyo kiumbe sio Alen kama unavyo mjua wewe wala sio mtanzania kama unavyo mjua wewe japo ana uraia pacha ambao kwa nchi hii tunahesabia kwamba haupo ndiyo maana nimesema kwamba sio mtanzania lakini pia huyo binadamu sio dhaifu kama wewe unavyo litamka hilo neno ambalo hautakiwi kuja kulirudia tena kwenye maisha yako na mdomo wako unatakiwa ukome sana kutamka hilo neno, huyo mtu unavyo mtaja unatakiwa uwe na uwoga sana sio kama kichwa chako kinavyo kudanganya kwamba yupo hivyo.

Jina lake halisi anaitwa Zakaria Mansour ana miaka 35 kwa sasa, ni msomi mwenye PHD (Doctor of Philosophy) kwenye masuala ya ARCHITECTURE DRAFTING OF BUILDINGS (msanifu na muandishi wa majengo) hakuna jengo anaweza akalitazama kwa dakika tano akashindwa kuichora ramani yake yote kuanzia chini kwenye msingi mpaka mwisho wa urefu wake. Ni mzaliwa na ni raia wa nchi ya Libya ambako ndiko sisi tunako toka katika mji mkuu wa Tripoli, baba yake ni raia wa kuzaliwa kabisa wa nchi ya Libya aitwaye Mansour Omran ila mama yake ni mtanzania aitwaye Sekelaga Philebert ni mtu kutoka kwenye ardhi ya wajivuni huko kama inavyo julikana ndani ya nchi hii ni Mhaya na inasemekana watu hawa wawili walikutana kwenye chuo kikuu cha OXFORD UNIVERSITY huko nchini Uingereza na walidumu kwenye ndoa yao kwa mwaka mmoja tu pekee wakafanikiwa kupata mtoto mmoja tu ambaye ndiye huyo ambaye wewe unamuita Alen. Kwa nafasi uliyo nayo ni ndogo sana kuna mambo ambayo hutakiwi kabisa kuyajua kwa gharama yoyote ile ila kwa kifupi ni kwamba huyo mwanaume ni komando na pia amewahi kuwa jasusi hatari zaidi kuwahi kuishi kwenye hili bara la Afrika na sio mtu wa kuvutia kama sura yake inavyo sadiki kwenye hiyo picha unayo iona ni binadamu wa kutisha na anaogopwa sana.


Sababu inayo fanya mpaka anatafutwa sana ni kosa la kuhusika na mauaji ya watu 50 wa familia mbili ambazo zilikuwa marafiki pamoja na kuua wanajeshi 67 na makomando 33 huko Afrika ya kaskazini pamoja na magharibi lakini hakuweza kukamatwa alifanikiwa kutoroka kabla hajatiwa nguvuni, hakuwahi kujulikana kwamba alipotelea wapi kwenye uso wa dunia hii ila mashaka makubwa yalikuwa ni nchi ya Tanzania ambako ni asili ya mama yake ndiyo sababu tupo kwenye nchi hii kwa muda mrefu sana na sio sisi tu wapo watu wengi sana ambao wanamtafuta kwa nguvu zote lakini pia kila nchi Afrika nzima kuna picha zake zimesambazwa kwenye idara za usalama tunasaidiana kumtafuta. Leo kwa mara ya kwanza tumefanikiwa kuiona picha yake mtandaoni ndiyo maana tuliamua kuharibu mifumo ya simu yako na kuzifuta zile picha tukakutafuta ulipo kwa sababu picha inaonekana imepigwa hivi karibuni maana yake tulijua unafahamu alipo, zile picha kama zingeonekana au watu wengine wangewahi kukupata mpaka muda huu hivi tunavyo ongea hapa ungekuwa marehemu anatafutwa sana huyo binadamu na siyo mtu wa kucheka naye akibadilika anaweza kuumaliza huu mji ndani ya msaa sita ukapishana na maiti kila unapo pita” Kani alikuwa ameyatoa macho kama vile alibanwa na mlango maelezo yote hayo ilikuwa ni ndoto ya kuvutia ila haikuwa kweli kwamba kulikuwa na mwanadamu katili namna hiyo ubaya kila alicho ambiwa alisisitiziwa ni ukweli hakukuwa na cha kusimuliwa ndoto wala tamthiliya ya kuvutia huo ulikuwa ni uhalisia wa maisha halisi ya rafiki yake ambaye alimuita kwamba anaitwa Alen na alijihalalishia kwamba anamjua sana.

“Naomba maji, naomba maji tafadhali” joto kali lililokuwa linampanda kwenye nguo zake lililikausha koo lake na kulifanya kuwa kavu kupita kiasi alihitaji kulilainisha kwanza ili apate nafasi ya kuweza kuuliza maswali kwa usahihi hakuwa anaelewa elewa namna wakati ulivyokuwa unamhukumu kwa kile ambacho alihisi anakijua yeye wakati hajui lolote, alirushiwa kikopo cha maji ya baridi aliyamaliza yote akahema kwa nguvu akajiinamia na kuinuka tena.

“Kama hayo maneno ambayo umeniambia ni ya kweli basi hii dunia hakuna sehemu salama kabisa kwa ajili ya maisha ya binadamu kuendelea kuivuta pumzi ya bure ambayo huwa tunapewa baadae tunajisahau na kuanza kujisifia kwamba sisi ndio wenye nguvu tunasahau mtoaji wa hiyo pumzi anatushuhudia namna tulivyo wachoyo wa fadhila, unaweza ukaniambia huo uwezo ambao unausema wewe anao aliweza kuupata wapi na hao watu aliweza kuwaua kwa sababu ipi hasa mpaka ifikie hatua mtu ambaye wewe mwenyewe umesema ni jasusi na komando aweze kutafutwa kwa nguvu na gharama kubwa namna hiyo?” aliambiwa mambo ya kutisha ambayo yalimfanya kuona ni vyema tu awe kawaida aliona kuendelea kuweweseka anajiongezea uoga, Kani sasa alikuwa anauliza huku akiwa amesimama.

“hakuna swali hata moja ambalo utaweza kujibiwa hapo pengine utabahatika kuja kuyajua siku za mbeleni ila kazi yako kwa sasa ni ndogo tu unatakiwa kumlegeza huyo mtu ili sisi tuje tumchukue na kuondoka naye baada ya hapo utapewa kila unacho kitaka”

“Hey namlegeza vipi mtu ambaye umesema sio binadamu wa kawaida sasa si ni shetani huyo” alianza kutetemeka sana alikuwa ametoka kusimuliwa kuhusu dubwana hilo lilivyo hapo tena anaambiwa kwamba alitakiwa kumalizia kazi ambayo ndiyo iliwafanya wamuahidi kumpatia chochote kile.

“Kuna dawa ambayo tutakupatia utampulizia nayo itammaliza nguvu na kummlegeza kabisa hatakuwa na uwezo wa kufanya chochote”

“Umesema huyo ni komando mwenzenu kwanini msiende wenyewe mkamchukue mimi niwaonyeshe tu sehemu ambayo anapatikana?”

“Hapa kati yetu wote kumi na mbili ambao nimekutajia kama huyo mtu akiwa kwenye utimamu wake na mzima wa afya basi hakuna yeyote ambaye anaweza hata kuugusa unywele wake japo mmoja tu akiwa bado mzima wa afya”

“Whaaaaaaat?”

Alen kwenye hesabu za wanaume, hadithi aliyopewa Kani kuhusu huyo rafiki yake wa machimbo ya madini ilibaki inamchanganya na kuendelea kumtisha hakuelewa sasa amuamini nani kwenye maisha yake yote ……… je ni kweli anayo ambiwa kuhusu Alen au anaingizwa cha kike? Na kama ni kweli je atafanikiwa kumkamatisha mwanadamu ambaye wamesema ni dubwana la ajabu namna hiyo?..........ukurasa wa tano natia nukta tukutane wakati ujao.

Bux the story tellerView attachment 2394665
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller


UKURASA WA SITA

TULIPO ISHIA UKURASA WA TANO

“Kuna dawa ambayo tutakupatia utampulizia nayo itammaliza nguvu na kummlegeza kabisa hatakuwa na uwezo wa kufanya chochote”

“Umesema huyo ni komando mwenzenu kwanini msiende wenyewe mkamchukue mimi niwaonyeshe tu sehemu ambayo anapatikana?”

“Hapa kati yetu wote kumi na mbili ambao nimekutajia kama huyo mtu akiwa kwenye utimamu wake na mzima wa afya basi hakuna yeyote ambaye anaweza hata kuugusa unywele wake japo mmoja tu akiwa bado mzima wa afya”

“Whaaaaaaat?”

ENDELEA.............................


“Muda wako wa kukaa hapa umeisha saivi nenda kwako sisi muda wote tutakuwa karibu na popote pale ulipo hakikisha unafanya kama nilivyo kuagiza kama likitokea kosa hata la sekunde mbili tu unakufa hapo hapo” mwanaume huyo alimaliza maelezo yake na kusimama alimrushia spray moja ambayo bila shaka aliijua kazi yake vizuri aliiweka mfukoni hapo hapo alidondoka kwenye hicho kitanda na kupoteza fahamu alizamishiwa sindano kwenye shingo yake. Ni asubuhi sana na mapema Kani alishtushwa na mlio wa kengele ya mlangoni alijaribu kuvuta kumbukumbu zake alimchukua sekunde thelathini tu kuweza kukumbuka kila kilichokuwa kimetokea usiku wa siku hiyo aliingiza mkono wake mfukoni aliikuta spray pamoja na karatasi aliisoma karatasi hiyo na kuitafuna kisha akaibebea spray yake na kuificha mfukoni tena, alikimbilia mlangoni baada ya kengele kugonga kwa mara nyingine tena.

“Oooh Alen karibu kaka” aliongea akiwa na wenge Alen alimwangalia sana rafiki yake huyo hakummaliza.

“Mbona unalala sana mpaka nagonga mara kumi kumi” maneno hayo Kani hakuweza kuyasikia kabisa muda wote alikuwa anamwangalia Alen akiwa anayatafakari maneno ambayo alikuwa ametoka kuambiwa usiku na wale watu ni kama nafsi yake ilikuwa inakataa hicho kitu ila aliamua kufanya kama alivyokuwa amekusudia aliitoa simu yake na kupiga mahali kisha akaiweka mfukoni wakati huo Alen alikuwa amegeukia upande mwingine ni kama alishtuka aligeuka nyuma ghafla alisikia sauti moja tu.

“Nisamehe sana ndugu yangu sina namna” maneno hayo yalimshtua sana Alen baada ya kuona Kani ameishika spray mkononi akiwa amemuelekezea alipo, aliijua vizuri hiyo spray na kazi yake kwa ujumla alijirusha kama upepo ila alikuwa amechelewa ilipulizwa na kumpata kwenye uso wake mpaka maeneo ya kifuani japo alikuwa ametoweka kwa spidi ya ajabu mno ambayo ilimfanya Kani aanze kutetemeka.

“Why Kani? Kwanini uwe wewe? kwanini nakuuliza?” aliongea kwa hasira sana Alen mikono yake ikiwa inatetemeka ni hali iliyo mfanya Kani aanze kutetemeka akiwa anaonekana ni mtu ambaye hakuwa akiijua hatima yake kabisa kwamba itakuaje, hakuwa na kitu cha kufanya alianza kusogea nyuma alijikuta anajibamiza ukutani baada ya kupokea ngumu nzito mno hakuelewa huyo mtu kamfikiaje alikuwa ni Alen, mdomoni mwake alikuwa akitoa damu huku akiwa analia.

“Kakutuma nani mjinga wewe?” Alen aliuliza tena kwa gadhabu akiwa anasogea pale alipokuwa amedondokea Kani lakini alisita baada ya kuhisi kuna watu walikuwa wanaingia ndani ya nyumba hiyo ya rafiki yake, kwenye karatasi ambayo Kani aliweza kuikuta mfukoni mwake maelekezo yake yalikuwa yanamwelekeza kupiga simu kwa namba ambayo ataikuta kwenye hiyo simu pale Alen atakapo fika, kwenye mfuko wake mwingine ndiyo sehemu ambayo simu hiyo iliwekwa baada ya yeye kuzimishwa na asubuhi yake kujikuta yupo nyumbani akiwa haelewi alifikaje ndiyo sababu baada ya kufungua mlango tu aliipiga hiyo simu kama kutoa taarifa kwamba mtu wao alikuwa amefika hiyo sehemu ndiyo sababu walikuwa wamefika hapa kwa sababu walimuahidi kwamba watakuwepo sehemu yoyote ile ambayo yeye atakuwepo.

Alen aligeuka na kuona wanaume 12 wakiwa kwenye suti zao na silaha mikononi walipiga magoti wote kisha wakasimama na kutoa heshima kubwa sana vitu ambavyo vilikuwa vinaendelea kumchanganya Kani wanaume ambao walikuwa wamemteka na kumhitaji awasaidie kumpata huyo binadamu walikuwa wanampigia mpaka magoti na kutoa heshima kubwa ambayo hata raisi ni ngumu sana kufanyiwa hivyo, aligeuza macho kwa Alen ambaye alikuwa akinesa nesa na kushika kichwa chake ilionekana wazi alikuwa kwenye maumivu makali sana ndipo Kani alipo anza kuelewa kazi ya ile spray ambayo alimpulizia mtu huyo.

“Rayiysun min fadlik aghfir lana lays ladayna khiar akhar” alitamka kiongozi wa wanaume hao kwa lugha ya kiarabu ambayo walionekana kuelewana vizuri akiwa ana maanisha bosi tusamehe sana hatuna chaguo lingine wakati huo bado mikono yao ilikuwa kwenye vichwa vyao wakiwa wanatoa heshima kwa mtu ambaye ni wazi alikuwa ni mkubwa sana kwao.

“Mpo hapa kwa muda gani na ni nani aliamua kuwatuma kunitafuta tena wakati nilisha amua kuachana na hayo maisha?” aliuliza kwa hasira akiwa anazikunja ndita zake ni wazi alikuwa kwenye maumivu makali ambayo yalikuwa hayaelezeki.

“Kiongozi kwa mambo uliyo yafanya umoja wa nchi za magharibi wanakutafuta wakuue lakini kwetu kaskazini viongozi wanahitaji ufungwe sehemu ambayo hautakuja kutoka kabisa kwenye maisha yako mpaka unakufa nasisi ndio tumepewa kazi ya kuja kukutafuta ni bahati tu sisi ndio tumewahi kukupata ila kama hao watu wa magharibi wangekupata wao kabla yetu basi nadhani wangekuua hapo hapo. Kwa nchi hii tupo kwa miaka saba huu ni wa nane tangu ulipo potea mpaka leo tulikuwa tunakutafuta” alimjibu kwa usahihi na kwa unyenyekevu mtu ambaye ni wazi walionekana hawakupenda kufanya hayo mbele yao lakini hawakuwa na namna nyingine ilikuwa ni amri kutoka mamlaka za juu.


“Hahahahahahha nani huyo amezaliwa wa kuja kuyatishia maisha yangu? sitapenda nije kufa nikiwa na dhambi ya kuwaua vijana wangu mwenyewe ondokeni mbele ya uso wangu na nisije nikawaona tena kwenye maisha yangu kama nikiwaona tena nitaondoka na shingo zenu wote hilo linatakiwa kuishi kwenye vichwa vyenu na kama mnahitaji kuniua kwa sababu mmemtumia mtu ambaye nilitaka kumuona anafanikiwa lakini kumbe naye ni mjinga tu basi nafasi yenu inaweza kuwa ni leo jaribuni hii bahati yenu ila kama nitatoka nikiwa hai kwenye hili hao walio watuma narudi tena kwao” aliongea akiwa kwenye maumivu makali kiasi kwamba machozi yalikuwa yanamtoka kwenye macho yake. Hao wote ambao walikuwa mbele yake kuna baadhi walimzidi umri kwa kuzaliwa ila wote walikuwa vijana wake aliwahi kuwafundisha kipindi yupo jeshini wanamjua vizuri, wanamheshimu na wanamuogopa isivyo kawaida ndiyo sababu walichukua tahadhari mapema kabla ya kumjia. Maneno yake haikuwa sababu ya wanaume hao kuondoka walizishika silaha zao za moto mikononi pamoja na za shoti ilikuwa ni lazima waondoke naye kwa gharama yoyote ile.

Walikuwa wanakuja wawili wawili kumzimisha wakati huo mwili wake ulikuwa hauna nguvu kabisa kutokana na kupuliziwa ile spray ambayo mimi nawewe mpaka sasa hatujajua ilikuwa ina nini hiyo mpaka yeye mwenyewe alionekana wazi alikuwa anaiogopa baada ya kuiona. Mateke mazito ya hao wanaume hayakufua dafu mwanaume alipiga magoti na kuteleza chini walimpita juu bila kumgusa aliinamana chini na kuitoa pete yake kwenye mkono wake alionekana kuizamisha kwenye nguo yake ya ndani wakti anajizungusha na hakuna aliyeweza kuona hicho kitu nadhani hakutaka kuwaua vijana wake kwa kutumia pete hiyo ambayo ilionekana ni silaha ya kuchungwa sana, wale makomando wawili walirudi wakiwa wana kasi kubwa hawakutua chini ni kama walipishana na upepo vifuti viwili viliwapitia kwenye videvu vyao walidondokea mbali na kunyanyuka kwa sarakasi nzito lakini walirudishwa chini kwa ngumi kali kwenye mbavu zao walibaki wanatapa tapa chini wakiwa hawana uwezo wa kusimama.

Wanne walikuwa nyuma yake ili kumlegeza uti wake wa mgongo teke moja lilikuwa limebaki sentimita kama moja kuufikia uti wa mgongo, spidi aliyo itumia kugeuka na kuuvunja mguu wa huyo mtu uliwafanya wenzake watatu warudi nyuma kidogo, mdomoni Alen alikuwa ana damu nyingi sana ila hakuna ambaye mpaka muda huo alifanikiwa hata kuigusa nguo yake kwa ngumi, kwenye kola ya sahati yake alitoa nyembe ndogo mbili na kuzishika kwenye vidole vyake kiongozi wa hao watu aliogopa na kujifuta jasho usoni kwake alikuwa anajua kitu ambacho kilikuwa kinaenda kutokea inapofikiwa hatua mwanaume huyo akishika hizo nyembe japo kulikuwa na uangalau na sio kumruhusu akapigana akiwa ameishika pete yake kwenye mkono wake huwa anakuwa dubwana la ajabu ambalo halitakiwi kukutana na mwanadamu mwenye nafsi ya kawaida.



****************************

Damu zilitapakaa hapo ndani Kani alitamani kuzimia ila hakuwa na huo uwezo kitu pekee ambacho alikuwa anaendelea kukifanya kwa muda huo ni kulia na kutoa machozi tu akihisi ndiye mkombozi wake wa pekee, wale wanaume watatu wote walikuwa chini miguu yao na mikono yao ilikuwa imechanwa chanwa vibaya na hizo nyembe mbili ambazo bado zilikuwa zipo kwenye mkono wake mpaka muda huo wanaume sita walikuwa hawana kazi wangeweza kuifanya hapo walitakiwa kuwahishwa kwenye vyumba vya wagongwa mahututi mbele yake walibaki makomando sita walioshiba vyema, hali yake ilikuwa inazidi kuwa mbaya sana Alen alipiga magoti akiwa anatokwa na damu nyingi sana ni wazi nafsi ilitaka ila mwili ulimkatalia kabisa alitumia dakika moja mpaka kufanikiwa kusimama tena.

Nyembe mbili ambazo zilikuwa kwenye mikono yake zilibinuliwa kwa vidole na kusafiri kwa sipidi ambayo hata risasi isingeweza kuifikia zilizama kwenye mapaja ya wanaume wawili ambazo zilitokea mpaka upande wa pili maana yake zilikuwa zimechana chana mapaja yao na kupenya mpaka upande wa pili, ilikuwa inatishia amani kuushuhudia huo unyama ambao kwa akili za kibinadamu ilikuwa haiwezekani mtu kuwa na nguvu za kuifanya nyembe izame kwa ukubwa kiasi hicho licha ya kukutana na ugumu wa mishipa ya paja, walikuwa chini wakiwa wanapiga makelele na kulia mno. Bahati mbaya kwake wakati anataka kuanza kuwafuata vijana wake wanne ambao walikuwa mbele yake alipigwa risasi tano kwenye miguu yake na kifuani zilimlegeza kiasi kwa sababu watu hao walibaki wanne tu na walijua wakicheza vibaya hakuna atakaye fanikiwa kutoka humo ndani aliendelea kulegea, miguu ilikuwa haina kazi baada ya kumiminiwa risasi za kutosha alipiga makelele sana mwanaume huyo.

