Hali tete Simba, Percy Tau na Dieng warejea uwanjani

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,783
24,215
Ukipita Mitaani ulikuwa Unasikia Mashabiki wa Simba wakijinasibu "Sisi lazima tuione nusu Msimu huu, Haiwezekani robo robo iwe kila Mwaka" Mashabiki wa Simba ndiyo Mashabiki waliokuwa wanaonekana hofu ya Mchezo hawana Ukianzia kwa Msemaji wao Ahmed Ally mpaka Mashabiki.

Hivyo imekuja Baada ya Kisikia Al Ahly ile sio Al Ahly hii ya sasa Maana ya Sasa Majeruhi wengi na pia Wamepoteana'Lakini kuna mtu Mmoja aliwahi kuniambia"Bwana Al Ahly sisi tunaijua tokea Zamani hiyo inamchezo wa kukubadilishia gia Mlimani kwa Maana ina namna ya Kucheza Mechi zisizo na Ushindani na Zenye Ushindani", na Kweli ndiyo ninacho Kiona.

Percy Tau na Aliou Dieng walikuwa Nje ya Wanja kwa sababu Mbalimbali na sasa Wamerejea katika Kikosi cha Al Ahly kinacho jiandaa Kuja Tanzania kwaajili ya Mchezo wa 29/03 dhidi ya Simba.

Lakini kwa Upande Mwengine tumeona Al Ahly ilitangaza nyota wake Kazaa ya kwamba wana Majeruhi lakini katika Mazoezi ya Mwisho Mwisho ya Al Ahly nyota hao Wameendelea kuwepo na kwa namna moja hama nyengine watakuja Nchini Tanzania.

1711350026798.jpg
 
Ukipita Mitaani ulikuwa Unasikia Mashabiki wa Simba wakijinasibu "Sisi lazima tuione nusu Msimu huu, Haiwezekani robo robo iwe kila Mwaka" Mashabiki wa Simba ndiyo Mashabiki waliokuwa wanaonekana hofu ya Mchezo hawana Ukianzia kwa Msemaji wao Ahmed Ally mpaka Mashabiki.

Hivyo imekuja Baada ya Kisikia Al Ahly ile sio Al Ahly hii ya sasa Maana ya Sasa Majeruhi wengi na pia Wamepoteana'Lakini kuna mtu Mmoja aliwahi kuniambia"Bwana Al Ahly sisi tunaijua tokea Zamani hiyo inamchezo wa kukubadilishia gia Mlimani kwa Maana ina namna ya Kucheza Mechi zisizo na Ushindani na Zenye Ushindani", na Kweli ndiyo ninacho Kiona.

Percy Tau na Aliou Dieng walikuwa Nje ya Wanja kwa sababu Mbalimbali na sasa Wamerejea katika Kikosi cha Al Ahly kinacho jiandaa Kuja Tanzania kwaajili ya Mchezo wa 29/03 dhidi ya Simba.

Lakini kwa Upande Mwengine tumeona Al Ahly ilitangaza nyota wake Kazaa ya kwamba wana Majeruhi lakini katika Mazoezi ya Mwisho Mwisho ya Al Ahly nyota hao Wameendelea kuwepo na kwa namna moja hama nyengine watakuja Nchini Tanzania.

View attachment 2944107
 
Ukipita Mitaani ulikuwa Unasikia Mashabiki wa Simba wakijinasibu "Sisi lazima tuione nusu Msimu huu, Haiwezekani robo robo iwe kila Mwaka" Mashabiki wa Simba ndiyo Mashabiki waliokuwa wanaonekana hofu ya Mchezo hawana Ukianzia kwa Msemaji wao Ahmed Ally mpaka Mashabiki.

Hivyo imekuja Baada ya Kisikia Al Ahly ile sio Al Ahly hii ya sasa Maana ya Sasa Majeruhi wengi na pia Wamepoteana'Lakini kuna mtu Mmoja aliwahi kuniambia"Bwana Al Ahly sisi tunaijua tokea Zamani hiyo inamchezo wa kukubadilishia gia Mlimani kwa Maana ina namna ya Kucheza Mechi zisizo na Ushindani na Zenye Ushindani", na Kweli ndiyo ninacho Kiona.

Percy Tau na Aliou Dieng walikuwa Nje ya Wanja kwa sababu Mbalimbali na sasa Wamerejea katika Kikosi cha Al Ahly kinacho jiandaa Kuja Tanzania kwaajili ya Mchezo wa 29/03 dhidi ya Simba.

Lakini kwa Upande Mwengine tumeona Al Ahly ilitangaza nyota wake Kazaa ya kwamba wana Majeruhi lakini katika Mazoezi ya Mwisho Mwisho ya Al Ahly nyota hao Wameendelea kuwepo na kwa namna moja hama nyengine watakuja Nchini Tanzania.

View attachment 2944107
Mpaka Simba wanaingia robo fainali hawakujua Al Ahly ina Wachezaji wanaitwa Percy Tau na Dieng?
 
Ukipita Mitaani ulikuwa Unasikia Mashabiki wa Simba wakijinasibu "Sisi lazima tuione nusu Msimu huu, Haiwezekani robo robo iwe kila Mwaka" Mashabiki wa Simba ndiyo Mashabiki waliokuwa wanaonekana hofu ya Mchezo hawana Ukianzia kwa Msemaji wao Ahmed Ally mpaka Mashabiki.

Hivyo imekuja Baada ya Kisikia Al Ahly ile sio Al Ahly hii ya sasa Maana ya Sasa Majeruhi wengi na pia Wamepoteana'Lakini kuna mtu Mmoja aliwahi kuniambia"Bwana Al Ahly sisi tunaijua tokea Zamani hiyo inamchezo wa kukubadilishia gia Mlimani kwa Maana ina namna ya Kucheza Mechi zisizo na Ushindani na Zenye Ushindani", na Kweli ndiyo ninacho Kiona.

Percy Tau na Aliou Dieng walikuwa Nje ya Wanja kwa sababu Mbalimbali na sasa Wamerejea katika Kikosi cha Al Ahly kinacho jiandaa Kuja Tanzania kwaajili ya Mchezo wa 29/03 dhidi ya Simba.

Lakini kwa Upande Mwengine tumeona Al Ahly ilitangaza nyota wake Kazaa ya kwamba wana Majeruhi lakini katika Mazoezi ya Mwisho Mwisho ya Al Ahly nyota hao Wameendelea kuwepo na kwa namna moja hama nyengine watakuja Nchini Tanzania.

View attachment 2944107
IMG_0390.jpeg
 
Back
Top Bottom