Mpendwa, muombe Mungu akupe hekima. Je ulishindwaje kuwaita watu Hawa ofisini na ukaongea nao kwa faragha?
View attachment 1265593
Hivi bado kuna watu wanaenda kwa hawa wahuni?
Ni kweli wateja wa hawa wahuni % kubwa ni kinamama na ukiona mwanamme basi amelazimishwa na mkewe.Akina mama huwaambii kitu kwa hawa jamaa
Dada wa watu katoa jicho utafikiri alibanwa na mlango.Mh makubwa mapenzi ya kwao wenyewe huyu mchungaji anawashwa washwa.
uko sahihi kuna ndugu yangu anahamishwa makanisa na mke wake si kdgNi kweli wateja wa hawa wahuni % kubwa ni kinamama na ukiona mwanamme basi amelazimishwa na mkewe.
Mh makubwa mapenzi ya kwao wenyewe huyu mchungaji anawashwa washwa.