Ulikuwa kama mzimu kwa nguvu alizo nyanyuka nazo aliwashika vijana wawili licha ya kumpiga na mashine kali za shoti kwenye mwili wake aliwagonganisha vichwa vyao wote wawili walikufa hapo hapo baada ya vichwa kuchanikana na kupasuka vibaya sana tukio hilo lilimfanya Kani azimie hakuwa akiamini kama aliyekuwa anamuona mbele yake ndiye huyo ambaye aliwahi kumsaidia huko Arusha na ndo yule Alen mlaini ambaye aliamini hana hata uwezo wa kuushika upanga kuicharanga hata nyama ya kuku vizuri na watu wakala leo alikua anawafanya wanadamu wenzake mambo ya kutishia amani ya ulimwengu alishindwa kabisa kustahimili hilo jambo. Kiongozi wa hao wanaume kumi na wawili ambao mpaka wakati huo waliokuwa wamesimama walibaki ni wawili tu alifumba macho baada ya kuona Alen anakuja na ngumi mbili upande ambao yeye alikuwepo alijua wazi hana uwezo wa kuzizuia ngumi za huyo binadamu hata kama angeamua kufanya nini alikubali kama ni kufa afe tu uhatari wa mikono ya hicho kiumbe yeye alikuwa ni binadamu ambaye aliijua kuliko mtu yeyote yule chini ya hii dunia ndiye ambaye alikuwa amefundishwa na mwanaume huyo kwa muda mrefu zaidi, alikuwa akiendelea kuomba sala zake za mwisho hakuwa na imani ya kuendelea kuwa hai tena kama tu hizo ngumi zingempata kwenye mwili wake.

Lakini alishtushwa na sauti kubwa ya kishindo cha mtu kudondoka aliyafumbua macho yake na kutazama nini kilikuwa kimetokea alishangaa mtu huyo alikuwa amedondoka chini akiwa kwenye dimbwi zito la damu, machozi yalimtoka ni wazi hakuwa akihitaji kumuona mtu huyo ambaye alimhusudu na kumuona kama role model wa maisha yake akiwa kwenye hali kama hiyo na ubaya yeye ndiye aliyekuwa amesababisha ila mamlaka zilitaka iwe hivyo hakuwa na namna angeweza kufanya kuweza kuliokoa hilo. Aligeuka kuangalia mwanaume huyo aliweza vipi kudondoka ikiwa ni sentimita chache tu zilikuwa zimebakia za yeye kufikiwa na huyo kiumbe pembeni yake alikuwa amesimama mwenzake ambaye alikuwa amempiga mwanaume huyo risasi tatu mgongoni ndizo zilizo mmaliza nguvu zote na kuweza kudondoka akiwa ameyafumbua macho yake anaona kwa mbali macho yake yalikuwa yameelekezwa upande ambao Kani alikuwa amelala.

“Nakufa nakufa nakufa mama weeeeeeeee” Kani alishtuka akiwa anahema kwa nguvu alihitaji kukimbia mwili ulimsaliti hakuwa na hizo nguvu akiwa ana angalia huku na huku alishangaa anamuona rafiki yake ambaye yeye mwenyewe ndiye aliye msaliti akiwa kwenye dimbwi zito la damu alimeza mate kwa shida sekunde mbili tu aliweza kusikia sauti ya taabu kutoka kwa huyo rafiki yake Alen.

“Kama ungejua madhara ya hiki ulicho kifanya siku ya leo basi usingethubutu kabisa kufanya hivi, hakikisha ninaenda kufa huko wanako nipeleka ila kama nitarudi tena basi omba MUNGU nikute wewe ndiye umekufa” ni kauli ya msisitizo ambayo ilitoka kwenye mdomo wa Alen kwa kitetemeshi ila ilisikika vizuri sana kisha Alen aliyafumba macho yake.

“Huyo ndiye binadamu unayemwita Alen ambaye ulikuwa una jeuri kwamba unamjua ndicho hicho kiumbe nadhani umekiona kilivyo hapo ulikuwa tayari umesha mlegeza nguvu zake zote angalia unyama alio ufanya je angekuwa kwenye utimamu wake unahisi nini kingetokea hapa?” ni kiongozi wa hao watu ambaye alikuwa amepiga magoti sehemu ambayo Alen alidondokea akiwa anamchoma sindano nyingi sana na kumfunga kwa minyororo kwenye mwili wake akiwa anasaidiana na yule mwenzake ambaye naye alibahatika kuachwa wa afya kabisa wawili walikuwa wamekufa ila nane walikuwa kwenye hali mbaya na maumivu makali mno.


Huyu ndiye Alen tumemjua kwa uchache sana akiwa kwenye hali mbaya unadhani akiwa kwenye hali yake ya kawaida anakuaje? Hao watu zaidi ya 150 ambao anasadikika aliwaua ikiwa 50 ni wa familia mbili ambazo zilikuwa na urafiki mkubwa kuna kipi kilipelekea mpaka afanye hivyo? yeye ni jasusi na komando sasa kwanini mamlaka za nchi yake zinahitaji akafungwe sehemu ambayo hatawez kutoka kwenye maisha yake yote mpaka anakufa na mamalaka za magaharibi mwa Afrika kwanini zinahitaji kumuua?....Alen mimi napenda kumuita Zakaria ni nani?............acha muda uamue kutupatia majibu, ukurasa wa 6 sina la ziada niseme tu bye-bye.


Bux the story teller.
IMG_20220919_111934_142.jpg


Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller
EMAIL: thomasibabuya@gmail.com
WHATSAPP: 0621567672

UKURASA WA SITA

TULIPO ISHIA UKURASA WA TANO

“Kuna dawa ambayo tutakupatia utampulizia nayo itammaliza nguvu na kummlegeza kabisa hatakuwa na uwezo wa kufanya chochote”

“Umesema huyo ni komando mwenzenu kwanini msiende wenyewe mkamchukue mimi niwaonyeshe tu sehemu ambayo anapatikana?”

“Hapa kati yetu wote kumi na mbili ambao nimekutajia kama huyo mtu akiwa kwenye utimamu wake na mzima wa afya basi hakuna yeyote ambaye anaweza hata kuugusa unywele wake japo mmoja tu akiwa bado mzima wa afya”

“Whaaaaaaat?”

ENDELEA.............................


“Muda wako wa kukaa hapa umeisha saivi nenda kwako sisi muda wote tutakuwa karibu na popote pale ulipo hakikisha unafanya kama nilivyo kuagiza kama likitokea kosa hata la sekunde mbili tu unakufa hapo hapo” mwanaume huyo alimaliza maelezo yake na kusimama alimrushia spray moja ambayo bila shaka aliijua kazi yake vizuri aliiweka mfukoni hapo hapo alidondoka kwenye hicho kitanda na kupoteza fahamu alizamishiwa sindano kwenye shingo yake. Ni asubuhi sana na mapema Kani alishtushwa na mlio wa kengele ya mlangoni alijaribu kuvuta kumbukumbu zake alimchukua sekunde thelathini tu kuweza kukumbuka kila kilichokuwa kimetokea usiku wa siku hiyo aliingiza mkono wake mfukoni aliikuta spray pamoja na karatasi aliisoma karatasi hiyo na kuitafuna kisha akaibebea spray yake na kuificha mfukoni tena, alikimbilia mlangoni baada ya kengele kugonga kwa mara nyingine tena.

“Oooh Alen karibu kaka” aliongea akiwa na wenge Alen alimwangalia sana rafiki yake huyo hakummaliza.

“Mbona unalala sana mpaka nagonga mara kumi kumi” maneno hayo Kani hakuweza kuyasikia kabisa muda wote alikuwa anamwangalia Alen akiwa anayatafakari maneno ambayo alikuwa ametoka kuambiwa usiku na wale watu ni kama nafsi yake ilikuwa inakataa hicho kitu ila aliamua kufanya kama alivyokuwa amekusudia aliitoa simu yake na kupiga mahali kisha akaiweka mfukoni wakati huo Alen alikuwa amegeukia upande mwingine ni kama alishtuka aligeuka nyuma ghafla alisikia sauti moja tu.

“Nisamehe sana ndugu yangu sina namna” maneno hayo yalimshtua sana Alen baada ya kuona Kani ameishika spray mkononi akiwa amemuelekezea alipo, aliijua vizuri hiyo spray na kazi yake kwa ujumla alijirusha kama upepo ila alikuwa amechelewa ilipulizwa na kumpata kwenye uso wake mpaka maeneo ya kifuani japo alikuwa ametoweka kwa spidi ya ajabu mno ambayo ilimfanya Kani aanze kutetemeka.

“Why Kani? Kwanini uwe wewe? kwanini nakuuliza?” aliongea kwa hasira sana Alen mikono yake ikiwa inatetemeka ni hali iliyo mfanya Kani aanze kutetemeka akiwa anaonekana ni mtu ambaye hakuwa akiijua hatima yake kabisa kwamba itakuaje, hakuwa na kitu cha kufanya alianza kusogea nyuma alijikuta anajibamiza ukutani baada ya kupokea ngumu nzito mno hakuelewa huyo mtu kamfikiaje alikuwa ni Alen, mdomoni mwake alikuwa akitoa damu huku akiwa analia.

“Kakutuma nani mjinga wewe?” Alen aliuliza tena kwa gadhabu akiwa anasogea pale alipokuwa amedondokea Kani lakini alisita baada ya kuhisi kuna watu walikuwa wanaingia ndani ya nyumba hiyo ya rafiki yake, kwenye karatasi ambayo Kani aliweza kuikuta mfukoni mwake maelekezo yake yalikuwa yanamwelekeza kupiga simu kwa namba ambayo ataikuta kwenye hiyo simu pale Alen atakapo fika, kwenye mfuko wake mwingine ndiyo sehemu ambayo simu hiyo iliwekwa baada ya yeye kuzimishwa na asubuhi yake kujikuta yupo nyumbani akiwa haelewi alifikaje ndiyo sababu baada ya kufungua mlango tu aliipiga hiyo simu kama kutoa taarifa kwamba mtu wao alikuwa amefika hiyo sehemu ndiyo sababu walikuwa wamefika hapa kwa sababu walimuahidi kwamba watakuwepo sehemu yoyote ile ambayo yeye atakuwepo.

Alen aligeuka na kuona wanaume 12 wakiwa kwenye suti zao na silaha mikononi walipiga magoti wote kisha wakasimama na kutoa heshima kubwa sana vitu ambavyo vilikuwa vinaendelea kumchanganya Kani wanaume ambao walikuwa wamemteka na kumhitaji awasaidie kumpata huyo binadamu walikuwa wanampigia mpaka magoti na kutoa heshima kubwa ambayo hata raisi ni ngumu sana kufanyiwa hivyo, aligeuza macho kwa Alen ambaye alikuwa akinesa nesa na kushika kichwa chake ilionekana wazi alikuwa kwenye maumivu makali sana ndipo Kani alipo anza kuelewa kazi ya ile spray ambayo alimpulizia mtu huyo.

“Rayiysun min fadlik aghfir lana lays ladayna khiar akhar” alitamka kiongozi wa wanaume hao kwa lugha ya kiarabu ambayo walionekana kuelewana vizuri akiwa ana maanisha bosi tusamehe sana hatuna chaguo lingine wakati huo bado mikono yao ilikuwa kwenye vichwa vyao wakiwa wanatoa heshima kwa mtu ambaye ni wazi alikuwa ni mkubwa sana kwao.

“Mpo hapa kwa muda gani na ni nani aliamua kuwatuma kunitafuta tena wakati nilisha amua kuachana na hayo maisha?” aliuliza kwa hasira akiwa anazikunja ndita zake ni wazi alikuwa kwenye maumivu makali ambayo yalikuwa hayaelezeki.

“Kiongozi kwa mambo uliyo yafanya umoja wa nchi za magharibi wanakutafuta wakuue lakini kwetu kaskazini viongozi wanahitaji ufungwe sehemu ambayo hautakuja kutoka kabisa kwenye maisha yako mpaka unakufa nasisi ndio tumepewa kazi ya kuja kukutafuta ni bahati tu sisi ndio tumewahi kukupata ila kama hao watu wa magharibi wangekupata wao kabla yetu basi nadhani wangekuua hapo hapo. Kwa nchi hii tupo kwa miaka saba huu ni wa nane tangu ulipo potea mpaka leo tulikuwa tunakutafuta” alimjibu kwa usahihi na kwa unyenyekevu mtu ambaye ni wazi walionekana hawakupenda kufanya hayo mbele yao lakini hawakuwa na namna nyingine ilikuwa ni amri kutoka mamlaka za juu.


“Hahahahahahha nani huyo amezaliwa wa kuja kuyatishia maisha yangu? sitapenda nije kufa nikiwa na dhambi ya kuwaua vijana wangu mwenyewe ondokeni mbele ya uso wangu na nisije nikawaona tena kwenye maisha yangu kama nikiwaona tena nitaondoka na shingo zenu wote hilo linatakiwa kuishi kwenye vichwa vyenu na kama mnahitaji kuniua kwa sababu mmemtumia mtu ambaye nilitaka kumuona anafanikiwa lakini kumbe naye ni mjinga tu basi nafasi yenu inaweza kuwa ni leo jaribuni hii bahati yenu ila kama nitatoka nikiwa hai kwenye hili hao walio watuma narudi tena kwao” aliongea akiwa kwenye maumivu makali kiasi kwamba machozi yalikuwa yanamtoka kwenye macho yake. Hao wote ambao walikuwa mbele yake kuna baadhi walimzidi umri kwa kuzaliwa ila wote walikuwa vijana wake aliwahi kuwafundisha kipindi yupo jeshini wanamjua vizuri, wanamheshimu na wanamuogopa isivyo kawaida ndiyo sababu walichukua tahadhari mapema kabla ya kumjia. Maneno yake haikuwa sababu ya wanaume hao kuondoka walizishika silaha zao za moto mikononi pamoja na za shoti ilikuwa ni lazima waondoke naye kwa gharama yoyote ile.

Walikuwa wanakuja wawili wawili kumzimisha wakati huo mwili wake ulikuwa hauna nguvu kabisa kutokana na kupuliziwa ile spray ambayo mimi nawewe mpaka sasa hatujajua ilikuwa ina nini hiyo mpaka yeye mwenyewe alionekana wazi alikuwa anaiogopa baada ya kuiona. Mateke mazito ya hao wanaume hayakufua dafu mwanaume alipiga magoti na kuteleza chini walimpita juu bila kumgusa aliinamana chini na kuitoa pete yake kwenye mkono wake alionekana kuizamisha kwenye nguo yake ya ndani wakti anajizungusha na hakuna aliyeweza kuona hicho kitu nadhani hakutaka kuwaua vijana wake kwa kutumia pete hiyo ambayo ilionekana ni silaha ya kuchungwa sana, wale makomando wawili walirudi wakiwa wana kasi kubwa hawakutua chini ni kama walipishana na upepo vifuti viwili viliwapitia kwenye videvu vyao walidondokea mbali na kunyanyuka kwa sarakasi nzito lakini walirudishwa chini kwa ngumi kali kwenye mbavu zao walibaki wanatapa tapa chini wakiwa hawana uwezo wa kusimama.

Wanne walikuwa nyuma yake ili kumlegeza uti wake wa mgongo teke moja lilikuwa limebaki sentimita kama moja kuufikia uti wa mgongo, spidi aliyo itumia kugeuka na kuuvunja mguu wa huyo mtu uliwafanya wenzake watatu warudi nyuma kidogo, mdomoni Alen alikuwa ana damu nyingi sana ila hakuna ambaye mpaka muda huo alifanikiwa hata kuigusa nguo yake kwa ngumi, kwenye kola ya sahati yake alitoa nyembe ndogo mbili na kuzishika kwenye vidole vyake kiongozi wa hao watu aliogopa na kujifuta jasho usoni kwake alikuwa anajua kitu ambacho kilikuwa kinaenda kutokea inapofikiwa hatua mwanaume huyo akishika hizo nyembe japo kulikuwa na uangalau na sio kumruhusu akapigana akiwa ameishika pete yake kwenye mkono wake huwa anakuwa dubwana la ajabu ambalo halitakiwi kukutana na mwanadamu mwenye nafsi ya kawaida.



****************************

Damu zilitapakaa hapo ndani Kani alitamani kuzimia ila hakuwa na huo uwezo kitu pekee ambacho alikuwa anaendelea kukifanya kwa muda huo ni kulia na kutoa machozi tu akihisi ndiye mkombozi wake wa pekee, wale wanaume watatu wote walikuwa chini miguu yao na mikono yao ilikuwa imechanwa chanwa vibaya na hizo nyembe mbili ambazo bado zilikuwa zipo kwenye mkono wake mpaka muda huo wanaume sita walikuwa hawana kazi wangeweza kuifanya hapo walitakiwa kuwahishwa kwenye vyumba vya wagongwa mahututi mbele yake walibaki makomando sita walioshiba vyema, hali yake ilikuwa inazidi kuwa mbaya sana Alen alipiga magoti akiwa anatokwa na damu nyingi sana ni wazi nafsi ilitaka ila mwili ulimkatalia kabisa alitumia dakika moja mpaka kufanikiwa kusimama tena.

Nyembe mbili ambazo zilikuwa kwenye mikono yake zilibinuliwa kwa vidole na kusafiri kwa sipidi ambayo hata risasi isingeweza kuifikia zilizama kwenye mapaja ya wanaume wawili ambazo zilitokea mpaka upande wa pili maana yake zilikuwa zimechana chana mapaja yao na kupenya mpaka upande wa pili, ilikuwa inatishia amani kuushuhudia huo unyama ambao kwa akili za kibinadamu ilikuwa haiwezekani mtu kuwa na nguvu za kuifanya nyembe izame kwa ukubwa kiasi hicho licha ya kukutana na ugumu wa mishipa ya paja, walikuwa chini wakiwa wanapiga makelele na kulia mno. Bahati mbaya kwake wakati anataka kuanza kuwafuata vijana wake wanne ambao walikuwa mbele yake alipigwa risasi tano kwenye miguu yake na kifuani zilimlegeza kiasi kwa sababu watu hao walibaki wanne tu na walijua wakicheza vibaya hakuna atakaye fanikiwa kutoka humo ndani aliendelea kulegea, miguu ilikuwa haina kazi baada ya kumiminiwa risasi za kutosha alipiga makelele sana mwanaume huyo.

Ulikuwa kama mzimu kwa nguvu alizo nyanyuka nazo aliwashika vijana wawili licha ya kumpiga na mashine kali za shoti kwenye mwili wake aliwagonganisha vichwa vyao wote wawili walikufa hapo hapo baada ya vichwa kuchanikana na kupasuka vibaya sana tukio hilo lilimfanya Kani azimie hakuwa akiamini kama aliyekuwa anamuona mbele yake ndiye huyo ambaye aliwahi kumsaidia huko Arusha na ndo yule Alen mlaini ambaye aliamini hana hata uwezo wa kuushika upanga kuicharanga hata nyama ya kuku vizuri na watu wakala leo alikua anawafanya wanadamu wenzake mambo ya kutishia amani ya ulimwengu alishindwa kabisa kustahimili hilo jambo. Kiongozi wa hao wanaume kumi na wawili ambao mpaka wakati huo waliokuwa wamesimama walibaki ni wawili tu alifumba macho baada ya kuona Alen anakuja na ngumi mbili upande ambao yeye alikuwepo alijua wazi hana uwezo wa kuzizuia ngumi za huyo binadamu hata kama angeamua kufanya nini alikubali kama ni kufa afe tu uhatari wa mikono ya hicho kiumbe yeye alikuwa ni binadamu ambaye aliijua kuliko mtu yeyote yule chini ya hii dunia ndiye ambaye alikuwa amefundishwa na mwanaume huyo kwa muda mrefu zaidi, alikuwa akiendelea kuomba sala zake za mwisho hakuwa na imani ya kuendelea kuwa hai tena kama tu hizo ngumi zingempata kwenye mwili wake.

Lakini alishtushwa na sauti kubwa ya kishindo cha mtu kudondoka aliyafumbua macho yake na kutazama nini kilikuwa kimetokea alishangaa mtu huyo alikuwa amedondoka chini akiwa kwenye dimbwi zito la damu, machozi yalimtoka ni wazi hakuwa akihitaji kumuona mtu huyo ambaye alimhusudu na kumuona kama role model wa maisha yake akiwa kwenye hali kama hiyo na ubaya yeye ndiye aliyekuwa amesababisha ila mamlaka zilitaka iwe hivyo hakuwa na namna angeweza kufanya kuweza kuliokoa hilo. Aligeuka kuangalia mwanaume huyo aliweza vipi kudondoka ikiwa ni sentimita chache tu zilikuwa zimebakia za yeye kufikiwa na huyo kiumbe pembeni yake alikuwa amesimama mwenzake ambaye alikuwa amempiga mwanaume huyo risasi tatu mgongoni ndizo zilizo mmaliza nguvu zote na kuweza kudondoka akiwa ameyafumbua macho yake anaona kwa mbali macho yake yalikuwa yameelekezwa upande ambao Kani alikuwa amelala.

“Nakufa nakufa nakufa mama weeeeeeeee” Kani alishtuka akiwa anahema kwa nguvu alihitaji kukimbia mwili ulimsaliti hakuwa na hizo nguvu akiwa ana angalia huku na huku alishangaa anamuona rafiki yake ambaye yeye mwenyewe ndiye aliye msaliti akiwa kwenye dimbwi zito la damu alimeza mate kwa shida sekunde mbili tu aliweza kusikia sauti ya taabu kutoka kwa huyo rafiki yake Alen.

“Kama ungejua madhara ya hiki ulicho kifanya siku ya leo basi usingethubutu kabisa kufanya hivi, hakikisha ninaenda kufa huko wanako nipeleka ila kama nitarudi tena basi omba MUNGU nikute wewe ndiye umekufa” ni kauli ya msisitizo ambayo ilitoka kwenye mdomo wa Alen kwa kitetemeshi ila ilisikika vizuri sana kisha Alen aliyafumba macho yake.

