Statesmann
JF-Expert Member
- Jul 16, 2019
- 2,344
- 3,460
Huyu jamaa kableach ngozi?
Amenikera sana sijui kama anafahamu Dada zetu wanavyoumia mioyoni mwao.Huyu jamaa kableach ngozi?
....Hakika huu in Muigizo..!!Huo nao ni muujiza au muugiza ...
Ha..ha...haaa...kondoo wameka wanaangalia kama nyumbu....Hakika huu in Muigizo..!!
Mpendwa, muombe Mungu akupe hekima. Je ulishindwaje kuwaita watu hawa ofisini na ukaongea nao kwa faragha?
View attachment 1265593
Huyu Mchungaji kanjanja sanaNdizo takataka eti wahubiri!
majizi matupu na malofa yamejazana!Huyu Mchungaji kanjanja sana
Inaitwaje?Huyu tapeli zama zake zimeshakwisha kabisa.... Amebaki kuajiri kina mama kwenye redio yake kazi yao ni kumsifu...
RAdio yake ipo Arusha Ngurumo ya Upako Fm (N.Y.U Fm)Inaitwaje?
SawaRAdio yake ipo Arusha Ngurumo ya Upako Fm (N.Y.U Fm)
Kama jiweHuyo mchungaji sometimes ukimsikiliza kwa makini anajiona Mungu