George Job: Asilimia 99.99% ya mashabiki wa Simba ni wanafiki.

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
21,839
38,730
"Maisha Bila unafiki hayaendi ,wakati nazungumza wakati wa AFL kuwa Al Ahly wako unga mashabiki wa Simba SC walinishambulia Kwa kuwa nilisema Ahly alikuwa anacheza tu dhidi ya Simba SC ,lakini baada ya kutolewa kwa aggregate wengi wanaamini kuwa walikuwa na nafasi ya kupita"

"lakini Jana baada ya draw Yao dhidi ya Al Ahly walikuwa wanashangilia ,Sasa walikuwa wanashangilia nini huu ndio unafiki?? Msimu huu sio ndio huuu Nani kasikitika kupangwa na Ahly 99.99% wameshangilia kuonana na Al Ahly sababu wengi walikuwa hawataki kucheza na Mamelod au Petro Atletico de Luanda"

"Leo mnatumia kigezo cha kujuana naye mara nyingi hoja yangu ni Ile Ile Al Ahly hayuko kwenye ubora wake ambao alikuwa anatutisha ,Ahly mwenyewe hamtaki Mamelod Sundowns, Mashabiki wenyewe wamekalia ushabiki"

"Ahly msimu huu wako unga ,mechi 4 kwenye AFL hawajashida lakini Historia na Daraja Yake ndio vitu ambavyo vinafanya tumpe credit Kwa sababu muda wowote wanaweza kukupa kitu cha tofauti"

George Job (Wasafi FM) akieleza kuhusu unafiki na ubora wa Al Ahly

Wanasimba mnasemaje.
 
Wanajipa moyo wakati ile mechi ya Dar jamaa kipindi cha kwanza walikosa nafasi nne za wazi.Msizani wakirudi watafanya makosa yaleyale.

Wenyewe wanatuambia wamewazoea,ila inawezekana hata wao washazoea kutoka robo ndio maana wamewazoea.
 
"Maisha Bila unafiki hayaendi ,wakati nazungumza wakati wa AFL kuwa Al Ahly wako unga mashabiki wa Simba SC walinishambulia Kwa kuwa nilisema Ahly alikuwa anacheza tu dhidi ya Simba SC ,lakini baada ya kutolewa kwa aggregate wengi wanaamini kuwa walikuwa na nafasi ya kupita"

"lakini Jana baada ya draw Yao dhidi ya Al Ahly walikuwa wanashangilia ,Sasa walikuwa wanashangilia nini huu ndio unafiki?? Msimu huu sio ndio huuu Nani kasikitika kupangwa na Ahly 99.99% wameshangilia kuonana na Al Ahly sababu wengi walikuwa hawataki kucheza na Mamelod au Petro Atletico de Luanda"

"Leo mnatumia kigezo cha kujuana naye mara nyingi hoja yangu ni Ile Ile Al Ahly hayuko kwenye ubora wake ambao alikuwa anatutisha ,Ahly mwenyewe hamtaki Mamelod Sundowns, Mashabiki wenyewe wamekalia ushabiki"

"Ahly msimu huu wako unga ,mechi 4 kwenye AFL hawajashida lakini Historia na Daraja Yake ndio vitu ambavyo vinafanya tumpe credit Kwa sababu muda wowote wanaweza kukupa kitu cha tofauti"

George Job (Wasafi FM) akieleza kuhusu unafiki na ubora wa Al Ahly

Wanasimba mnasemaje.
Tunasema hivi mwambie
"Kila mtu atumikie gereza alilopangiwa,kwa maana kwamba
MFUNGWA HAJICHAGULII JENEZA"
 
"Maisha Bila unafiki hayaendi ,wakati nazungumza wakati wa AFL kuwa Al Ahly wako unga mashabiki wa Simba SC walinishambulia Kwa kuwa nilisema Ahly alikuwa anacheza tu dhidi ya Simba SC ,lakini baada ya kutolewa kwa aggregate wengi wanaamini kuwa walikuwa na nafasi ya kupita"

"lakini Jana baada ya draw Yao dhidi ya Al Ahly walikuwa wanashangilia ,Sasa walikuwa wanashangilia nini huu ndio unafiki?? Msimu huu sio ndio huuu Nani kasikitika kupangwa na Ahly 99.99% wameshangilia kuonana na Al Ahly sababu wengi walikuwa hawataki kucheza na Mamelod au Petro Atletico de Luanda"

"Leo mnatumia kigezo cha kujuana naye mara nyingi hoja yangu ni Ile Ile Al Ahly hayuko kwenye ubora wake ambao alikuwa anatutisha ,Ahly mwenyewe hamtaki Mamelod Sundowns, Mashabiki wenyewe wamekalia ushabiki"

"Ahly msimu huu wako unga ,mechi 4 kwenye AFL hawajashida lakini Historia na Daraja Yake ndio vitu ambavyo vinafanya tumpe credit Kwa sababu muda wowote wanaweza kukupa kitu cha tofauti"

George Job (Wasafi FM) akieleza kuhusu unafiki na ubora wa Al Ahly

Wanasimba mnasemaje.
Tulitaka awe Al ahly sio eti ni mbovu hapana. But ni team ambayo tayari kiasi tunaifahamu na tushaizoea vya kutosha. Kuliko tungecheza na team ambayo hatuijui kabisa.
 
Al Ahly ndiyo timu pekee ambayo haijapoteza mchezo wowote katika hatua ya makundi msimu huu.

Ni mawili, Al Ahly walipangwa na vibonde au wako vizuri ila tukumbuke kuna watu walikuwa wanatulazimisha kundi lile lilikuwa la kifo kisa wanacheza mabingwa watupu wa nchi zao.

Kwa upande wangu Al Ahly bado ni timu tishio sana kwa sababu wana uwezo wa kulazimisha matokeo wanayotaka. Mechi zote 2 za Simba na Yanga vitakuwa na mvuto mkubwa sana na zitabeba hisia za wapenda soka Afrika nzima.
 
Back
Top Bottom