“Huyo ndiye binadamu unayemwita Alen ambaye ulikuwa una jeuri kwamba unamjua ndicho hicho kiumbe nadhani umekiona kilivyo hapo ulikuwa tayari umesha mlegeza nguvu zake zote angalia unyama alio ufanya je angekuwa kwenye utimamu wake unahisi nini kingetokea hapa?” ni kiongozi wa hao watu ambaye alikuwa amepiga magoti sehemu ambayo Alen alidondokea akiwa anamchoma sindano nyingi sana na kumfunga kwa minyororo kwenye mwili wake akiwa anasaidiana na yule mwenzake ambaye naye alibahatika kuachwa wa afya kabisa wawili walikuwa wamekufa ila nane walikuwa kwenye hali mbaya na maumivu makali mno.


Huyu ndiye Alen tumemjua kwa uchache sana akiwa kwenye hali mbaya unadhani akiwa kwenye hali yake ya kawaida anakuaje? Hao watu zaidi ya 150 ambao anasadikika aliwaua ikiwa 50 ni wa familia mbili ambazo zilikuwa na urafiki mkubwa kuna kipi kilipelekea mpaka afanye hivyo? yeye ni jasusi na komando sasa kwanini mamlaka za nchi yake zinahitaji akafungwe sehemu ambayo hatawez kutoka kwenye maisha yake yote mpaka anakufa na mamalaka za magaharibi mwa Afrika kwanini zinahitaji kumuua?....Alen mimi napenda kumuita Zakaria ni nani?............acha muda uamue kutupatia majibu, ukurasa wa 6 sina la ziada niseme tu bye-bye.


Bux the story teller.View attachment 2397148

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Hadithi hii ipo ukurasa wa 50+ kwa sasa na unaweza kuipata muda wowote, ukurasa mmoja unapatikana kwa bei ya shilingi 150 tu pekee za kitanzania.

Pia unaweza ukajiunga na group langu la WhatsApp kwa shilingi 3000 tu pekee ukasoma kwa mwezi mzima, karibu sana uungane na kalamu ya Bux the story teller.

Namba za malipo

0621567672 (WhatsApp)
0745982347

Jina FEBIANI BABUYA

Ukilipia tu unapatiwa muda huo huo, lakini pia kama bado haujazisoma hadithi zangu bora sana za kijasusi kama.

1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA
2. I WANT TO DIE JUDGE (NATAKA KUFA HAKIMU)
3. HATIMA YA UJINGA WAKE ( short love story, hii huwa naigawa bure kwa anaye nunua Kati ya hiyo 1&2.

Njoo ujipatie hadithi hizi leo kila moja moja ukitaka yote iwe pdf au kwa njia ya kawaida ni shilingi 5000 tu pekee nazo namba za malipo ni hizo hizo.

Wako

Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA SITA

TULIPO ISHIA UKURASA WA TANO

“Kuna dawa ambayo tutakupatia utampulizia nayo itammaliza nguvu na kummlegeza kabisa hatakuwa na uwezo wa kufanya chochote”

“Umesema huyo ni komando mwenzenu kwanini msiende wenyewe mkamchukue mimi niwaonyeshe tu sehemu ambayo anapatikana?”

“Hapa kati yetu wote kumi na mbili ambao nimekutajia kama huyo mtu akiwa kwenye utimamu wake na mzima wa afya basi hakuna yeyote ambaye anaweza hata kuugusa unywele wake japo mmoja tu akiwa bado mzima wa afya”

“Whaaaaaaat?”

ENDELEA.............................


“Muda wako wa kukaa hapa umeisha saivi nenda kwako sisi muda wote tutakuwa karibu na popote pale ulipo hakikisha unafanya kama nilivyo kuagiza kama likitokea kosa hata la sekunde mbili tu unakufa hapo hapo” mwanaume huyo alimaliza maelezo yake na kusimama alimrushia spray moja ambayo bila shaka aliijua kazi yake vizuri aliiweka mfukoni hapo hapo alidondoka kwenye hicho kitanda na kupoteza fahamu alizamishiwa sindano kwenye shingo yake. Ni asubuhi sana na mapema Kani alishtushwa na mlio wa kengele ya mlangoni alijaribu kuvuta kumbukumbu zake alimchukua sekunde thelathini tu kuweza kukumbuka kila kilichokuwa kimetokea usiku wa siku hiyo aliingiza mkono wake mfukoni aliikuta spray pamoja na karatasi aliisoma karatasi hiyo na kuitafuna kisha akaibebea spray yake na kuificha mfukoni tena, alikimbilia mlangoni baada ya kengele kugonga kwa mara nyingine tena.

“Oooh Alen karibu kaka” aliongea akiwa na wenge Alen alimwangalia sana rafiki yake huyo hakummaliza.

“Mbona unalala sana mpaka nagonga mara kumi kumi” maneno hayo Kani hakuweza kuyasikia kabisa muda wote alikuwa anamwangalia Alen akiwa anayatafakari maneno ambayo alikuwa ametoka kuambiwa usiku na wale watu ni kama nafsi yake ilikuwa inakataa hicho kitu ila aliamua kufanya kama alivyokuwa amekusudia aliitoa simu yake na kupiga mahali kisha akaiweka mfukoni wakati huo Alen alikuwa amegeukia upande mwingine ni kama alishtuka aligeuka nyuma ghafla alisikia sauti moja tu.

“Nisamehe sana ndugu yangu sina namna” maneno hayo yalimshtua sana Alen baada ya kuona Kani ameishika spray mkononi akiwa amemuelekezea alipo, aliijua vizuri hiyo spray na kazi yake kwa ujumla alijirusha kama upepo ila alikuwa amechelewa ilipulizwa na kumpata kwenye uso wake mpaka maeneo ya kifuani japo alikuwa ametoweka kwa spidi ya ajabu mno ambayo ilimfanya Kani aanze kutetemeka.

“Why Kani? Kwanini uwe wewe? kwanini nakuuliza?” aliongea kwa hasira sana Alen mikono yake ikiwa inatetemeka ni hali iliyo mfanya Kani aanze kutetemeka akiwa anaonekana ni mtu ambaye hakuwa akiijua hatima yake kabisa kwamba itakuaje, hakuwa na kitu cha kufanya alianza kusogea nyuma alijikuta anajibamiza ukutani baada ya kupokea ngumu nzito mno hakuelewa huyo mtu kamfikiaje alikuwa ni Alen, mdomoni mwake alikuwa akitoa damu huku akiwa analia.

“Kakutuma nani mjinga wewe?” Alen aliuliza tena kwa gadhabu akiwa anasogea pale alipokuwa amedondokea Kani lakini alisita baada ya kuhisi kuna watu walikuwa wanaingia ndani ya nyumba hiyo ya rafiki yake, kwenye karatasi ambayo Kani aliweza kuikuta mfukoni mwake maelekezo yake yalikuwa yanamwelekeza kupiga simu kwa namba ambayo ataikuta kwenye hiyo simu pale Alen atakapo fika, kwenye mfuko wake mwingine ndiyo sehemu ambayo simu hiyo iliwekwa baada ya yeye kuzimishwa na asubuhi yake kujikuta yupo nyumbani akiwa haelewi alifikaje ndiyo sababu baada ya kufungua mlango tu aliipiga hiyo simu kama kutoa taarifa kwamba mtu wao alikuwa amefika hiyo sehemu ndiyo sababu walikuwa wamefika hapa kwa sababu walimuahidi kwamba watakuwepo sehemu yoyote ile ambayo yeye atakuwepo.

Alen aligeuka na kuona wanaume 12 wakiwa kwenye suti zao na silaha mikononi walipiga magoti wote kisha wakasimama na kutoa heshima kubwa sana vitu ambavyo vilikuwa vinaendelea kumchanganya Kani wanaume ambao walikuwa wamemteka na kumhitaji awasaidie kumpata huyo binadamu walikuwa wanampigia mpaka magoti na kutoa heshima kubwa ambayo hata raisi ni ngumu sana kufanyiwa hivyo, aligeuza macho kwa Alen ambaye alikuwa akinesa nesa na kushika kichwa chake ilionekana wazi alikuwa kwenye maumivu makali sana ndipo Kani alipo anza kuelewa kazi ya ile spray ambayo alimpulizia mtu huyo.

“Rayiysun min fadlik aghfir lana lays ladayna khiar akhar” alitamka kiongozi wa wanaume hao kwa lugha ya kiarabu ambayo walionekana kuelewana vizuri akiwa ana maanisha bosi tusamehe sana hatuna chaguo lingine wakati huo bado mikono yao ilikuwa kwenye vichwa vyao wakiwa wanatoa heshima kwa mtu ambaye ni wazi alikuwa ni mkubwa sana kwao.

“Mpo hapa kwa muda gani na ni nani aliamua kuwatuma kunitafuta tena wakati nilisha amua kuachana na hayo maisha?” aliuliza kwa hasira akiwa anazikunja ndita zake ni wazi alikuwa kwenye maumivu makali ambayo yalikuwa hayaelezeki.

“Kiongozi kwa mambo uliyo yafanya umoja wa nchi za magharibi wanakutafuta wakuue lakini kwetu kaskazini viongozi wanahitaji ufungwe sehemu ambayo hautakuja kutoka kabisa kwenye maisha yako mpaka unakufa nasisi ndio tumepewa kazi ya kuja kukutafuta ni bahati tu sisi ndio tumewahi kukupata ila kama hao watu wa magharibi wangekupata wao kabla yetu basi nadhani wangekuua hapo hapo. Kwa nchi hii tupo kwa miaka saba huu ni wa nane tangu ulipo potea mpaka leo tulikuwa tunakutafuta” alimjibu kwa usahihi na kwa unyenyekevu mtu ambaye ni wazi walionekana hawakupenda kufanya hayo mbele yao lakini hawakuwa na namna nyingine ilikuwa ni amri kutoka mamlaka za juu.


“Hahahahahahha nani huyo amezaliwa wa kuja kuyatishia maisha yangu? sitapenda nije kufa nikiwa na dhambi ya kuwaua vijana wangu mwenyewe ondokeni mbele ya uso wangu na nisije nikawaona tena kwenye maisha yangu kama nikiwaona tena nitaondoka na shingo zenu wote hilo linatakiwa kuishi kwenye vichwa vyenu na kama mnahitaji kuniua kwa sababu mmemtumia mtu ambaye nilitaka kumuona anafanikiwa lakini kumbe naye ni mjinga tu basi nafasi yenu inaweza kuwa ni leo jaribuni hii bahati yenu ila kama nitatoka nikiwa hai kwenye hili hao walio watuma narudi tena kwao” aliongea akiwa kwenye maumivu makali kiasi kwamba machozi yalikuwa yanamtoka kwenye macho yake. Hao wote ambao walikuwa mbele yake kuna baadhi walimzidi umri kwa kuzaliwa ila wote walikuwa vijana wake aliwahi kuwafundisha kipindi yupo jeshini wanamjua vizuri, wanamheshimu na wanamuogopa isivyo kawaida ndiyo sababu walichukua tahadhari mapema kabla ya kumjia. Maneno yake haikuwa sababu ya wanaume hao kuondoka walizishika silaha zao za moto mikononi pamoja na za shoti ilikuwa ni lazima waondoke naye kwa gharama yoyote ile.

Walikuwa wanakuja wawili wawili kumzimisha wakati huo mwili wake ulikuwa hauna nguvu kabisa kutokana na kupuliziwa ile spray ambayo mimi nawewe mpaka sasa hatujajua ilikuwa ina nini hiyo mpaka yeye mwenyewe alionekana wazi alikuwa anaiogopa baada ya kuiona. Mateke mazito ya hao wanaume hayakufua dafu mwanaume alipiga magoti na kuteleza chini walimpita juu bila kumgusa aliinamana chini na kuitoa pete yake kwenye mkono wake alionekana kuizamisha kwenye nguo yake ya ndani wakti anajizungusha na hakuna aliyeweza kuona hicho kitu nadhani hakutaka kuwaua vijana wake kwa kutumia pete hiyo ambayo ilionekana ni silaha ya kuchungwa sana, wale makomando wawili walirudi wakiwa wana kasi kubwa hawakutua chini ni kama walipishana na upepo vifuti viwili viliwapitia kwenye videvu vyao walidondokea mbali na kunyanyuka kwa sarakasi nzito lakini walirudishwa chini kwa ngumi kali kwenye mbavu zao walibaki wanatapa tapa chini wakiwa hawana uwezo wa kusimama.

Wanne walikuwa nyuma yake ili kumlegeza uti wake wa mgongo teke moja lilikuwa limebaki sentimita kama moja kuufikia uti wa mgongo, spidi aliyo itumia kugeuka na kuuvunja mguu wa huyo mtu uliwafanya wenzake watatu warudi nyuma kidogo, mdomoni Alen alikuwa ana damu nyingi sana ila hakuna ambaye mpaka muda huo alifanikiwa hata kuigusa nguo yake kwa ngumi, kwenye kola ya sahati yake alitoa nyembe ndogo mbili na kuzishika kwenye vidole vyake kiongozi wa hao watu aliogopa na kujifuta jasho usoni kwake alikuwa anajua kitu ambacho kilikuwa kinaenda kutokea inapofikiwa hatua mwanaume huyo akishika hizo nyembe japo kulikuwa na uangalau na sio kumruhusu akapigana akiwa ameishika pete yake kwenye mkono wake huwa anakuwa dubwana la ajabu ambalo halitakiwi kukutana na mwanadamu mwenye nafsi ya kawaida.



****************************

Damu zilitapakaa hapo ndani Kani alitamani kuzimia ila hakuwa na huo uwezo kitu pekee ambacho alikuwa anaendelea kukifanya kwa muda huo ni kulia na kutoa machozi tu akihisi ndiye mkombozi wake wa pekee, wale wanaume watatu wote walikuwa chini miguu yao na mikono yao ilikuwa imechanwa chanwa vibaya na hizo nyembe mbili ambazo bado zilikuwa zipo kwenye mkono wake mpaka muda huo wanaume sita walikuwa hawana kazi wangeweza kuifanya hapo walitakiwa kuwahishwa kwenye vyumba vya wagongwa mahututi mbele yake walibaki makomando sita walioshiba vyema, hali yake ilikuwa inazidi kuwa mbaya sana Alen alipiga magoti akiwa anatokwa na damu nyingi sana ni wazi nafsi ilitaka ila mwili ulimkatalia kabisa alitumia dakika moja mpaka kufanikiwa kusimama tena.

Nyembe mbili ambazo zilikuwa kwenye mikono yake zilibinuliwa kwa vidole na kusafiri kwa sipidi ambayo hata risasi isingeweza kuifikia zilizama kwenye mapaja ya wanaume wawili ambazo zilitokea mpaka upande wa pili maana yake zilikuwa zimechana chana mapaja yao na kupenya mpaka upande wa pili, ilikuwa inatishia amani kuushuhudia huo unyama ambao kwa akili za kibinadamu ilikuwa haiwezekani mtu kuwa na nguvu za kuifanya nyembe izame kwa ukubwa kiasi hicho licha ya kukutana na ugumu wa mishipa ya paja, walikuwa chini wakiwa wanapiga makelele na kulia mno. Bahati mbaya kwake wakati anataka kuanza kuwafuata vijana wake wanne ambao walikuwa mbele yake alipigwa risasi tano kwenye miguu yake na kifuani zilimlegeza kiasi kwa sababu watu hao walibaki wanne tu na walijua wakicheza vibaya hakuna atakaye fanikiwa kutoka humo ndani aliendelea kulegea, miguu ilikuwa haina kazi baada ya kumiminiwa risasi za kutosha alipiga makelele sana mwanaume huyo.

Ulikuwa kama mzimu kwa nguvu alizo nyanyuka nazo aliwashika vijana wawili licha ya kumpiga na mashine kali za shoti kwenye mwili wake aliwagonganisha vichwa vyao wote wawili walikufa hapo hapo baada ya vichwa kuchanikana na kupasuka vibaya sana tukio hilo lilimfanya Kani azimie hakuwa akiamini kama aliyekuwa anamuona mbele yake ndiye huyo ambaye aliwahi kumsaidia huko Arusha na ndo yule Alen mlaini ambaye aliamini hana hata uwezo wa kuushika upanga kuicharanga hata nyama ya kuku vizuri na watu wakala leo alikua anawafanya wanadamu wenzake mambo ya kutishia amani ya ulimwengu alishindwa kabisa kustahimili hilo jambo. Kiongozi wa hao wanaume kumi na wawili ambao mpaka wakati huo waliokuwa wamesimama walibaki ni wawili tu alifumba macho baada ya kuona Alen anakuja na ngumi mbili upande ambao yeye alikuwepo alijua wazi hana uwezo wa kuzizuia ngumi za huyo binadamu hata kama angeamua kufanya nini alikubali kama ni kufa afe tu uhatari wa mikono ya hicho kiumbe yeye alikuwa ni binadamu ambaye aliijua kuliko mtu yeyote yule chini ya hii dunia ndiye ambaye alikuwa amefundishwa na mwanaume huyo kwa muda mrefu zaidi, alikuwa akiendelea kuomba sala zake za mwisho hakuwa na imani ya kuendelea kuwa hai tena kama tu hizo ngumi zingempata kwenye mwili wake.

Lakini alishtushwa na sauti kubwa ya kishindo cha mtu kudondoka aliyafumbua macho yake na kutazama nini kilikuwa kimetokea alishangaa mtu huyo alikuwa amedondoka chini akiwa kwenye dimbwi zito la damu, machozi yalimtoka ni wazi hakuwa akihitaji kumuona mtu huyo ambaye alimhusudu na kumuona kama role model wa maisha yake akiwa kwenye hali kama hiyo na ubaya yeye ndiye aliyekuwa amesababisha ila mamlaka zilitaka iwe hivyo hakuwa na namna angeweza kufanya kuweza kuliokoa hilo. Aligeuka kuangalia mwanaume huyo aliweza vipi kudondoka ikiwa ni sentimita chache tu zilikuwa zimebakia za yeye kufikiwa na huyo kiumbe pembeni yake alikuwa amesimama mwenzake ambaye alikuwa amempiga mwanaume huyo risasi tatu mgongoni ndizo zilizo mmaliza nguvu zote na kuweza kudondoka akiwa ameyafumbua macho yake anaona kwa mbali macho yake yalikuwa yameelekezwa upande ambao Kani alikuwa amelala.

“Nakufa nakufa nakufa mama weeeeeeeee” Kani alishtuka akiwa anahema kwa nguvu alihitaji kukimbia mwili ulimsaliti hakuwa na hizo nguvu akiwa ana angalia huku na huku alishangaa anamuona rafiki yake ambaye yeye mwenyewe ndiye aliye msaliti akiwa kwenye dimbwi zito la damu alimeza mate kwa shida sekunde mbili tu aliweza kusikia sauti ya taabu kutoka kwa huyo rafiki yake Alen.

“Kama ungejua madhara ya hiki ulicho kifanya siku ya leo basi usingethubutu kabisa kufanya hivi, hakikisha ninaenda kufa huko wanako nipeleka ila kama nitarudi tena basi omba MUNGU nikute wewe ndiye umekufa” ni kauli ya msisitizo ambayo ilitoka kwenye mdomo wa Alen kwa kitetemeshi ila ilisikika vizuri sana kisha Alen aliyafumba macho yake.

“Huyo ndiye binadamu unayemwita Alen ambaye ulikuwa una jeuri kwamba unamjua ndicho hicho kiumbe nadhani umekiona kilivyo hapo ulikuwa tayari umesha mlegeza nguvu zake zote angalia unyama alio ufanya je angekuwa kwenye utimamu wake unahisi nini kingetokea hapa?” ni kiongozi wa hao watu ambaye alikuwa amepiga magoti sehemu ambayo Alen alidondokea akiwa anamchoma sindano nyingi sana na kumfunga kwa minyororo kwenye mwili wake akiwa anasaidiana na yule mwenzake ambaye naye alibahatika kuachwa wa afya kabisa wawili walikuwa wamekufa ila nane walikuwa kwenye hali mbaya na maumivu makali mno.


Huyu ndiye Alen tumemjua kwa uchache sana akiwa kwenye hali mbaya unadhani akiwa kwenye hali yake ya kawaida anakuaje? Hao watu zaidi ya 150 ambao anasadikika aliwaua ikiwa 50 ni wa familia mbili ambazo zilikuwa na urafiki mkubwa kuna kipi kilipelekea mpaka afanye hivyo? yeye ni jasusi na komando sasa kwanini mamlaka za nchi yake zinahitaji akafungwe sehemu ambayo hatawez kutoka kwenye maisha yake yote mpaka anakufa na mamalaka za magaharibi mwa Afrika kwanini zinahitaji kumuua?....Alen mimi napenda kumuita Zakaria ni nani?............acha muda uamue kutupatia majibu, ukurasa wa 6 sina la ziada niseme tu bye-bye.


Bux the story teller.View attachment 2397148

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA SABA

TULIPO ISHIA UKURASA WA SITA


“Huyo ndiye binadamu unayemwita Alen ambaye ulikuwa una jeuri kwamba unamjua ndicho hicho kiumbe nadhani umekiona kilivyo hapo ulikuwa tayari umesha mlegeza nguvu zake zote angalia unyama alio ufanya je angekuwa kwenye utimamu wake unahisi nini kingetokea hapa?” ni kiongozi wa hao watu ambaye alikuwa amepiga magoti sehemu ambayo Alen alidondokea akiwa anamchoma sindano nyingi sana na kumfunga kwa minyororo kwenye mwili wake akiwa anasaidiana na yule mwenzake ambaye naye alibahatika kuachwa wa afya kabisa wawili walikuwa wamekufa ila nane walikuwa kwenye hali mbaya na maumivu makali mno.

ENDELEA.......................

Mambo ambayo alikuwa amefanikiwa kuyashuhudia pale yalitosha kumlainisha mwili wake alipewa onyo kwamba endapo mtu huyo atarudi akiwa yupo hai basi ahakikishe anakuta Kani alishakufa ila kama atakuwa hai dunia itampa somo kwanini kuna matabaka miongoni mwa wanadamu wakati wote wanazaliwa na wanawake, alikuwa anajifuta jasho lake akiwa anawafuata kwa nyuma wanaume hao ambao walimaliza kumpakiza kwenye gari Alen pamoja na kuwachukua wenzao ambao hali zao zilikuwa mbaya sana nao walipakizwa kwenye gari bila kusahau maiti mbili ambazo vichwa vyao vilikuwa havitamaniki kabisa.

“Kwa haya yote ambayo umeweza kuyaona hii leo basi hakikisha unakuwa bubu na kuwa kipofu kwa wakati mmoja hakuna mtu ambaye atatakiwa kujua chochote ambacho kimeweza kutokea hilo unapaswa sana kulihifadhi kwa usahihi kwenye akili yao mpaka siku unaingia kaburini ikitokea siku hata moja tu haya mambo yakaja kusambaa kwa watu basi hautamaliza hata nusu saa ukiendelea kuivuta pumzi ya dunia hii. Huyu mtu kama kuna kitu chake chochote ambacho alikuwa nacho kwenye maisha yake na unakijua basi hakikisha unakichukua kinakuwa cha kwako kwa sababu yeye hatakuja kurudi tena kwenye haya maisha ya kawaida na hutakuja kumuona tena kwenye maisha yako, ulitakiwa kufa ila tunakuacha hai kwa sababu haya mambo hayakuhusu kabisa hakikisha unayaishi haya maneno ambayo nimekwambia asubuhi hii hapa siku zote za uhai wako hapa duniani” mwanaume huyo alikuwa akiongea kwa sauti nzito mno yenye kumaanisha vilivyo, wakati huo alimrushia mabegi mawili yaliyokuwa yamefungwa vizuri Kani bila shaka alijua hizo ni pesa ambazo aliahidiwa na watu hao kwamba kama kazi yao itakamilika basi ataagana na umaskini kabisa kwenye maisha yake japo ilikuwa ni kwa njia ya kuweza kumuuza mwenzake, pesa ni mwana haramu walisema wahenga Kani alichekelea sana mabegi hayo wakati akikimbilia ndani kwenda kuyaficha huku wanaume wa kazi walitoka ndani ya geti la nyumba yake na kupotea na gari yao kubwa ambayo wote walienea kwa kasi ya ajabu.

Kwake maisha yalikuwa yameenda kwa spidi isiyo ya kawaida kwa muda mchache mno tangu siku ambayo aliipokea simu ya kwanza baada ya miaka mitano kutoka kwa rafiki yake ndiyo siku ambayo maisha yake kwa ujumla yalibadilika sana mpaka leo hii alikuwa anajiona kama mtu ambaye alibahatika kabisa kujiokotea kapu la pesa ambalo lilikuwa limepotea ghafla kwenye msitu na yeye kama muwindaji alilipata kiwepesi mno kwa kukubali kuifanya kazi ambayo alipewa na watu ambao hakuwajua mapema kwamba ni watu wa aina gani, kuna muda nafsi yake ilikuwa inamsuta kwamba amefanya kitu cha hovyo sana kuweza kumharibia maisha mwanaume ambaye alimsaidia ila kuna muda alijipa moyo kwamba huenda alikuwa akiishi karibu na gaidi la kutisha hivyo hata yeye angeweza kuuawa kama angecheza vibaya na mtu huyo. Fikra zilimpeleka mbali sana akiwaza namna alivyoweza kukutana na mtu huyo akiwa kwenye njaa kali mpaka siku anafanikiwa kutoroka Arusha ndani ya hospitali tena kwenye mazingira ya kutatanisha sana aliwaza kuna sababu ipi ambayo mtu huyo alitorokea? Wazo kubwa lilikuwa ni kwamba mwanaume huyo atakuwa alikuwa ameiba madini lakini mbona hakukuwa na dalili za madini yoyote yale kupotea hata baada ya yeye kufungwa jela baada ya rafiki yake kupotea kwani walijua watakuwa na njama moja ila baadae iligundulika hakuna kitu ambacho kiliweza kupotea.

Pesa ambazo ghafla tu alimkuta nazo zilimtia shaka na kumpatia sana wasiwasi hakuelewa ni kwa namna gani mwanaume huyo aliweza kuzipata pesa nyingi sana, alinyanyuka hapo alipokuwa na kwenda kwenye friji akiwa anaziruka damu nyingi ambazo bado zilikuwa chini ya sakafu yake alitoa maji ya baridi sana alijimwagia kwenye mwili wake ili akili imkae sawa kwa sababu alihisi kama vile alikuwa anachanganyikiwa mengine alikunywa yote mpaka pale alipo hakikisha amekuwa sawa akiwa anatetemeka alikifuata kisu kwenye chumba cha jiko na kurudi nacho aliyakata kwa kisu yale mabegi yote mawili na kuyakung’utia mezani akiwa amefunga milango yote mwilini mwake alitoa nguo zote kutokana na maji ya baridi ambayo alikuwa amejimwagia kiufupi ni kwamba alikuwa yupo uchi wa mnyama kabisa bila nguo hata ya kuzugia.

Alikaa kwenye sofa moja zuri akiwa anazikadiria hizo pesa ambazo zilisambaa na kujaa kwenye meza yote hiyo, hazikuwa shilingi za kitanzania zilikuwa ni dola za kimarekani kwa kuzibadilisha kuja kwa Tanzania ni pesa ambazo hata wajukuu wake wangekuja kuzitumia ikiwa bado hazijaisha. Alikumbuka matukio ambayo aliyaona humo ndani kwake bado alikuwa ana wasi wasi simulizi ya Alen ilikuwa imesalia kwa kiasi kikubwa sana kwenye ubongo wake hakuwa akiamini kwamba yule ni wanadamu kama walivyokuwa wanadamu wenzake ila hakuwa na uwezo wa kupingana na mawazo ambayo yangemuumiza akili kwa simulizi ambayo binafsi hata yeye ilimuweka njiapanda. Alitabasamu sana bada ya kukumbuka kauli ya yule mwanaume kwamba kama kuna kitu chochote alichokuwa nacho Alen basi kuanzia muda huo kitakuwa ni cha kwake akili ilimpelekea kwanza kwenye umbo na sura nzuri sana aliyokuwa nayo mke wa Alen alijikuta anatabasamu na kujilamba midomo yake akiwa anaziangalia sehemu zake za siri kwa bashasha ni wazi zilikuwa zinaenda kumfaidi mwanamke yule mzuri sana alijikuta akicheka mno ushindi ulikuwa kwenye mkono wake, alikuwa na pesa za kutisha amhofie nani wakati nchi ni yake.


Alichukua nguo zake mpya akazivaa na kufunga ndani kwake pesa akiwa ameziacha pale pale mezani alienda moja kwa moja kwenye duka moja kubwa la mpemba mmoja kuna dawa moja hivi aliulizia bei yake kisha akainunua huku akiwa anacheka cheka safari yake moja kwa moja ilikuwa ni kuelekea posta ambako alijua yeye alichokuwa anaenda kukifanya. Alifika nje ya nyumba ya rafiki yake Alen aligonga mara moja tu mlango ulifunguliwa

“Shemeji huyo karibu” ilikuwa ni sauti ya bashasha kutoka kwenye kinywa cha mwanamke ambaye ndiye alikuwa amemjia hapo siku hiyo ikiwa ni mapema sana hata muda wa chakula cha mchana ulikuwa bado.

“Nishakaribia hahhahaha leo shemeji naomba uniandalie chakula na kinywaji kizuri tunywe wote halafu nimle mpishi kwa raha zangu” kauli yake ni kama ilimshtua kidogo mke wa Alen ila hakuona tatizo huyo alikuwa rafiki ambaye mumewe ndiye aliye mtambulisha kwenye familia hiyo hivyo hakuwa na wasiwasi naye kabisa maskini hata hakuwa akijua ni kitu gani kimemkuta mumewe na mwanaume huyo amefuata nini hapo.

“Unapenda nini shemeji?”

“Mtoto yuko wapi kwanza sijamuona tangu nifike hapa?” kabla hajajibu alichokuwa ameulizwa alitaka kujua kama mtoto yupo ili ajue namna ya kuyaweka mazingira yake vizuri.

“Yupo shule saivi atarudi baadaye baba yake atamfuata kama akichelewa kidogo kufika”

“Sawa shemeji naomba juice ya baridi uje na glasi mbili unipe kampani kidogo maana kunywa mwenyewe huwa inaboa sana muda mwingine” alikuwa anazipiga hesabu zake mithili ya Ronaldinho anapokuwa karibu na lango la golikipa hawezi kukuacha salama hata uwe nani. Mrembo ambaye bila shaka aliamua tu kuwa mwanamke bora wa familia ila angeamua kuutumia mwili wake ipasavyo basi huenda angekuwa mwanamke wa kugombaniwa na kila mtu mwenye pesa za kutosha alikuwa mrembo mno na kwake haikuwa tatizo aligeuka na kwenda kuzichukua juice kwenye friji na kuzimimina glasi mbili yake na ya mgeni wake Kani ambaye alikuwa ni shemeji kwa heshima ila hakujua ile kugeuka geuka namna sehemu za nyuma za mwili wake zilivyokuwa zinacheza cheza alikuwa akizidi kumchanganya kichwa Kani ambaye alikuwa akijiapia siku hiyo haitaisha hivi hivi.



“Naomba niongeze na maji shemeji yangu” maneno ya Kani yalikuwa ni ya mitego lilikuwa ni kosa kubwa sana kwa mke wa Alen kuugeuza mgongo wake ili kurudi kuyachukua maji ambayo aliyaomba shemeji yake, huo ndio muda ambao Kani aliutumia kwa usahihi kuweza kuimiminia ile dawa ambayo aliinunua na kuichanganya vyema juisi hiyo huku akiichukua yake na kuendelea kuibugia kwenye mdomo wake bila shaka. Shemeji yake alirudi na maji na kuketi huku Kani akiwa anajichekesha chekesha tu muda wote kitu ambacho kilimtia sana wasiwasi mwanamke huyo ila hakuwa na tatizo naye hivyo alikuwa na imani na kila ambacho kilikuwa kinaendelea mahali hapo. Aliichukua ile juisi na kuinywa bila hofu ilimchukua sekunde thelathini tu pekee za kuanza kulainika mwili wake ulikosa kabisa nguvu alitamani kusimama hakuweza, alijilaza upande kwenye sofa ambalo alilikalia na kulifanya gauni lake lipande kwa juu na kupelekea nguo za ndani kuanza kuonekana ambazo zilimfanya Kani aanze kutokwa na udenda hapo alipokuwa amekaa.

Pepo la ngono lilikuwa linampanda kwa kasi wakati huo mke wa rafiki yake alikuwa anajiuliza imekuwaje hakupata jibu ila alishtuka baada ya kumuona shemeji yake huyo akienda mlangoni na kupafunga vizuri kisha akavua nguo zake zote na kubaki uchi wa mnyama kabisa, alitamani akimbie mwili ulimsaliti hakuwa na nguvu za kunyanyua hata mkono wake hapo ndipo alipogundua ile juisi ambayo alikuwa amekunywa haikuwa yenyewe kuna madawa aliwekewa hata hivyo alikuwa amechelewa sana mwanaume huyo alisogea pale ambapo alikuwepo yeye na kuanza kumvua nguo zake zote kitu kilicho mfanya aishie kutoa machozi sana kama ishara ya kumuomba mwanaume huyo aweze kumhurumia na kumuacha ila ni kama alikuwa akimpigia mbuzi gitaa hakukuwa na mtu wa kumsikiliza kwa uzuri aliokuwa nao hakuna mwanaume angeweza kumuacha. Wote walibaki uchi wa mnyama kabisa yeye akiwa hajiwezi kwa lolote kisha mwanaume akamimina maji ya baridi ili kuongeza nguvu kwenye mwili wake

“Utanisamehe sana kwa hiki ninacho enda kukifanya kwako, mimi ni mwanaume rijali haswa nisingeweza kuvumilia kukuona ukiwa una nyama zilizo nona kiasi hiki na nikakuacha mimi nipo tayari kukuoa na kukufanya kuwa mke wangu kabisa wa ndoa kwenye maisha yangu nina kila kitu ambacho kinaweza kukufanya ukawa mwenye furaha sana, hakuna kitu kikubwa ambacho kimenishawishi kuyafanya haya zaidi ya huo uzuri ambao umependelewa kwenye ulimwengu wa siku hizi. Nina uwezo wa kumpata mwanamke yeyote kwa sasa ila ni bahati mbaya sana nimetokea kukupenda wewe nahitaji kuishi nawewe kwa sababu rafiki yangu ameshapotea kwenye ulimwengu huu wa kawaida na kwenda mbali sana ni wazi hatutapata bahati ya kuweza kumuona tena ndiyo sababu nimechukua jukumu la kuwa nawewe ili niweze kuitunza familia hii mwenyewe, nyama zako zilivyo jigawa, huo uso wako unanifanya nisiishiwe hamu ya kulifaidi hilo tunda lako siku ya leo im coming babe” mwanaume aliachia glasi ambayo ilitumika kuwekea maji ambayo alikuwa ameyamaliza kabisa na kuanza kumsogelea mwanamke huyo.

Kwake yalikuwa ni maumivu mazito kuambiwa hatamuona tena mumewe ambaye alimpenda kuliko mwanadamu yeyote yule ukimtoa mtoto wake wa kumzaa, machozi yalikuwa yanamtoka ila hakuwa na kitu angeweza fanya. Mwanaume taratibu alianza kupita na ulimi wake ambao ulikuwa ni wimbo mzuri sana kwenye Sanaa ya mapenzi kitandani mke wa Alen alibaki ameyafumba macho yake mwanaume hakuchukua muda mrefu sana kwa sababu alikuwa ana hamu mno na hilo tunda ambalo lilikuwa safi na la kuvutia kupita kiasi aliushika mhogo wake na kuuzamisha sehemu ambayo ilikuwa ni ndoto yake alilifurahia sana joto ambalo alikutana nalo huko ndani huku akisahau kabisa kwamba alikuwa anaidhulumu nafsi ya rafiki yake kipenzi. Alivizungusha viuno ambavyo hakuwahi kuvizungusha alimgeuza mwanamke huyo kwa kila mtindo ambao akili yake ilimtuma kwa sababu alikuwa hamuishi hamu mwanamke huyo mzuri sana, baada ya kufika safari yake aliamua kumbebea mrembo huyo kisha akampeleka chumbani tena kwenye kitanda cha rafiki yake na kuendelea na shughuli nzito ambayo ilianzia muda huo wa mchana na kuja kuimaliza saa kumi na mbili za jioni akiwa hoi hata mwanamke huyo alionekana kuwa hoi sana Kani hakuchukua muda alipitiwa na usingizi mzito mno.

Alikuja kushtuka kesho yake majira ya asubuhi kabisa, alikuwa amechoka sana kwa saababu alionekana kuikamia mechi ambayo ilimfanya ahisi yupo anaelea hapa duniani, alitabasamu mno baada ya kulikumbuka tukio la jana alijipa imani kwa alichoweza kukifanya mwanamke huyo moja kwa moja lazima atakubali kuolewa naye. Aligeuka upande wa pili mwa hicho kitanda hakuona mtu basi akatoka nje ya hicho chumba akiwa uchi wa mnyama bado hakuona mtu yeyote yule alifika mpaka sebuleni baada ya kushuka ngazi za kutokea chumbani lakini bado hakuona mtu nguo zake na za shemeji yake zilikuwa pale pale kwenye masofa ambapo alizitupia yeye alishangaa sana nyumba nzima hakukuwa na mtu yeyote ile.

Ilipita wiki moja bila kuwaona wala kusikia taarifa za huyo mke wa rafiki yake ambaye siku ya mwisho alifanya naye mapenzi sana ikiwa mwanamke huyo hakuridhia hicho kitu, zilikuja taarifa za kutisha ambazo kwenye masikio yake hazikuwa nzuri ukizingatia alikuwa amesha anza kumpenda huyo mwanamke sana tu, yeye pamoja na mtoto wake walikutwa wamechinjwa na kutupwa pembezoni mwa bahari mwanamke huyo akiwa amebakwa.

Who is in the game?........ unadhani ni mnyama gani mwingine ambaye amejitokeza na kuyatenda haya kwa mke wa Alen? Kani nini atakifanya na hatima yake ni ipi? mwanzo mpya wa maisha ya Alen unakuwaje?...........muda ni mchache mno mambo hayatoshi nachoweza kusema tu ni kwamba muda utatoa hukumu wa haya yote endelea kuungana namimi kwenye kitu kizito hiki kiitwacho GEREZA LA HAZWA.

Sehemu ya saba niseme tu bye-bye

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA SABA

TULIPO ISHIA UKURASA WA SITA


“Huyo ndiye binadamu unayemwita Alen ambaye ulikuwa una jeuri kwamba unamjua ndicho hicho kiumbe nadhani umekiona kilivyo hapo ulikuwa tayari umesha mlegeza nguvu zake zote angalia unyama alio ufanya je angekuwa kwenye utimamu wake unahisi nini kingetokea hapa?” ni kiongozi wa hao watu ambaye alikuwa amepiga magoti sehemu ambayo Alen alidondokea akiwa anamchoma sindano nyingi sana na kumfunga kwa minyororo kwenye mwili wake akiwa anasaidiana na yule mwenzake ambaye naye alibahatika kuachwa wa afya kabisa wawili walikuwa wamekufa ila nane walikuwa kwenye hali mbaya na maumivu makali mno.

ENDELEA.......................

Mambo ambayo alikuwa amefanikiwa kuyashuhudia pale yalitosha kumlainisha mwili wake alipewa onyo kwamba endapo mtu huyo atarudi akiwa yupo hai basi ahakikishe anakuta Kani alishakufa ila kama atakuwa hai dunia itampa somo kwanini kuna matabaka miongoni mwa wanadamu wakati wote wanazaliwa na wanawake, alikuwa anajifuta jasho lake akiwa anawafuata kwa nyuma wanaume hao ambao walimaliza kumpakiza kwenye gari Alen pamoja na kuwachukua wenzao ambao hali zao zilikuwa mbaya sana nao walipakizwa kwenye gari bila kusahau maiti mbili ambazo vichwa vyao vilikuwa havitamaniki kabisa.

“Kwa haya yote ambayo umeweza kuyaona hii leo basi hakikisha unakuwa bubu na kuwa kipofu kwa wakati mmoja hakuna mtu ambaye atatakiwa kujua chochote ambacho kimeweza kutokea hilo unapaswa sana kulihifadhi kwa usahihi kwenye akili yao mpaka siku unaingia kaburini ikitokea siku hata moja tu haya mambo yakaja kusambaa kwa watu basi hautamaliza hata nusu saa ukiendelea kuivuta pumzi ya dunia hii. Huyu mtu kama kuna kitu chake chochote ambacho alikuwa nacho kwenye maisha yake na unakijua basi hakikisha unakichukua kinakuwa cha kwako kwa sababu yeye hatakuja kurudi tena kwenye haya maisha ya kawaida na hutakuja kumuona tena kwenye maisha yako, ulitakiwa kufa ila tunakuacha hai kwa sababu haya mambo hayakuhusu kabisa hakikisha unayaishi haya maneno ambayo nimekwambia asubuhi hii hapa siku zote za uhai wako hapa duniani” mwanaume huyo alikuwa akiongea kwa sauti nzito mno yenye kumaanisha vilivyo, wakati huo alimrushia mabegi mawili yaliyokuwa yamefungwa vizuri Kani bila shaka alijua hizo ni pesa ambazo aliahidiwa na watu hao kwamba kama kazi yao itakamilika basi ataagana na umaskini kabisa kwenye maisha yake japo ilikuwa ni kwa njia ya kuweza kumuuza mwenzake, pesa ni mwana haramu walisema wahenga Kani alichekelea sana mabegi hayo wakati akikimbilia ndani kwenda kuyaficha huku wanaume wa kazi walitoka ndani ya geti la nyumba yake na kupotea na gari yao kubwa ambayo wote walienea kwa kasi ya ajabu.

Kwake maisha yalikuwa yameenda kwa spidi isiyo ya kawaida kwa muda mchache mno tangu siku ambayo aliipokea simu ya kwanza baada ya miaka mitano kutoka kwa rafiki yake ndiyo siku ambayo maisha yake kwa ujumla yalibadilika sana mpaka leo hii alikuwa anajiona kama mtu ambaye alibahatika kabisa kujiokotea kapu la pesa ambalo lilikuwa limepotea ghafla kwenye msitu na yeye kama muwindaji alilipata kiwepesi mno kwa kukubali kuifanya kazi ambayo alipewa na watu ambao hakuwajua mapema kwamba ni watu wa aina gani, kuna muda nafsi yake ilikuwa inamsuta kwamba amefanya kitu cha hovyo sana kuweza kumharibia maisha mwanaume ambaye alimsaidia ila kuna muda alijipa moyo kwamba huenda alikuwa akiishi karibu na gaidi la kutisha hivyo hata yeye angeweza kuuawa kama angecheza vibaya na mtu huyo. Fikra zilimpeleka mbali sana akiwaza namna alivyoweza kukutana na mtu huyo akiwa kwenye njaa kali mpaka siku anafanikiwa kutoroka Arusha ndani ya hospitali tena kwenye mazingira ya kutatanisha sana aliwaza kuna sababu ipi ambayo mtu huyo alitorokea? Wazo kubwa lilikuwa ni kwamba mwanaume huyo atakuwa alikuwa ameiba madini lakini mbona hakukuwa na dalili za madini yoyote yale kupotea hata baada ya yeye kufungwa jela baada ya rafiki yake kupotea kwani walijua watakuwa na njama moja ila baadae iligundulika hakuna kitu ambacho kiliweza kupotea.

Pesa ambazo ghafla tu alimkuta nazo zilimtia shaka na kumpatia sana wasiwasi hakuelewa ni kwa namna gani mwanaume huyo aliweza kuzipata pesa nyingi sana, alinyanyuka hapo alipokuwa na kwenda kwenye friji akiwa anaziruka damu nyingi ambazo bado zilikuwa chini ya sakafu yake alitoa maji ya baridi sana alijimwagia kwenye mwili wake ili akili imkae sawa kwa sababu alihisi kama vile alikuwa anachanganyikiwa mengine alikunywa yote mpaka pale alipo hakikisha amekuwa sawa akiwa anatetemeka alikifuata kisu kwenye chumba cha jiko na kurudi nacho aliyakata kwa kisu yale mabegi yote mawili na kuyakung’utia mezani akiwa amefunga milango yote mwilini mwake alitoa nguo zote kutokana na maji ya baridi ambayo alikuwa amejimwagia kiufupi ni kwamba alikuwa yupo uchi wa mnyama kabisa bila nguo hata ya kuzugia.

Alikaa kwenye sofa moja zuri akiwa anazikadiria hizo pesa ambazo zilisambaa na kujaa kwenye meza yote hiyo, hazikuwa shilingi za kitanzania zilikuwa ni dola za kimarekani kwa kuzibadilisha kuja kwa Tanzania ni pesa ambazo hata wajukuu wake wangekuja kuzitumia ikiwa bado hazijaisha. Alikumbuka matukio ambayo aliyaona humo ndani kwake bado alikuwa ana wasi wasi simulizi ya Alen ilikuwa imesalia kwa kiasi kikubwa sana kwenye ubongo wake hakuwa akiamini kwamba yule ni wanadamu kama walivyokuwa wanadamu wenzake ila hakuwa na uwezo wa kupingana na mawazo ambayo yangemuumiza akili kwa simulizi ambayo binafsi hata yeye ilimuweka njiapanda. Alitabasamu sana bada ya kukumbuka kauli ya yule mwanaume kwamba kama kuna kitu chochote alichokuwa nacho Alen basi kuanzia muda huo kitakuwa ni cha kwake akili ilimpelekea kwanza kwenye umbo na sura nzuri sana aliyokuwa nayo mke wa Alen alijikuta anatabasamu na kujilamba midomo yake akiwa anaziangalia sehemu zake za siri kwa bashasha ni wazi zilikuwa zinaenda kumfaidi mwanamke yule mzuri sana alijikuta akicheka mno ushindi ulikuwa kwenye mkono wake, alikuwa na pesa za kutisha amhofie nani wakati nchi ni yake.


Alichukua nguo zake mpya akazivaa na kufunga ndani kwake pesa akiwa ameziacha pale pale mezani alienda moja kwa moja kwenye duka moja kubwa la mpemba mmoja kuna dawa moja hivi aliulizia bei yake kisha akainunua huku akiwa anacheka cheka safari yake moja kwa moja ilikuwa ni kuelekea posta ambako alijua yeye alichokuwa anaenda kukifanya. Alifika nje ya nyumba ya rafiki yake Alen aligonga mara moja tu mlango ulifunguliwa

“Shemeji huyo karibu” ilikuwa ni sauti ya bashasha kutoka kwenye kinywa cha mwanamke ambaye ndiye alikuwa amemjia hapo siku hiyo ikiwa ni mapema sana hata muda wa chakula cha mchana ulikuwa bado.

“Nishakaribia hahhahaha leo shemeji naomba uniandalie chakula na kinywaji kizuri tunywe wote halafu nimle mpishi kwa raha zangu” kauli yake ni kama ilimshtua kidogo mke wa Alen ila hakuona tatizo huyo alikuwa rafiki ambaye mumewe ndiye aliye mtambulisha kwenye familia hiyo hivyo hakuwa na wasiwasi naye kabisa maskini hata hakuwa akijua ni kitu gani kimemkuta mumewe na mwanaume huyo amefuata nini hapo.

“Unapenda nini shemeji?”

“Mtoto yuko wapi kwanza sijamuona tangu nifike hapa?” kabla hajajibu alichokuwa ameulizwa alitaka kujua kama mtoto yupo ili ajue namna ya kuyaweka mazingira yake vizuri.

“Yupo shule saivi atarudi baadaye baba yake atamfuata kama akichelewa kidogo kufika”

“Sawa shemeji naomba juice ya baridi uje na glasi mbili unipe kampani kidogo maana kunywa mwenyewe huwa inaboa sana muda mwingine” alikuwa anazipiga hesabu zake mithili ya Ronaldinho anapokuwa karibu na lango la golikipa hawezi kukuacha salama hata uwe nani. Mrembo ambaye bila shaka aliamua tu kuwa mwanamke bora wa familia ila angeamua kuutumia mwili wake ipasavyo basi huenda angekuwa mwanamke wa kugombaniwa na kila mtu mwenye pesa za kutosha alikuwa mrembo mno na kwake haikuwa tatizo aligeuka na kwenda kuzichukua juice kwenye friji na kuzimimina glasi mbili yake na ya mgeni wake Kani ambaye alikuwa ni shemeji kwa heshima ila hakujua ile kugeuka geuka namna sehemu za nyuma za mwili wake zilivyokuwa zinacheza cheza alikuwa akizidi kumchanganya kichwa Kani ambaye alikuwa akijiapia siku hiyo haitaisha hivi hivi.



“Naomba niongeze na maji shemeji yangu” maneno ya Kani yalikuwa ni ya mitego lilikuwa ni kosa kubwa sana kwa mke wa Alen kuugeuza mgongo wake ili kurudi kuyachukua maji ambayo aliyaomba shemeji yake, huo ndio muda ambao Kani aliutumia kwa usahihi kuweza kuimiminia ile dawa ambayo aliinunua na kuichanganya vyema juisi hiyo huku akiichukua yake na kuendelea kuibugia kwenye mdomo wake bila shaka. Shemeji yake alirudi na maji na kuketi huku Kani akiwa anajichekesha chekesha tu muda wote kitu ambacho kilimtia sana wasiwasi mwanamke huyo ila hakuwa na tatizo naye hivyo alikuwa na imani na kila ambacho kilikuwa kinaendelea mahali hapo. Aliichukua ile juisi na kuinywa bila hofu ilimchukua sekunde thelathini tu pekee za kuanza kulainika mwili wake ulikosa kabisa nguvu alitamani kusimama hakuweza, alijilaza upande kwenye sofa ambalo alilikalia na kulifanya gauni lake lipande kwa juu na kupelekea nguo za ndani kuanza kuonekana ambazo zilimfanya Kani aanze kutokwa na udenda hapo alipokuwa amekaa.

Pepo la ngono lilikuwa linampanda kwa kasi wakati huo mke wa rafiki yake alikuwa anajiuliza imekuwaje hakupata jibu ila alishtuka baada ya kumuona shemeji yake huyo akienda mlangoni na kupafunga vizuri kisha akavua nguo zake zote na kubaki uchi wa mnyama kabisa, alitamani akimbie mwili ulimsaliti hakuwa na nguvu za kunyanyua hata mkono wake hapo ndipo alipogundua ile juisi ambayo alikuwa amekunywa haikuwa yenyewe kuna madawa aliwekewa hata hivyo alikuwa amechelewa sana mwanaume huyo alisogea pale ambapo alikuwepo yeye na kuanza kumvua nguo zake zote kitu kilicho mfanya aishie kutoa machozi sana kama ishara ya kumuomba mwanaume huyo aweze kumhurumia na kumuacha ila ni kama alikuwa akimpigia mbuzi gitaa hakukuwa na mtu wa kumsikiliza kwa uzuri aliokuwa nao hakuna mwanaume angeweza kumuacha. Wote walibaki uchi wa mnyama kabisa yeye akiwa hajiwezi kwa lolote kisha mwanaume akamimina maji ya baridi ili kuongeza nguvu kwenye mwili wake

“Utanisamehe sana kwa hiki ninacho enda kukifanya kwako, mimi ni mwanaume rijali haswa nisingeweza kuvumilia kukuona ukiwa una nyama zilizo nona kiasi hiki na nikakuacha mimi nipo tayari kukuoa na kukufanya kuwa mke wangu kabisa wa ndoa kwenye maisha yangu nina kila kitu ambacho kinaweza kukufanya ukawa mwenye furaha sana, hakuna kitu kikubwa ambacho kimenishawishi kuyafanya haya zaidi ya huo uzuri ambao umependelewa kwenye ulimwengu wa siku hizi. Nina uwezo wa kumpata mwanamke yeyote kwa sasa ila ni bahati mbaya sana nimetokea kukupenda wewe nahitaji kuishi nawewe kwa sababu rafiki yangu ameshapotea kwenye ulimwengu huu wa kawaida na kwenda mbali sana ni wazi hatutapata bahati ya kuweza kumuona tena ndiyo sababu nimechukua jukumu la kuwa nawewe ili niweze kuitunza familia hii mwenyewe, nyama zako zilivyo jigawa, huo uso wako unanifanya nisiishiwe hamu ya kulifaidi hilo tunda lako siku ya leo im coming babe” mwanaume aliachia glasi ambayo ilitumika kuwekea maji ambayo alikuwa ameyamaliza kabisa na kuanza kumsogelea mwanamke huyo.

Kwake yalikuwa ni maumivu mazito kuambiwa hatamuona tena mumewe ambaye alimpenda kuliko mwanadamu yeyote yule ukimtoa mtoto wake wa kumzaa, machozi yalikuwa yanamtoka ila hakuwa na kitu angeweza fanya. Mwanaume taratibu alianza kupita na ulimi wake ambao ulikuwa ni wimbo mzuri sana kwenye Sanaa ya mapenzi kitandani mke wa Alen alibaki ameyafumba macho yake mwanaume hakuchukua muda mrefu sana kwa sababu alikuwa ana hamu mno na hilo tunda ambalo lilikuwa safi na la kuvutia kupita kiasi aliushika mhogo wake na kuuzamisha sehemu ambayo ilikuwa ni ndoto yake alilifurahia sana joto ambalo alikutana nalo huko ndani huku akisahau kabisa kwamba alikuwa anaidhulumu nafsi ya rafiki yake kipenzi. Alivizungusha viuno ambavyo hakuwahi kuvizungusha alimgeuza mwanamke huyo kwa kila mtindo ambao akili yake ilimtuma kwa sababu alikuwa hamuishi hamu mwanamke huyo mzuri sana, baada ya kufika safari yake aliamua kumbebea mrembo huyo kisha akampeleka chumbani tena kwenye kitanda cha rafiki yake na kuendelea na shughuli nzito ambayo ilianzia muda huo wa mchana na kuja kuimaliza saa kumi na mbili za jioni akiwa hoi hata mwanamke huyo alionekana kuwa hoi sana Kani hakuchukua muda alipitiwa na usingizi mzito mno.

Alikuja kushtuka kesho yake majira ya asubuhi kabisa, alikuwa amechoka sana kwa saababu alionekana kuikamia mechi ambayo ilimfanya ahisi yupo anaelea hapa duniani, alitabasamu mno baada ya kulikumbuka tukio la jana alijipa imani kwa alichoweza kukifanya mwanamke huyo moja kwa moja lazima atakubali kuolewa naye. Aligeuka upande wa pili mwa hicho kitanda hakuona mtu basi akatoka nje ya hicho chumba akiwa uchi wa mnyama bado hakuona mtu yeyote yule alifika mpaka sebuleni baada ya kushuka ngazi za kutokea chumbani lakini bado hakuona mtu nguo zake na za shemeji yake zilikuwa pale pale kwenye masofa ambapo alizitupia yeye alishangaa sana nyumba nzima hakukuwa na mtu yeyote ile.

Ilipita wiki moja bila kuwaona wala kusikia taarifa za huyo mke wa rafiki yake ambaye siku ya mwisho alifanya naye mapenzi sana ikiwa mwanamke huyo hakuridhia hicho kitu, zilikuja taarifa za kutisha ambazo kwenye masikio yake hazikuwa nzuri ukizingatia alikuwa amesha anza kumpenda huyo mwanamke sana tu, yeye pamoja na mtoto wake walikutwa wamechinjwa na kutupwa pembezoni mwa bahari mwanamke huyo akiwa amebakwa.

Who is in the game?........ unadhani ni mnyama gani mwingine ambaye amejitokeza na kuyatenda haya kwa mke wa Alen? Kani nini atakifanya na hatima yake ni ipi? mwanzo mpya wa maisha ya Alen unakuwaje?...........muda ni mchache mno mambo hayatoshi nachoweza kusema tu ni kwamba muda utatoa hukumu wa haya yote endelea kuungana namimi kwenye kitu kizito hiki kiitwacho GEREZA LA HAZWA.

Sehemu ya saba niseme tu bye-bye

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Mkuu

Hongera kwa kipaji

LAKINI

Unafikiri nani atakubali Kwamba stori hii ni ya kutunga BILA chanzo CHOCHOTE kile!!

Kuna uhalisia wa Jambo hilo JAPO umelifanya Kuwa story tu hasa kwenye Maisha haya ya umafia,JAMII za siri,ushirikina na utajiri wa kutupa wenye mashaka makubwa wa ulimwengu HUU!
 
Mkuu

Hongera kwa kipaji

LAKINI

Unafikiri nani atakubali Kwamba stori hii ni ya kutunga BILA chanzo CHOCHOTE kile!!

Kuna uhalisia wa Jambo hilo JAPO umelifanya Kuwa story tu hasa kwenye Maisha haya ya umafia,JAMII za siri,ushirikina na utajiri wa kutupa wenye mashaka makubwa wa ulimwengu HUU!
Sijawahi kuchukua uhalisia wa jambo lolote lile kwenye maandiko yangu, huwa nakaa nachora kila kitu na nikiweke vipi....ukifika kuanzia ukurasa wa 10+ nadhani utanielewa, haihusiani NA MTU YEYOTE, MAMLAKA wala taasisi yoyote ile sehemu yoyote ile duniani. Unaweza ukaileta sehemu au kitu ambacho unahisi inafanania, hakuna bosi wangu

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
Sijawahi kuchukua uhalisia wa jambo lolote lile kwenye maandiko yangu, huwa nakaa nachora kila kitu na nikiweke vipi....ukifika kuanzia ukurasa wa 10+ nadhani utanielewa, haihusiani NA MTU YEYOTE, MAMLAKA wala taasisi yoyote ile sehemu yoyote ile duniani. Unaweza ukaileta sehemu au kitu ambacho unahisi inafanania, hakuna bosi wangu

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Muendelezo lini!?
 
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA SABA

TULIPO ISHIA UKURASA WA SITA


“Huyo ndiye binadamu unayemwita Alen ambaye ulikuwa una jeuri kwamba unamjua ndicho hicho kiumbe nadhani umekiona kilivyo hapo ulikuwa tayari umesha mlegeza nguvu zake zote angalia unyama alio ufanya je angekuwa kwenye utimamu wake unahisi nini kingetokea hapa?” ni kiongozi wa hao watu ambaye alikuwa amepiga magoti sehemu ambayo Alen alidondokea akiwa anamchoma sindano nyingi sana na kumfunga kwa minyororo kwenye mwili wake akiwa anasaidiana na yule mwenzake ambaye naye alibahatika kuachwa wa afya kabisa wawili walikuwa wamekufa ila nane walikuwa kwenye hali mbaya na maumivu makali mno.

ENDELEA.......................

Mambo ambayo alikuwa amefanikiwa kuyashuhudia pale yalitosha kumlainisha mwili wake alipewa onyo kwamba endapo mtu huyo atarudi akiwa yupo hai basi ahakikishe anakuta Kani alishakufa ila kama atakuwa hai dunia itampa somo kwanini kuna matabaka miongoni mwa wanadamu wakati wote wanazaliwa na wanawake, alikuwa anajifuta jasho lake akiwa anawafuata kwa nyuma wanaume hao ambao walimaliza kumpakiza kwenye gari Alen pamoja na kuwachukua wenzao ambao hali zao zilikuwa mbaya sana nao walipakizwa kwenye gari bila kusahau maiti mbili ambazo vichwa vyao vilikuwa havitamaniki kabisa.

“Kwa haya yote ambayo umeweza kuyaona hii leo basi hakikisha unakuwa bubu na kuwa kipofu kwa wakati mmoja hakuna mtu ambaye atatakiwa kujua chochote ambacho kimeweza kutokea hilo unapaswa sana kulihifadhi kwa usahihi kwenye akili yao mpaka siku unaingia kaburini ikitokea siku hata moja tu haya mambo yakaja kusambaa kwa watu basi hautamaliza hata nusu saa ukiendelea kuivuta pumzi ya dunia hii. Huyu mtu kama kuna kitu chake chochote ambacho alikuwa nacho kwenye maisha yake na unakijua basi hakikisha unakichukua kinakuwa cha kwako kwa sababu yeye hatakuja kurudi tena kwenye haya maisha ya kawaida na hutakuja kumuona tena kwenye maisha yako, ulitakiwa kufa ila tunakuacha hai kwa sababu haya mambo hayakuhusu kabisa hakikisha unayaishi haya maneno ambayo nimekwambia asubuhi hii hapa siku zote za uhai wako hapa duniani” mwanaume huyo alikuwa akiongea kwa sauti nzito mno yenye kumaanisha vilivyo, wakati huo alimrushia mabegi mawili yaliyokuwa yamefungwa vizuri Kani bila shaka alijua hizo ni pesa ambazo aliahidiwa na watu hao kwamba kama kazi yao itakamilika basi ataagana na umaskini kabisa kwenye maisha yake japo ilikuwa ni kwa njia ya kuweza kumuuza mwenzake, pesa ni mwana haramu walisema wahenga Kani alichekelea sana mabegi hayo wakati akikimbilia ndani kwenda kuyaficha huku wanaume wa kazi walitoka ndani ya geti la nyumba yake na kupotea na gari yao kubwa ambayo wote walienea kwa kasi ya ajabu.

Kwake maisha yalikuwa yameenda kwa spidi isiyo ya kawaida kwa muda mchache mno tangu siku ambayo aliipokea simu ya kwanza baada ya miaka mitano kutoka kwa rafiki yake ndiyo siku ambayo maisha yake kwa ujumla yalibadilika sana mpaka leo hii alikuwa anajiona kama mtu ambaye alibahatika kabisa kujiokotea kapu la pesa ambalo lilikuwa limepotea ghafla kwenye msitu na yeye kama muwindaji alilipata kiwepesi mno kwa kukubali kuifanya kazi ambayo alipewa na watu ambao hakuwajua mapema kwamba ni watu wa aina gani, kuna muda nafsi yake ilikuwa inamsuta kwamba amefanya kitu cha hovyo sana kuweza kumharibia maisha mwanaume ambaye alimsaidia ila kuna muda alijipa moyo kwamba huenda alikuwa akiishi karibu na gaidi la kutisha hivyo hata yeye angeweza kuuawa kama angecheza vibaya na mtu huyo. Fikra zilimpeleka mbali sana akiwaza namna alivyoweza kukutana na mtu huyo akiwa kwenye njaa kali mpaka siku anafanikiwa kutoroka Arusha ndani ya hospitali tena kwenye mazingira ya kutatanisha sana aliwaza kuna sababu ipi ambayo mtu huyo alitorokea? Wazo kubwa lilikuwa ni kwamba mwanaume huyo atakuwa alikuwa ameiba madini lakini mbona hakukuwa na dalili za madini yoyote yale kupotea hata baada ya yeye kufungwa jela baada ya rafiki yake kupotea kwani walijua watakuwa na njama moja ila baadae iligundulika hakuna kitu ambacho kiliweza kupotea.

Pesa ambazo ghafla tu alimkuta nazo zilimtia shaka na kumpatia sana wasiwasi hakuelewa ni kwa namna gani mwanaume huyo aliweza kuzipata pesa nyingi sana, alinyanyuka hapo alipokuwa na kwenda kwenye friji akiwa anaziruka damu nyingi ambazo bado zilikuwa chini ya sakafu yake alitoa maji ya baridi sana alijimwagia kwenye mwili wake ili akili imkae sawa kwa sababu alihisi kama vile alikuwa anachanganyikiwa mengine alikunywa yote mpaka pale alipo hakikisha amekuwa sawa akiwa anatetemeka alikifuata kisu kwenye chumba cha jiko na kurudi nacho aliyakata kwa kisu yale mabegi yote mawili na kuyakung’utia mezani akiwa amefunga milango yote mwilini mwake alitoa nguo zote kutokana na maji ya baridi ambayo alikuwa amejimwagia kiufupi ni kwamba alikuwa yupo uchi wa mnyama kabisa bila nguo hata ya kuzugia.

Alikaa kwenye sofa moja zuri akiwa anazikadiria hizo pesa ambazo zilisambaa na kujaa kwenye meza yote hiyo, hazikuwa shilingi za kitanzania zilikuwa ni dola za kimarekani kwa kuzibadilisha kuja kwa Tanzania ni pesa ambazo hata wajukuu wake wangekuja kuzitumia ikiwa bado hazijaisha. Alikumbuka matukio ambayo aliyaona humo ndani kwake bado alikuwa ana wasi wasi simulizi ya Alen ilikuwa imesalia kwa kiasi kikubwa sana kwenye ubongo wake hakuwa akiamini kwamba yule ni wanadamu kama walivyokuwa wanadamu wenzake ila hakuwa na uwezo wa kupingana na mawazo ambayo yangemuumiza akili kwa simulizi ambayo binafsi hata yeye ilimuweka njiapanda. Alitabasamu sana bada ya kukumbuka kauli ya yule mwanaume kwamba kama kuna kitu chochote alichokuwa nacho Alen basi kuanzia muda huo kitakuwa ni cha kwake akili ilimpelekea kwanza kwenye umbo na sura nzuri sana aliyokuwa nayo mke wa Alen alijikuta anatabasamu na kujilamba midomo yake akiwa anaziangalia sehemu zake za siri kwa bashasha ni wazi zilikuwa zinaenda kumfaidi mwanamke yule mzuri sana alijikuta akicheka mno ushindi ulikuwa kwenye mkono wake, alikuwa na pesa za kutisha amhofie nani wakati nchi ni yake.


Alichukua nguo zake mpya akazivaa na kufunga ndani kwake pesa akiwa ameziacha pale pale mezani alienda moja kwa moja kwenye duka moja kubwa la mpemba mmoja kuna dawa moja hivi aliulizia bei yake kisha akainunua huku akiwa anacheka cheka safari yake moja kwa moja ilikuwa ni kuelekea posta ambako alijua yeye alichokuwa anaenda kukifanya. Alifika nje ya nyumba ya rafiki yake Alen aligonga mara moja tu mlango ulifunguliwa

“Shemeji huyo karibu” ilikuwa ni sauti ya bashasha kutoka kwenye kinywa cha mwanamke ambaye ndiye alikuwa amemjia hapo siku hiyo ikiwa ni mapema sana hata muda wa chakula cha mchana ulikuwa bado.

“Nishakaribia hahhahaha leo shemeji naomba uniandalie chakula na kinywaji kizuri tunywe wote halafu nimle mpishi kwa raha zangu” kauli yake ni kama ilimshtua kidogo mke wa Alen ila hakuona tatizo huyo alikuwa rafiki ambaye mumewe ndiye aliye mtambulisha kwenye familia hiyo hivyo hakuwa na wasiwasi naye kabisa maskini hata hakuwa akijua ni kitu gani kimemkuta mumewe na mwanaume huyo amefuata nini hapo.

“Unapenda nini shemeji?”

“Mtoto yuko wapi kwanza sijamuona tangu nifike hapa?” kabla hajajibu alichokuwa ameulizwa alitaka kujua kama mtoto yupo ili ajue namna ya kuyaweka mazingira yake vizuri.

“Yupo shule saivi atarudi baadaye baba yake atamfuata kama akichelewa kidogo kufika”

“Sawa shemeji naomba juice ya baridi uje na glasi mbili unipe kampani kidogo maana kunywa mwenyewe huwa inaboa sana muda mwingine” alikuwa anazipiga hesabu zake mithili ya Ronaldinho anapokuwa karibu na lango la golikipa hawezi kukuacha salama hata uwe nani. Mrembo ambaye bila shaka aliamua tu kuwa mwanamke bora wa familia ila angeamua kuutumia mwili wake ipasavyo basi huenda angekuwa mwanamke wa kugombaniwa na kila mtu mwenye pesa za kutosha alikuwa mrembo mno na kwake haikuwa tatizo aligeuka na kwenda kuzichukua juice kwenye friji na kuzimimina glasi mbili yake na ya mgeni wake Kani ambaye alikuwa ni shemeji kwa heshima ila hakujua ile kugeuka geuka namna sehemu za nyuma za mwili wake zilivyokuwa zinacheza cheza alikuwa akizidi kumchanganya kichwa Kani ambaye alikuwa akijiapia siku hiyo haitaisha hivi hivi.



“Naomba niongeze na maji shemeji yangu” maneno ya Kani yalikuwa ni ya mitego lilikuwa ni kosa kubwa sana kwa mke wa Alen kuugeuza mgongo wake ili kurudi kuyachukua maji ambayo aliyaomba shemeji yake, huo ndio muda ambao Kani aliutumia kwa usahihi kuweza kuimiminia ile dawa ambayo aliinunua na kuichanganya vyema juisi hiyo huku akiichukua yake na kuendelea kuibugia kwenye mdomo wake bila shaka. Shemeji yake alirudi na maji na kuketi huku Kani akiwa anajichekesha chekesha tu muda wote kitu ambacho kilimtia sana wasiwasi mwanamke huyo ila hakuwa na tatizo naye hivyo alikuwa na imani na kila ambacho kilikuwa kinaendelea mahali hapo. Aliichukua ile juisi na kuinywa bila hofu ilimchukua sekunde thelathini tu pekee za kuanza kulainika mwili wake ulikosa kabisa nguvu alitamani kusimama hakuweza, alijilaza upande kwenye sofa ambalo alilikalia na kulifanya gauni lake lipande kwa juu na kupelekea nguo za ndani kuanza kuonekana ambazo zilimfanya Kani aanze kutokwa na udenda hapo alipokuwa amekaa.

Pepo la ngono lilikuwa linampanda kwa kasi wakati huo mke wa rafiki yake alikuwa anajiuliza imekuwaje hakupata jibu ila alishtuka baada ya kumuona shemeji yake huyo akienda mlangoni na kupafunga vizuri kisha akavua nguo zake zote na kubaki uchi wa mnyama kabisa, alitamani akimbie mwili ulimsaliti hakuwa na nguvu za kunyanyua hata mkono wake hapo ndipo alipogundua ile juisi ambayo alikuwa amekunywa haikuwa yenyewe kuna madawa aliwekewa hata hivyo alikuwa amechelewa sana mwanaume huyo alisogea pale ambapo alikuwepo yeye na kuanza kumvua nguo zake zote kitu kilicho mfanya aishie kutoa machozi sana kama ishara ya kumuomba mwanaume huyo aweze kumhurumia na kumuacha ila ni kama alikuwa akimpigia mbuzi gitaa hakukuwa na mtu wa kumsikiliza kwa uzuri aliokuwa nao hakuna mwanaume angeweza kumuacha. Wote walibaki uchi wa mnyama kabisa yeye akiwa hajiwezi kwa lolote kisha mwanaume akamimina maji ya baridi ili kuongeza nguvu kwenye mwili wake

“Utanisamehe sana kwa hiki ninacho enda kukifanya kwako, mimi ni mwanaume rijali haswa nisingeweza kuvumilia kukuona ukiwa una nyama zilizo nona kiasi hiki na nikakuacha mimi nipo tayari kukuoa na kukufanya kuwa mke wangu kabisa wa ndoa kwenye maisha yangu nina kila kitu ambacho kinaweza kukufanya ukawa mwenye furaha sana, hakuna kitu kikubwa ambacho kimenishawishi kuyafanya haya zaidi ya huo uzuri ambao umependelewa kwenye ulimwengu wa siku hizi. Nina uwezo wa kumpata mwanamke yeyote kwa sasa ila ni bahati mbaya sana nimetokea kukupenda wewe nahitaji kuishi nawewe kwa sababu rafiki yangu ameshapotea kwenye ulimwengu huu wa kawaida na kwenda mbali sana ni wazi hatutapata bahati ya kuweza kumuona tena ndiyo sababu nimechukua jukumu la kuwa nawewe ili niweze kuitunza familia hii mwenyewe, nyama zako zilivyo jigawa, huo uso wako unanifanya nisiishiwe hamu ya kulifaidi hilo tunda lako siku ya leo im coming babe” mwanaume aliachia glasi ambayo ilitumika kuwekea maji ambayo alikuwa ameyamaliza kabisa na kuanza kumsogelea mwanamke huyo.

Kwake yalikuwa ni maumivu mazito kuambiwa hatamuona tena mumewe ambaye alimpenda kuliko mwanadamu yeyote yule ukimtoa mtoto wake wa kumzaa, machozi yalikuwa yanamtoka ila hakuwa na kitu angeweza fanya. Mwanaume taratibu alianza kupita na ulimi wake ambao ulikuwa ni wimbo mzuri sana kwenye Sanaa ya mapenzi kitandani mke wa Alen alibaki ameyafumba macho yake mwanaume hakuchukua muda mrefu sana kwa sababu alikuwa ana hamu mno na hilo tunda ambalo lilikuwa safi na la kuvutia kupita kiasi aliushika mhogo wake na kuuzamisha sehemu ambayo ilikuwa ni ndoto yake alilifurahia sana joto ambalo alikutana nalo huko ndani huku akisahau kabisa kwamba alikuwa anaidhulumu nafsi ya rafiki yake kipenzi. Alivizungusha viuno ambavyo hakuwahi kuvizungusha alimgeuza mwanamke huyo kwa kila mtindo ambao akili yake ilimtuma kwa sababu alikuwa hamuishi hamu mwanamke huyo mzuri sana, baada ya kufika safari yake aliamua kumbebea mrembo huyo kisha akampeleka chumbani tena kwenye kitanda cha rafiki yake na kuendelea na shughuli nzito ambayo ilianzia muda huo wa mchana na kuja kuimaliza saa kumi na mbili za jioni akiwa hoi hata mwanamke huyo alionekana kuwa hoi sana Kani hakuchukua muda alipitiwa na usingizi mzito mno.

Alikuja kushtuka kesho yake majira ya asubuhi kabisa, alikuwa amechoka sana kwa saababu alionekana kuikamia mechi ambayo ilimfanya ahisi yupo anaelea hapa duniani, alitabasamu mno baada ya kulikumbuka tukio la jana alijipa imani kwa alichoweza kukifanya mwanamke huyo moja kwa moja lazima atakubali kuolewa naye. Aligeuka upande wa pili mwa hicho kitanda hakuona mtu basi akatoka nje ya hicho chumba akiwa uchi wa mnyama bado hakuona mtu yeyote yule alifika mpaka sebuleni baada ya kushuka ngazi za kutokea chumbani lakini bado hakuona mtu nguo zake na za shemeji yake zilikuwa pale pale kwenye masofa ambapo alizitupia yeye alishangaa sana nyumba nzima hakukuwa na mtu yeyote ile.

Ilipita wiki moja bila kuwaona wala kusikia taarifa za huyo mke wa rafiki yake ambaye siku ya mwisho alifanya naye mapenzi sana ikiwa mwanamke huyo hakuridhia hicho kitu, zilikuja taarifa za kutisha ambazo kwenye masikio yake hazikuwa nzuri ukizingatia alikuwa amesha anza kumpenda huyo mwanamke sana tu, yeye pamoja na mtoto wake walikutwa wamechinjwa na kutupwa pembezoni mwa bahari mwanamke huyo akiwa amebakwa.

Who is in the game?........ unadhani ni mnyama gani mwingine ambaye amejitokeza na kuyatenda haya kwa mke wa Alen? Kani nini atakifanya na hatima yake ni ipi? mwanzo mpya wa maisha ya Alen unakuwaje?...........muda ni mchache mno mambo hayatoshi nachoweza kusema tu ni kwamba muda utatoa hukumu wa haya yote endelea kuungana namimi kwenye kitu kizito hiki kiitwacho GEREZA LA HAZWA.

Sehemu ya saba niseme tu bye-bye

Bux the story teller.

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA NANE

TULIPO ISHIA UKURASA WA SABA

Ilipita wiki moja bila kuwaona wala kusikia taarifa za huyo mke wa rafiki yake ambaye siku ya mwisho alifanya naye mapenzi sana ikiwa mwanamke huyo hakuridhia hicho kitu, zilikuja taarifa za kutisha ambazo kwenye masikio yake hazikuwa nzuri ukizingatia alikuwa amesha anza kumpenda huyo mwanamke sana tu, yeye pamoja na mtoto wake walikutwa wamechinjwa na kutupwa pembezoni mwa bahari mwanamke huyo akiwa amebakwa.

ENDELEA.....................


Mi-24 combat attack helicopter, ni helikopita ya kivita ya masaafa marefu ambayo huwa inatumiwa na nchi ya Libya kwenye oparesheni mbali mbali za kijeshi, leo ilikuwa ipo angani kukata mawimbi kwa spidi kubwa kupita kiasi mpaka ilipoanza kupunguza mwendo ili kwenda kutua sehemu ambayo ilikuwa ni sahihi kuifanya isimame helikopta hiyo.

Patchy areas of natural forest in Jabal al-Akhdar mountain East of Benghazi.

Hii ni baadhi ya sehemu zenye misitu asilia michache kutokana na hali ya ujangwa ulio shamiri kwenye nchi ya Libya na ndiko huko ambako hiyo helikopta ilikuwa inaelekea ambapo ilipitiliza mpaka ndani ya ukuta ambao ulionekana wazi ulikuwa umejengwa na mwanadamu wa kawaida tu japo ulikuwa imara sana ukuta huo. Helikopta ilitua chini mtu wa kwanza kutoka alikuwa ni yule kiongozi wa wale watu 12 ambao walikuwa wanapigana kwa mara ya mwisho na Alen, humo ndani walikuwa na watu wengine ambao walikuwa na magwanda nao walishuka huku wakiwa wamebeba chuma kimoja ambacho kilikuwa kama kitanda hapo palifunguliwa alionekana mwanaume Alen akiwa anaonekana ila mwili wake ulizungushiwa maplasta kila sehemu.

Alicho sikia ni mlio wa risasi tu mbele yake yule kijana wake ambaye ndiye aliyekuja kumkamata nchini Tanzania alipigwa risasi nyingi pamoja na mwenzake ambaye alikuwa yupo hai kitu cha kushangaza hata wale nane ambao aliwajeruhi Dar es salaam alishangaa kuwaona wamefungwa mbele ya mti mmoja mkubwa wanaume wengine wakiwa pembeni wakipima shabaha kwenda kwenye hiyo miili ya vijana wake. Aliumia sana kushuhudia huo unyama na pia ni kitu ambacho kilimshangaza sana kwanini watu ambao ndio waliokuwa wametumwa waje kumkamata nao wanauawa? Hakuwa na nafasi ya kuweza kuuliza hicho kitu wakati hata hali yake tu ilikuwa ni mbaya sana.

“Welcome back Zakaria” alisikia sauti yenye furaha ikiwa inamkaribisha kwa bashasha la kutosha akiwa kwenye minyororo ya kutisha ilimlazimu kugeuka ili aangalie ni nani huyo hasa ambaye alikuwa akimkebehi namna hiyo. Malek Salem ndilo lilikuwa jina lake huyu alikuwa ni raisi wa nchi ya Libya ndiye ambaye alikuwa amekuja kumpokea mwanaume ambaye yeye alimjua kama Zakaria ambalo lilikuwa jina lake halisi la kuzaliwa.

“Ni wewe ndiye uliye simamia hii oparesheni yote mpaka haya mambo yote yantokea? mpaka mimi natafutwa na umewaua vijana wangu wote tena mbele yangu?” aliuliza kwa shida kila akiongea alikuwa anatoka damu sehemu mbali mbali za mwili wake vidonda vilionekana kuwa bado vibichi sana na hakujua ni muda gani alikuwa amefanyiwa hiyo oparesheni ya kutolewa risasi kama nane ambazo mara ya mwisho ziliingia kwenye mwili wake.

“Hahahahhahha Zakaria sio kiwepesi namna hiyo unaweza kunikimbia na kuzikimbia mamlaka husika bwana mdogo imefika sehemu saivi huku ndiko yatakuwa makao yako ya milele hakuna mtu hata mmoja ambaye atajua kama uliwahi kutokea duniani historia yote ya kwako na ya familia yako inaenda kufutwa rasmi siku ya leo na kila anaye jua kuhusu familia yako basi usiku wa leo ni usiku wake wa mwisho kuendelea kulifaidi hili jua la bure hatuwezi kufuga magaidi ndani ya nchi yetu maisha utakayo yaishi huku chini utatamani ni bora hata ungeuawa huko ulikokuwa umetoka na hao watu ambao ndio wamekuleta huku” ni mheshimiwa raisi mamalaka zote zilikuwa zipo chini yake alikuwa na uhuru na mamlaka ya kuongea cgochote kile, muda wowote ule na mahali popote pale bila kumuogopa mtu yeyote yule.

“Haya mambo ambayo unakurupuka kuyafanya unazijua athari na madhara yake kwa baadaye? Au ni hicho kiti ambacho umewekwa tu kama roboti ukiendeshe bila kujua unaendesha nini ndo kinakupa kiburi?” Zakaria waweza kumuita Alen aliuliza akiwa na hasira sana na mtu huyo bahati mbaya kwake alikuwa kwenye cheni nzito za minyororo na mwili wake ulikuwa umechomwa sindano nyingi mno zlimlegeza hakuwa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile.

“Unavyo ongea namimi unapaswa uwe makini sana na huo mdomo wako vinginevyo nitaupunguza urefu kwa mkono wangu mwenyewe, kumbuka mimi ni raisi wa nchi na sio raia wa kawaida kama wewe hapo kijana jiangalie sana kabla ya kunijibu jeuri”

“Huenda umechelewa sana kuisoma historia ya nchi hii ndiyo sababu Ikulu umeingia kwa bahati mbaya sana ila laiti kama ungefanikiwa kunisoma hata peji moja tu ya kipande cha karatasi usingeruhusu nikajua kwamba wewe ndiye uliyekuwa unaendelea kunifuatilia maisha yangu yote ambayo niliamua kuacha kumwaga damu na kuishi maisha ya kawaida tu, siku ukija kupata bahati ya kunijua namna nilivyo hii dunia hautakuja kutamani kuiishi tena itakuwa sehemu hatari zaidi kwenye maisha yako. Nacho kusihi hakikisha ninafia humu ndani kwenye sehemu ambayo umenileta ila kama utafanya makosa nikatoka humu nikiwa hai utakizika kiungo kimoja kimoja cha mwili wako kwa macho yako wewe mwenyewe”

“Mfa maji haishi kutapa tapa nawewe ndicho kinacho kukuta leo hii, nilikutana nawewe mara kadhaa tu tangu niingie madarakani mwaka wa kumi na mbili huu nikajua utakuwa mwanajeshi wa kawaida tu lakini cha ajabu eti kijana kama wewe nasikia uliweza kuua idadi ya makomando wengi kiasi kile iliniuma sana ndiyo maana nikaamua kukutafuta kwa nguvu na kuamua kuua kila aliyekuwa anakuhusu ili haya mambo yasije yakajirudia tena kama historia iishie hapa hapa, welcome to HAZWA Zakaria” raisi aliongea kwa kebehi na majivuno makubwa mno baada ya kumaliza na kumkaribisha mwanaume huyo kwenye sehemu ambayo yeye binafsi aliita HAZWA haikueleweka ina nini hiyo sehemu ila ndilo eneo ambao waliona linafaa kukihifadhi hicho kiumbe.


“Hili kosa utalijutia maisha yako yote” baada ya kuongea mwanaume alipiga makelele makubwa sana akianza kuhangaika na minyororo lakini ghafla tu alitulia.

“Hey kimetokea nini?” mheshimiwa raisi aliuliza hakuelewa kivipi mtu huyo adondoke kiwepesi sana namna hiyo.

“Amechomwa sindano za kumpotezeshea kabisa kumbukumbu zake” aliongea mwanaume mmoja ambaye alikuwa ameshika bunduki ndogo ambayo ndiyo iliyotumika kutolea hizo risasi.

“Nilitaka ateseke akiwa anajielewa kwanini mfanye hivyo bila idhini yangu?”

“Utatusamehe mheshimiwa nadhani unaongea kitu ambacho hata wewe mwenyewe hukielewi”

“Una maanisha nini?”

“Mheshimiwa muda mwingi upo ikulu huwezi ukaelewa mambo yanavyokwenda huyo unaye muona hapo mbele yako siyo binadamu wa kawaida kama wewe unavyo muelezea ungeijua hata nukta ya alama zake za nyakati usingethubutu hata kuongea naye akiwa karibu yako hapo” mwanaume huyo aliongea kisha alichomoa bastola yake kwa kasi ya ajabu aliwapiga risasi walinzi wote ambao walikuwa hapo na mheshimiwa raisi mpaka walipobaki walinzi wachache ambao walimzunguka raisi kuhakikisha haguswi na chochote, ni hali ambayo ilimfanya mpaka raisi ashangae akiwa ana wasiwasi jasho lilimtoka kwa wingi.

“Una maanisha nini kufanya hivi?” aliuliza kwa jazba baada ya kuhisi huenda mtu huyo anataka kumuua na Zakaria alikuwa chini akiwa amezimia.

“Umefanya kosa kubwa kufanya mazungumzo hadharani na huyu mtu hawa vijana wakiwa wanasikia kama taarifa zikitoka nje itakuwa ni hatari sana kwa nchi hii kumbuka huyu anatafutwa sana na umoja wa nchi za magharibi huku unadhani itakuaje wakijua yupo kwenye nchi yako?” maelezo hayo ndiyo yaliyo mkumbusha umakini kwenye kazi alitoa ishara ya dole gumba kwa mtu huyo kama kumpa tano kwa namna alivyokuwa amewaza mbali sana.

“Nahitaji vijana makini kama wewe nadhani baada ya hapa naenda kukupandisha cheo, mpeleke kwa kiongozi wa gereza nishampa maelekezo yote nini cha kufanya, mimi kuna mtu naenda kukutana naye” raisi aliongea huku akiwa anaelekea ukutani hali iliyo mfanya kijana huyo achekelee sana alikuwa amekula shavu kwa mheshimiwa tayari palifunguka likawa linaonekana shimo kubwa zilitokea ngazi nyingi akashuka kidogo na walinzi wake na kufika ardhini hapo alikaa kwa dakika tano ardhi hiyo ikafunguka walishuka kidogo na kuingia kwenye lifti ambayo iliwapeleka chini kwa dakika moja baada ya kushuka hapo walitembea kwa mita miamoja kisha wakapandisha ngazi kidogo na kwenda kukutana na mlango wa shaba nzito mno alisimama hapo na kupewa kitambaa ambacho alijifunika usoni na watu kadhaa tu ambao waliachwa hai kule juu bila shaka ndio walikuwa walinzi wake na muda wote alikuwa akitembea nao.

Baada ya lango hilo kuweza kufunguka huko ndani ndiko kulikuwa na hali ya kawaida kama nchi kavu tu kulikuwa na watu wachache sana wakiwa nje walikuwa wakiteswa vibaya mno aliingia kwenye kichochoro kimoja ambacho kila baada ya hatua kumi kulikuwa kuna mtu amefungwa kwenye vyumba chakavu na vyenye hali mbaya kupita kiasi ilikuwa ni ngumu kuamini kwamba hayo mavyumba walikuwa wanakaa binadamu kwani hata wanyama wa kufungwa wasingeweza kuhimili kwenye hiyo hali. Alinyoosha moja kwa moja akiwa anawapita wafungwa kwenye hivyo vyumba kuna sehemu mkono wa kulia alikunja hapo na kwenda hadi mwisho kisha akashuka ngazi kumi kwa mbele yake kulikuwa na chumba ambacho ni wazi ndipo hapo alipokuwa anaelekea palikuwa na kiza totoro na mwanga kwa mbali sana. Alivyofika alijikohoza kidogo kama kumpa taarifa mtu ambaye alikuwa ndani ya chumba hicho ili aweze kujiandaa kumpokea mgeni. Kwenye hicho chumba kulikuwa na kichaa mmoja ambaye alikuwa akiishi humo ni mtu ambaye alichanganyikiwa na alionekana kukaa hapo kwa muda mrefu kidogo hivyo ni kama alikuwa mwenyeji ndani ya gereza hili japo gereza huwa halizoeleki na kukufanya kuwa mwenyeji sana.

Kwenye maisha yake yote ndani ya gereza mzee huyu kila mtu alikuwa anajua ni kichaa tangu siku ya kwanza analetwa humu ndiyo sababu hata wafungwa wenzake walishangaa sana inawezekana vipi kichaa akaja kufungwa kwenye gereza la kutisha kama hili hakuna ambaye alikuwa na jibu kamili kila mtu aliendelea na shughuli zake na ni mtu ambaye alikuwa hatoki kwenye chumba chake mzee huyo.

“Haya ndiyo maisha watu wa kutisha kama wewe huwa mnapenda kuyaishi, baada ya kuisoma historia ya maisha yako kwa mara ya kwanza nilianza kukuogopa kwa sababu nilijua ni mtu wa kawaida tu ila nilikuja kuelewa kwanini mamlaka zilikuogopa sana mpaka wakakuleta huku kabla hata mimi sijaingia madarakani, ni muda mrefu sana ila ahadi yangu mimi nawewe ilikuwa bado inaishi hata inngepita miaka miamoja labda kama mmoja wetu angekufa basi ndipo hapo hiyo ahadi ingekuwa nayo imekufa” raisi aliongea baada ya kuingia humo ndani ambamo aliwazuia walinzi wake kuweza kuingia, alisoogea pembeni kidogo ya sehemu alipokuwa amekaa huyo mzee akafuta futa vumbi kwa kitambaa chake kisha akaketi chini, palikuwa ni pachafu mno sio rahisi raisi wa nchi kukaa sehemu kama hiyo ni lazima kulikuwa na jambo kubwa sana ambalo lilimfanya kutokuwa na namna yoyote ile ya kuweza kufanya hicho ambacho alikuwa anakifanya.

“Sikutaka kabisa kukutana na mtu yeyote kwa mwaka huu naona umeamua kuja kunisumbua, niambie kilicho kuleta na utoke humu ndani nisije nikakuua bure” raisi alimeza mate na kumuangalia mtu huyo.

“Nimemkamata huyo mtu tayari kwahiyo nipo hapa ili utimize ahadi yako” aliongea akiwa na bashasha usoni ni wazi ushindi ulikuwa kwenye mkono wake hilo hakuwa na wasiwasi nalo kabisa.

“Sio kiwepesi kama wewe unavyo tamka wewe ni miongoni mwa viongozi dhaifu sana unaweza vipi kulikamata dubwana kama lile kiwepesi hivyo?” mtu huyo alionekana kuto yasadiki kabisa maneno ya huyo raisi wake. Malek Salem alijisachi kwenye mfuko wake na kuitoa simu yake kubwa ambapo aliiinamia kwa sekunde kama thelathini akiwa kama kuna kitu anakitafuta alitabasamu na kuigeuzia simu hiyo kwa mzee huyo, mzee huyo aliichukua hiyo simu na kuiangalia kwa umakini ilikuwa inaonyesha video Zakaria akiwa kwenye minyororo mingi sana na jinsi alivyokuwa na majeraha mengi sana mwilini mwake.

“Ni nani ambaye amelifanya hili?” aliuliza mzee huyo akiwa anairudia rudia hiyo video fupi.

“Vijana wake”

“Una maanisha wale 12?”

“Ndiyo”

“Sijamaanisha walio mleta huku namaanisha ambaye amemfanya mpaka akakamatwa kirahisi hivi”

“Kuna rafiki yake ambaye alikuwa amempata huko nchini Tanzania inasemekana alitokea kumuamini sana ndiye huyo ambaye alipewa dawa ya kumlegeza”

“Na hao vijana wake wako wapi”

“Wawili aliwaua mwenyewe kwa bahati mbaya ila waliobaki nimewaua wote mwenyewe” hayo maneno yalionekana kumsikitisha mno mzee huyo akiwa anairudisha simu hiyo kwa mheshimiwa raisi.

“Na huyo kijana ambaye amesababisha haya bado yupo hai?”

“Ndiyo ni kijana wa mtaani tu sikuwa na haja ya kumuua”

“Ni bora mngemuua wenyewe asije akamkuta akiwa hai. vipi utaweza kuubeba msalaba wa haya uliyo yafanya?”

“Huyu ni mtoto mdogo akianza kunipanda kichwani namuua”

“Mhhhhhhh haujui unacho kiongea wewe, nambie unataka kujua nini?”

“Nahitaji kuijua historia yake yote kwa sababu kwa mara ya mwisho uliniahidi kwamba kama siku nikimpata akiwa hai basi utanipatia historia nzima ya maisha yake ndio maana leo nipo hapa” maneno ya raisi yalimfanya mzee huyo amwangalie sana kisha akafuta futa mauchafu ambayo yalikuwa kwenye mdomo wake akakohoa kidogo ili kuanza kumfahamisha raisi huyo ambaye alionekana kudandia gari kwa mbele bila hata kuijua spidi yake.

Hiyo ahadi yao imebeba nini ndani yake? Ni kweli historia ya Zakaria inatisha sana kiasi kwamba anaogopwa kiasi hiki? Who is Zakaria (Zakaria ni nani?) Raisi anaingiaje kwenye mkasa huu?........ naachia kalamu hapa acha mzee huyu kichaa atupatie historia ya dubwana hili kama anavyo liita yeye tuweze kumjua huyu kiumbe.


Bux the story teller.
FB_IMG_16676387217992368.jpg


Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA NANE

TULIPO ISHIA UKURASA WA SABA

Ilipita wiki moja bila kuwaona wala kusikia taarifa za huyo mke wa rafiki yake ambaye siku ya mwisho alifanya naye mapenzi sana ikiwa mwanamke huyo hakuridhia hicho kitu, zilikuja taarifa za kutisha ambazo kwenye masikio yake hazikuwa nzuri ukizingatia alikuwa amesha anza kumpenda huyo mwanamke sana tu, yeye pamoja na mtoto wake walikutwa wamechinjwa na kutupwa pembezoni mwa bahari mwanamke huyo akiwa amebakwa.

ENDELEA.....................


Mi-24 combat attack helicopter, ni helikopita ya kivita ya masaafa marefu ambayo huwa inatumiwa na nchi ya Libya kwenye oparesheni mbali mbali za kijeshi, leo ilikuwa ipo angani kukata mawimbi kwa spidi kubwa kupita kiasi mpaka ilipoanza kupunguza mwendo ili kwenda kutua sehemu ambayo ilikuwa ni sahihi kuifanya isimame helikopta hiyo.

Patchy areas of natural forest in Jabal al-Akhdar mountain East of Benghazi.

Hii ni baadhi ya sehemu zenye misitu asilia michache kutokana na hali ya ujangwa ulio shamiri kwenye nchi ya Libya na ndiko huko ambako hiyo helikopta ilikuwa inaelekea ambapo ilipitiliza mpaka ndani ya ukuta ambao ulionekana wazi ulikuwa umejengwa na mwanadamu wa kawaida tu japo ulikuwa imara sana ukuta huo. Helikopta ilitua chini mtu wa kwanza kutoka alikuwa ni yule kiongozi wa wale watu 12 ambao walikuwa wanapigana kwa mara ya mwisho na Alen, humo ndani walikuwa na watu wengine ambao walikuwa na magwanda nao walishuka huku wakiwa wamebeba chuma kimoja ambacho kilikuwa kama kitanda hapo palifunguliwa alionekana mwanaume Alen akiwa anaonekana ila mwili wake ulizungushiwa maplasta kila sehemu.

Alicho sikia ni mlio wa risasi tu mbele yake yule kijana wake ambaye ndiye aliyekuja kumkamata nchini Tanzania alipigwa risasi nyingi pamoja na mwenzake ambaye alikuwa yupo hai kitu cha kushangaza hata wale nane ambao aliwajeruhi Dar es salaam alishangaa kuwaona wamefungwa mbele ya mti mmoja mkubwa wanaume wengine wakiwa pembeni wakipima shabaha kwenda kwenye hiyo miili ya vijana wake. Aliumia sana kushuhudia huo unyama na pia ni kitu ambacho kilimshangaza sana kwanini watu ambao ndio waliokuwa wametumwa waje kumkamata nao wanauawa? Hakuwa na nafasi ya kuweza kuuliza hicho kitu wakati hata hali yake tu ilikuwa ni mbaya sana.

“Welcome back Zakaria” alisikia sauti yenye furaha ikiwa inamkaribisha kwa bashasha la kutosha akiwa kwenye minyororo ya kutisha ilimlazimu kugeuka ili aangalie ni nani huyo hasa ambaye alikuwa akimkebehi namna hiyo. Malek Salem ndilo lilikuwa jina lake huyu alikuwa ni raisi wa nchi ya Libya ndiye ambaye alikuwa amekuja kumpokea mwanaume ambaye yeye alimjua kama Zakaria ambalo lilikuwa jina lake halisi la kuzaliwa.

“Ni wewe ndiye uliye simamia hii oparesheni yote mpaka haya mambo yote yantokea? mpaka mimi natafutwa na umewaua vijana wangu wote tena mbele yangu?” aliuliza kwa shida kila akiongea alikuwa anatoka damu sehemu mbali mbali za mwili wake vidonda vilionekana kuwa bado vibichi sana na hakujua ni muda gani alikuwa amefanyiwa hiyo oparesheni ya kutolewa risasi kama nane ambazo mara ya mwisho ziliingia kwenye mwili wake.

“Hahahahhahha Zakaria sio kiwepesi namna hiyo unaweza kunikimbia na kuzikimbia mamlaka husika bwana mdogo imefika sehemu saivi huku ndiko yatakuwa makao yako ya milele hakuna mtu hata mmoja ambaye atajua kama uliwahi kutokea duniani historia yote ya kwako na ya familia yako inaenda kufutwa rasmi siku ya leo na kila anaye jua kuhusu familia yako basi usiku wa leo ni usiku wake wa mwisho kuendelea kulifaidi hili jua la bure hatuwezi kufuga magaidi ndani ya nchi yetu maisha utakayo yaishi huku chini utatamani ni bora hata ungeuawa huko ulikokuwa umetoka na hao watu ambao ndio wamekuleta huku” ni mheshimiwa raisi mamalaka zote zilikuwa zipo chini yake alikuwa na uhuru na mamlaka ya kuongea cgochote kile, muda wowote ule na mahali popote pale bila kumuogopa mtu yeyote yule.

“Haya mambo ambayo unakurupuka kuyafanya unazijua athari na madhara yake kwa baadaye? Au ni hicho kiti ambacho umewekwa tu kama roboti ukiendeshe bila kujua unaendesha nini ndo kinakupa kiburi?” Zakaria waweza kumuita Alen aliuliza akiwa na hasira sana na mtu huyo bahati mbaya kwake alikuwa kwenye cheni nzito za minyororo na mwili wake ulikuwa umechomwa sindano nyingi mno zlimlegeza hakuwa na uwezo wa kufanya kitu chochote kile.

“Unavyo ongea namimi unapaswa uwe makini sana na huo mdomo wako vinginevyo nitaupunguza urefu kwa mkono wangu mwenyewe, kumbuka mimi ni raisi wa nchi na sio raia wa kawaida kama wewe hapo kijana jiangalie sana kabla ya kunijibu jeuri”

“Huenda umechelewa sana kuisoma historia ya nchi hii ndiyo sababu Ikulu umeingia kwa bahati mbaya sana ila laiti kama ungefanikiwa kunisoma hata peji moja tu ya kipande cha karatasi usingeruhusu nikajua kwamba wewe ndiye uliyekuwa unaendelea kunifuatilia maisha yangu yote ambayo niliamua kuacha kumwaga damu na kuishi maisha ya kawaida tu, siku ukija kupata bahati ya kunijua namna nilivyo hii dunia hautakuja kutamani kuiishi tena itakuwa sehemu hatari zaidi kwenye maisha yako. Nacho kusihi hakikisha ninafia humu ndani kwenye sehemu ambayo umenileta ila kama utafanya makosa nikatoka humu nikiwa hai utakizika kiungo kimoja kimoja cha mwili wako kwa macho yako wewe mwenyewe”

“Mfa maji haishi kutapa tapa nawewe ndicho kinacho kukuta leo hii, nilikutana nawewe mara kadhaa tu tangu niingie madarakani mwaka wa kumi na mbili huu nikajua utakuwa mwanajeshi wa kawaida tu lakini cha ajabu eti kijana kama wewe nasikia uliweza kuua idadi ya makomando wengi kiasi kile iliniuma sana ndiyo maana nikaamua kukutafuta kwa nguvu na kuamua kuua kila aliyekuwa anakuhusu ili haya mambo yasije yakajirudia tena kama historia iishie hapa hapa, welcome to HAZWA Zakaria” raisi aliongea kwa kebehi na majivuno makubwa mno baada ya kumaliza na kumkaribisha mwanaume huyo kwenye sehemu ambayo yeye binafsi aliita HAZWA haikueleweka ina nini hiyo sehemu ila ndilo eneo ambao waliona linafaa kukihifadhi hicho kiumbe.


“Hili kosa utalijutia maisha yako yote” baada ya kuongea mwanaume alipiga makelele makubwa sana akianza kuhangaika na minyororo lakini ghafla tu alitulia.

“Hey kimetokea nini?” mheshimiwa raisi aliuliza hakuelewa kivipi mtu huyo adondoke kiwepesi sana namna hiyo.

“Amechomwa sindano za kumpotezeshea kabisa kumbukumbu zake” aliongea mwanaume mmoja ambaye alikuwa ameshika bunduki ndogo ambayo ndiyo iliyotumika kutolea hizo risasi.

“Nilitaka ateseke akiwa anajielewa kwanini mfanye hivyo bila idhini yangu?”

“Utatusamehe mheshimiwa nadhani unaongea kitu ambacho hata wewe mwenyewe hukielewi”

“Una maanisha nini?”

“Mheshimiwa muda mwingi upo ikulu huwezi ukaelewa mambo yanavyokwenda huyo unaye muona hapo mbele yako siyo binadamu wa kawaida kama wewe unavyo muelezea ungeijua hata nukta ya alama zake za nyakati usingethubutu hata kuongea naye akiwa karibu yako hapo” mwanaume huyo aliongea kisha alichomoa bastola yake kwa kasi ya ajabu aliwapiga risasi walinzi wote ambao walikuwa hapo na mheshimiwa raisi mpaka walipobaki walinzi wachache ambao walimzunguka raisi kuhakikisha haguswi na chochote, ni hali ambayo ilimfanya mpaka raisi ashangae akiwa ana wasiwasi jasho lilimtoka kwa wingi.

“Una maanisha nini kufanya hivi?” aliuliza kwa jazba baada ya kuhisi huenda mtu huyo anataka kumuua na Zakaria alikuwa chini akiwa amezimia.

“Umefanya kosa kubwa kufanya mazungumzo hadharani na huyu mtu hawa vijana wakiwa wanasikia kama taarifa zikitoka nje itakuwa ni hatari sana kwa nchi hii kumbuka huyu anatafutwa sana na umoja wa nchi za magharibi huku unadhani itakuaje wakijua yupo kwenye nchi yako?” maelezo hayo ndiyo yaliyo mkumbusha umakini kwenye kazi alitoa ishara ya dole gumba kwa mtu huyo kama kumpa tano kwa namna alivyokuwa amewaza mbali sana.

“Nahitaji vijana makini kama wewe nadhani baada ya hapa naenda kukupandisha cheo, mpeleke kwa kiongozi wa gereza nishampa maelekezo yote nini cha kufanya, mimi kuna mtu naenda kukutana naye” raisi aliongea huku akiwa anaelekea ukutani hali iliyo mfanya kijana huyo achekelee sana alikuwa amekula shavu kwa mheshimiwa tayari palifunguka likawa linaonekana shimo kubwa zilitokea ngazi nyingi akashuka kidogo na walinzi wake na kufika ardhini hapo alikaa kwa dakika tano ardhi hiyo ikafunguka walishuka kidogo na kuingia kwenye lifti ambayo iliwapeleka chini kwa dakika moja baada ya kushuka hapo walitembea kwa mita miamoja kisha wakapandisha ngazi kidogo na kwenda kukutana na mlango wa shaba nzito mno alisimama hapo na kupewa kitambaa ambacho alijifunika usoni na watu kadhaa tu ambao waliachwa hai kule juu bila shaka ndio walikuwa walinzi wake na muda wote alikuwa akitembea nao.

Baada ya lango hilo kuweza kufunguka huko ndani ndiko kulikuwa na hali ya kawaida kama nchi kavu tu kulikuwa na watu wachache sana wakiwa nje walikuwa wakiteswa vibaya mno aliingia kwenye kichochoro kimoja ambacho kila baada ya hatua kumi kulikuwa kuna mtu amefungwa kwenye vyumba chakavu na vyenye hali mbaya kupita kiasi ilikuwa ni ngumu kuamini kwamba hayo mavyumba walikuwa wanakaa binadamu kwani hata wanyama wa kufungwa wasingeweza kuhimili kwenye hiyo hali. Alinyoosha moja kwa moja akiwa anawapita wafungwa kwenye hivyo vyumba kuna sehemu mkono wa kulia alikunja hapo na kwenda hadi mwisho kisha akashuka ngazi kumi kwa mbele yake kulikuwa na chumba ambacho ni wazi ndipo hapo alipokuwa anaelekea palikuwa na kiza totoro na mwanga kwa mbali sana. Alivyofika alijikohoza kidogo kama kumpa taarifa mtu ambaye alikuwa ndani ya chumba hicho ili aweze kujiandaa kumpokea mgeni. Kwenye hicho chumba kulikuwa na kichaa mmoja ambaye alikuwa akiishi humo ni mtu ambaye alichanganyikiwa na alionekana kukaa hapo kwa muda mrefu kidogo hivyo ni kama alikuwa mwenyeji ndani ya gereza hili japo gereza huwa halizoeleki na kukufanya kuwa mwenyeji sana.

Kwenye maisha yake yote ndani ya gereza mzee huyu kila mtu alikuwa anajua ni kichaa tangu siku ya kwanza analetwa humu ndiyo sababu hata wafungwa wenzake walishangaa sana inawezekana vipi kichaa akaja kufungwa kwenye gereza la kutisha kama hili hakuna ambaye alikuwa na jibu kamili kila mtu aliendelea na shughuli zake na ni mtu ambaye alikuwa hatoki kwenye chumba chake mzee huyo.

“Haya ndiyo maisha watu wa kutisha kama wewe huwa mnapenda kuyaishi, baada ya kuisoma historia ya maisha yako kwa mara ya kwanza nilianza kukuogopa kwa sababu nilijua ni mtu wa kawaida tu ila nilikuja kuelewa kwanini mamlaka zilikuogopa sana mpaka wakakuleta huku kabla hata mimi sijaingia madarakani, ni muda mrefu sana ila ahadi yangu mimi nawewe ilikuwa bado inaishi hata inngepita miaka miamoja labda kama mmoja wetu angekufa basi ndipo hapo hiyo ahadi ingekuwa nayo imekufa” raisi aliongea baada ya kuingia humo ndani ambamo aliwazuia walinzi wake kuweza kuingia, alisoogea pembeni kidogo ya sehemu alipokuwa amekaa huyo mzee akafuta futa vumbi kwa kitambaa chake kisha akaketi chini, palikuwa ni pachafu mno sio rahisi raisi wa nchi kukaa sehemu kama hiyo ni lazima kulikuwa na jambo kubwa sana ambalo lilimfanya kutokuwa na namna yoyote ile ya kuweza kufanya hicho ambacho alikuwa anakifanya.

“Sikutaka kabisa kukutana na mtu yeyote kwa mwaka huu naona umeamua kuja kunisumbua, niambie kilicho kuleta na utoke humu ndani nisije nikakuua bure” raisi alimeza mate na kumuangalia mtu huyo.

“Nimemkamata huyo mtu tayari kwahiyo nipo hapa ili utimize ahadi yako” aliongea akiwa na bashasha usoni ni wazi ushindi ulikuwa kwenye mkono wake hilo hakuwa na wasiwasi nalo kabisa.

“Sio kiwepesi kama wewe unavyo tamka wewe ni miongoni mwa viongozi dhaifu sana unaweza vipi kulikamata dubwana kama lile kiwepesi hivyo?” mtu huyo alionekana kuto yasadiki kabisa maneno ya huyo raisi wake. Malek Salem alijisachi kwenye mfuko wake na kuitoa simu yake kubwa ambapo aliiinamia kwa sekunde kama thelathini akiwa kama kuna kitu anakitafuta alitabasamu na kuigeuzia simu hiyo kwa mzee huyo, mzee huyo aliichukua hiyo simu na kuiangalia kwa umakini ilikuwa inaonyesha video Zakaria akiwa kwenye minyororo mingi sana na jinsi alivyokuwa na majeraha mengi sana mwilini mwake.

“Ni nani ambaye amelifanya hili?” aliuliza mzee huyo akiwa anairudia rudia hiyo video fupi.

“Vijana wake”

“Una maanisha wale 12?”

“Ndiyo”

“Sijamaanisha walio mleta huku namaanisha ambaye amemfanya mpaka akakamatwa kirahisi hivi”

“Kuna rafiki yake ambaye alikuwa amempata huko nchini Tanzania inasemekana alitokea kumuamini sana ndiye huyo ambaye alipewa dawa ya kumlegeza”

“Na hao vijana wake wako wapi”

“Wawili aliwaua mwenyewe kwa bahati mbaya ila waliobaki nimewaua wote mwenyewe” hayo maneno yalionekana kumsikitisha mno mzee huyo akiwa anairudisha simu hiyo kwa mheshimiwa raisi.

“Na huyo kijana ambaye amesababisha haya bado yupo hai?”

“Ndiyo ni kijana wa mtaani tu sikuwa na haja ya kumuua”

“Ni bora mngemuua wenyewe asije akamkuta akiwa hai. vipi utaweza kuubeba msalaba wa haya uliyo yafanya?”

“Huyu ni mtoto mdogo akianza kunipanda kichwani namuua”

“Mhhhhhhh haujui unacho kiongea wewe, nambie unataka kujua nini?”

“Nahitaji kuijua historia yake yote kwa sababu kwa mara ya mwisho uliniahidi kwamba kama siku nikimpata akiwa hai basi utanipatia historia nzima ya maisha yake ndio maana leo nipo hapa” maneno ya raisi yalimfanya mzee huyo amwangalie sana kisha akafuta futa mauchafu ambayo yalikuwa kwenye mdomo wake akakohoa kidogo ili kuanza kumfahamisha raisi huyo ambaye alionekana kudandia gari kwa mbele bila hata kuijua spidi yake.

Hiyo ahadi yao imebeba nini ndani yake? Ni kweli historia ya Zakaria inatisha sana kiasi kwamba anaogopwa kiasi hiki? Who is Zakaria (Zakaria ni nani?) Raisi anaingiaje kwenye mkasa huu?........ naachia kalamu hapa acha mzee huyu kichaa atupatie historia ya dubwana hili kama anavyo liita yeye tuweze kumjua huyu kiumbe.


Bux the story teller.View attachment 2410347

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
STORY: GEREZA LA HAZWA
STORY WRITER: FEBIANI BABUYA
STORY TELLER: Bux the story teller

UKURASA WA TISA

TULIPO ISHIA UKURASA WA NANE

“Nahitaji kuijua historia yake yote kwa sababu kwa mara ya mwisho uliniahidi kwamba kama siku nikimpata akiwa hai basi utanipatia historia nzima ya maisha yake ndio maana leo nipo hapa” maneno ya raisi yalimfanya mzee huyo amwangalie sana kisha akafuta futa mauchafu ambayo yalikuwa kwenye mdomo wake akakohoa kidogo ili kuanza kumfahamisha raisi huyo ambaye alionekana kudandia gari kwa mbele bila hata kuijua spidi yake.


ENDELEA......................


Kibo Tanzania
Mita 1000 kutoka kilipo kituo kikubwa cha mwendokasi ambacho kinajulikana kama Kibo ndani ya nyumba moja ya kawaida usiku wa manane sebuleni walikuwa wamelala wanawake wawili ambao wote walikuwa wapo hovyo hovyo tu ikionyesha hapo walikuwa wamekunywa kupita kiasi chini kabisa kukiwa na vipisi vya sigara ni wazi walikuwa walevi wa kupindukia. Ni nguo za ndani tu ndizo ziliwafanya waonekane wana nguo mwilini ikionekana shughuli iliyokuwa hapo kwa muda mchache ambao ulipita haikuwa ya kitoto. Nyumba hiyo ndogo ilikuwa na ngazi za kupanda juu ni wazi ilikuwa ya ghorofa moja ndogo upande wa ndani wa chumba hicho cha juu walikuwa wamekumbatiana mwanaume mmoja na mwanamke mmoja pembeni yao kukiwa na chupa nyingi sana za pombe ghali ulevi lazima ulichukua nafasi yake kabla ya watu hao kupitiwa na usingizi.

Wote walikuwa wapo uchi kabisa wa mnyama baada ya kuzichosha nyeti zao ndipo walipo lala, mwanaume huyo alionekana wazi alikuwa ni mwarabu kwa mwonekano wake hakuwa mtanzania kabisa naye alikuwa kwenye usingizi mzito mno, simu iliita kwa fujo hali ambalo ilimfanya mwanaume huyo anyanyuke kwa spidi ya ajabu kutoka usingizini akiwa uchi, miguu yake ilinyooshwa kwa nguvu mwili ukajiviringisha akaenda kudunda ukutani na kujibana kwenye kona mpaka alipo ona hakuna tatizo ilikuwa ni sauti ya simu tu aliibutua kwa mguu haraka ikaja kwenye mkono wake hakutaka kuwaamsha wanawake hawa ndiyo sababu aliidaka kwa wepesi sana. Aliibeba na kwenda kujifungia chooni kuongea na simu hiyo ambayo ilikuwa ya mhimu sana mpaka kupigiwa usiku wa manane namna hiyo.

“Hello big boss”

“Ni lini utaacha kulala na wanawake hovyo” sauti nzito ilisikika upande wa pili

“Bosi umejuaje?”

“Mimi ni mzoefu sana na hivi vitu mtu akiwa amelala kawaida sauti yake tu najua ila kwa wewe hapo unaongea kwa kuhemeana sana na unaonekana unajibanza usisikike unadhani kinaweza kuwa nini kama sio wanawake?”

“Nisamehe sana bosi lakini nilikwambia kwamba mimi siwezi kuishi bila kufanya mapenzi na wanawake”

“Kujiendekeza kipuuzi hivyo na hao hao ndio watakao kuua siku moja”

“Nisamehe sana kiongozi”

“Umempata”

“Hapana”

“Umefikia wapi?”

“Ni muda mrefu sana hakukuwa na taarifa zake sehemu yoyote ile juzi kuna mtu aliposti picha akiwa naye ila kwa sekunde kadhaa tu picha hizo zilifutwa na kutolewa kabisa kwenye mitandao, nilijaribu kufuatilia sana lakini hakukuwa na ishara yoyote ile ila inaonekana kwamba ni idara ya usalama wa nchi ya Libya ndo ilihusika na kuzifuta hizo picha japo mpaka sasa hakuna kithibiti kamili juu ya hili jambo. Nilianza kufuatilia kwa umakini kuhusu hili jambo mpaka nilipokuja kugundua sehemu ambayo alikuwa anaishi, alikuwa na mke mmoja na mtoto kama ulivyo niambia kwamba kila mtu anaye mhusu basi anatakiwa kufa haraka sana nilimteka huyo mwanamke na kumtishia aniambie mumewe yuko wapi alikata kabisa basi nilicho kifanya nilimbaka kisha nikamchinja yeye na mtoto wake baadae nikawatupa hadharani kwa kutegemea kwamba kama akisikia vifo vya hiyo familia yake basi lazima angejitokeza hadharani hapo ndipo ingekuwa nafasi yetu kuweza kumkamata” maelezo yake yalihitimishwa na ukimya mzito kutoka upande wa pili ni wazi mtu huyo alionekana kuingia kwenye mawazo mazito sana.

“Qader the same mistake ilifanyika nadhani nilikwambia kitu ambacho alikuja kukifanya mtu huyo siyo wa kumchukulia masiara sana kwa taarifa nilizo zipata kuhusu yeye nahitaji afe haraka sana kwenye mikono yangu mwenyewe, kama ukipata dalili za uwepo wake niambie haraka kuna watu nimewatuma wapo huko huko Tanzania wenye uwezo zaidi yake watakuja kumchukua huyo lazima ahukumiwe kwenye mikono yangu mimi mwenyewe na sio mtu mwingine yeyote yule sitaruhusu kitu kama hicho kiweze kutokea nikiwa bado mzima wa afya huyo mjinga ameniletea maumivu makali sana kwenye maisha yangu ni lazima aweze kulipia hicho kitu” sauti upande wa pili iliongea kwa msisitizo mno kisha simu ikakatwa.

“Nimekuelewa bosi” alikuja kushtuka baada ya kugundua kwamba simu ilikuwa imekatwa kwa muda mrefu sana. alitulia na kuhema kwa nguvu alitaka kutoka ndani ya hicho choo alisita baada ya sikio lake la upande wa kulia kucheza cheza, aliinyanyua simu yake na kubonyeza mara mbili tu ilitokea ramani nzima ya hiyo nyumba ikiwa na video pembeni alibonyeza video hiyo alianza kuona kila kilichokuwa kinaendelea ndani ya hiyo nyumba alitabasamu baada ya kuona vivuli kadhaa vikizunguka kwenye geti dogo la hiyo nyumba alichukua bisi bisi moja na koti akalivaa kisha akatokea mlango wa nyuma na kwenda kukaa karibu na sehemu ambayo ilikuwa na gari.

“Ni usiku sana saivi kwenye nyumba za watu mnatafuta nini bila taarifa za msingi?” aliuliza baada ya kuwabananisha wanaume watatu wakiwa wanahangaika kufungua mlango wa kuingilia ndani wote walikuwa na mapanga mikononi mwao.

“Tuna shida na milioni hamsini za kitanzania haraka kabla hatujakufanyia kitu kibaya” aliongea mmoja wao shida yao ilikuwa ni pesa tu.

“Mhhhhhh ni hiyo pesa tu ndo mmenijia na mapanga kwamba mnahitaji kuniua moja kwa moja au?”

“Ikitokea hujatoa hiyo pesa basi lazima ufe hapa hapa moja kwa moja” alidondoka chini mmoja bisi bisi ilizama kwenye shingo yake mwanaume huyo alikuwa anakimbia ni suala ambalo lilihitaji kujiuliza kwamba anakimbiaje mpaka anawahi kufika sana namna hiyo, aliivutia bisi bisi hiyo upande wa pili wa shingo ya kijana huyo. Wenzake walishangaa walijua wamekuja kumvamia mtu mrembo hawakuelewa aina ya maisha ambayo alikuwa anayaishi, wapili alihesabiwa sekunde mbili tu kichwa chake kilitobolewa mara nne na kuchorwa alama ya msalaba.

“Shiiiiiiiiiiii” mmoja aliyekuwa amebaki alitaka kupiga makelele alizuiliwa na mwanaume huyo akae kwa kutulia hayo mambo waliyataka wenyewe wakati huo alikuwa akitetemeka miguu yote alishuhudia wenzake wote wakiuliwa kwa sekunde chache mno sasa alibaki yeye mwenyewe.

“Kawatuma nani mje hapa?”

“Hakuna mtu tuliona tu una begi la pesa pale Mikasa Lounge unavyo ondoka na wale wanawake watatu ndiyo maana tukaamua kukufuatilia mpaka tulipojua unapo kaa ndio tukawa tumepanga kuja kuzichukua pesa zile”

“Unajua hizo pesa zimepatikana vipi”

“Hapana”

“Napenda wanaume wapambanaji kwama wewe kwa kuutafuta mkate wa kila siku iwe ni kwa njia yoyote ile kikubwa mfuko ujae ila babati mbaya sana umeingia sehemu ambayo siyo” maneno yake yalimalizwa na teke la singo ambalo liliivunja shingo ya kijana huyo mara moja tu, hakutaka kupoteza muda mbele yao baada ya kugundua kwamba kumbe walikuwa ni vibaka wa kawaida tu na sio watu wa hatari kama yeye alivyokuwa akidhania mwanzo. Akiwa amesimama hapo akiwakagua kagua vijana hao waliingia wanaume sita wenye suti mmoja wao alienda kumfuta huyo mwarabu aliye julikana kama Qader kwa damu ambazo zilimrukia wakati anafanya mauaji baada ya kumaliza kumfuta waliibeba miili ya hao vijana watatu na kuondoka nayo mwanaume alijiweka sawa na kuingia ndani kama hakuna kitu kilicho fanyika.

Bado ulikuwa ni usiku wa manane alienda mpaka sebuleni na kupitiliza kwenye friji alitoa pombe kali na barafu moja ambayo aliiweka ndani ya pombe hiyo na kuigida yote kwenye glasi alihisi mwili wake umekuwa vyema sana, aligeuka kwenye masofa pale ambapo walikuwa wamelala wale watoto kike wawili wakiwa na nguo za ndani tu pepo la ngono lilimpanda kwa kasi alienda na kuwavua nguo zao za ndani wote wawili na kumuinua mmoja kisha akamuinamisha na kupachika mpini wake utamu ulio pitiliza ndio ulio muamusha mwanamke huyo ambaye alianza kutoa ushirikiano kwa miguno mikali iliyo mwamsha na mwenzie ambaye naye alihitaji huduma aipate kwa muda, mwanaume hakuwa mchoyo kwenye utoaji aliwatolea wote wawili uvivu kwa raha zake wakichoka walikuwa wakiongeza pombe walijikuta wanafanya kwa muda mrefu sana bila kuweza kuchoka wala kupumzika.




HAZWA
“Huwa sipendi mtu mwenye kichwa kigumu sana na huwa sipendi kuulizwa ulizwa maswali pale ninapokuwa naongea kazi yako kubwa ni kuyatega kwa umakini masikio yako leo naenda kukupatia hadithi ya hilo dumbwana kwa kuanzia asili na chimbuko lake mpaka yeye mwenyewe, kuna visa viwili tofauti tofauti hapa kwahiyo unapaswa uwe mtulivu ili unielewe” alijikohoza kidogo mzee huyu ambaye wengi walimtambua kama kichaa kisha akaendelea.

“Miaka mingi sana iliyoweza kupita ndani ya mji wa Tripoli alizaliwa mtoto mdogo wa kiume kwenye moja ya familia ambazo zilikuwa na ukwasi mkubwa sana kwa kumiliki visima vingi vya mafuta ambavyo mpaka leo vipo chini ya jina la hiyo familia, mtoto huyo kutokana na hali ya hewa ya ujangwa ndani ya nchi hii ilionekana kumkataa hivyo baba yake aliamua kumsafirisha mkewe na mtoto kumpeleka katika mji wa Antananarivo huko Madagaska ambacho kwa wana mahesabu huwa kinahesabika kuwa kisiwa cha tano kwa ukubwa duniani kikiwa na ekari za mraba milioni 144 huko pia huwa kuna ujangwa kwa muda flani lakini ndiyo sehemu ambayo mke wa huyo baba mwenye mtoto alichagua kwenda kwa sababu alikuwa akipenda sana maeneo ya visiwani, basi huyo mama akawa anakuja Libya kama mgeni mara moja moja kusalimia na kuondoka. Baadae alikuja kurudi moja kwa moja baada ya mtoto huyo wa pekee kuanza masomo yake akiwa amekuwa na umri mkubwa hivyo hakuwa mtu wa kukaa kwa sababu alisoma sana ndani ya bara la ulaya huko ambako hali ya hewa ilionekana kumkubali moja kwa moja hivyo mama yake hakuwa na sababu ya kubaki mwenyewe kule Madagascar akaamua kurudi nyumbani kwake na kwao pia Libya.

Hiyo ilikuwa familia ya mzee Mansour the Seniour, mtoto huyo alikuwa mwerevu na mwenye akili nyingi sana akitegemewa kuja kuichukua mikoba ya baba yake mzazi ambaye alikuwa anatarajia kumpatia robo tatu ya miliki zake zote mtoto huyo pindi atakapokuwa mkubwa na kumaliza masomo yake yote.

BUKOBA TANZANIA
Kwenye nchi ambayo inasifika zaidi kwa amani duniani huko wamebarikiwa sana utajiri wa mali kwenye nchi hiyo lakini pia amani ndicho kipaumbele chao kikubwa ila tofauti sana na ukienda kwenye ardhi ya Bukoba huko mkoani Kagera, ni hadithi zilizo andikwa namimi niliwahi kwenda mara moja huko ni watu ambao wanajikubali sana na kujiamini mno, ni haki yao kufanya hivyo kwa sababu wale jamaa ni wasomi sana na wana pesa isiyo ya kawaida. Wenyewe kipaumbele chao kikubwa huwa ni elimu kosa vyote uwe na shule kichwani watakuheshimu sana na sio elimu ya kubahatisha unatakiwa kuwa na elimu ambayo unaweza kusimama popote pale na ukajivuna kwamba wewe ni msomi vinginevyo basi hakikisha una pesa nyingi sana za kutosha inaweza kuwa msaada kwako kusikilizwa wanafahamika kama kabila la wahaya yes hao ndiyo wahaya.

Huko kuna familia moja ya mzee mmoja wa makamo ya kawaida tu aliyejulikana kwa jina la Philebert alikuwa amebahatika kupata watoto wa kiume wanne kwa umri wake wote alitamani sana kupata mtoto wa kike lakini MUNGU alikuwa anaonyesha njia yake kwa watoto wa kiume tu ilifika hatua akawa amekata kabisa tamaa ya kupata mtoto wa kike lakini MUNGU hajawahi kumtupa mja wake kama tu atakuwa ameamua kukivumilia hicho anacho kifanya, kwenye mpira huwa wanaita dakika ya tisini ila kwa mvumilivu huwa inaitwa amekula mbivu familia hiyo ilibahatika kupata mtoto wa kike mzuri sana na pekee, binti huyo ni kama ilikuwa neema kubwa ya hiyo familia kwa sababu alifanya familia ikawa na furaha ambayo mtu wa kawaida asingeweza kabisa kuielezea mbele ya uso wa mwanadamu mwenzie, mzee huyo aliandaa moja ya sherehe kubwa mno kuweza kumlaki bintiye wa pekee ambaye alimuita jina la Sekelaga likiwa na maana ya kufurahi au sifa kwa zawadi hiyo ambayo waliipata.

Huyo mtoto wa kike alilelewa kama yai na kwa uwezo mkubwa wa familia hiyo ulifanya aanze kupelekwa shule za gharama sana akiwa binti mdogo mno, maisha yake yaliendelea mpaka pale alipo maliza masomo yake ya kidato cha nne ambapo alipelekwa India katika jiji la Mumbai baada ya kumaliza huko baadaye baba yake alimfanyia mpango wa kwenda ndani ya chuo kikubwa sana duniani ambacho kinapatikana katika taifa kubwa la Uingereza kiitwacho OXFORD UNIVERSITY.



Usipagawe sana bado tupo ndani ya HAZWA mzee ambaye wengi walimjua kama kichaa akimpatia historia na chimbuko la kijana mdogo ambaye wengi wanao mfahamu wanamuogopa sana kuliko kitu chochote kile kwenye maisha yao.

Hawa watu ambao historia zao mbili zinazochanganywa ni akina nani? na wanaingiaje kwenye mkasa huu?.......GEREZA LA HAZWA sehemu ya tisa natia nanga tukutane tena wakati ujao………bye bye.

Bux the story teller.
JamiiForums-1457470559.jpg


Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom